CCM wakosa watu nkoamansa ni kweli kabisa leo

CCM wakosa watu nkoamansa ni kweli kabisa leo

THEO LYIMO

Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
46
Reaction score
17
Wana jf nipo hapa nkoamansa watu hawajaja kabisa kwani hakuna watu hata 50 jamani hali ni hatari sina camera mngeona
 
Wana jf nipo hapa nkoamansa watu hawajaja kabisa kwani hakuna watu hata 50 jamani hali ni hatari sina camera mngeona

Ngoja tumsubiri Nape aje kujibu. lakini hizi taarifa jitahidini kuzibalance, na CHADEMA wakikosa watu pia muwe mnatuambia. Msilete za upande mmoja tu. Hata hivyo muda bado, labda watakuja baadaye kidogo.
 
Magari yapo njiani yanawaleta wanachi hapo!Msihofu!
 
Saa hizi bado mapema pia jaribu kuwa balanced na fair
 
mkuu nikuulize technical question!pale nmc arusha chadema wanajaza mpaka hakuna kusogeza mguu,makadirio yangu yasiyo ya kitaalam tuseme laki 2!lakini uzini jimbo zima lina wapiga kura 6000!je kwa idadi ya wakazi wa eneo hilo figure tarajiwa ni watu wangapi na wamekuja wangapi kwa makadirio tu!
 
HAWAJATOA KOFIA,KANGA NA TSHIRT.Wamegoma.Nani anapenda picha na bendera zao.Sio wameru.wazee ndo hao kila mmja anatoa baraka kwa jamaa waCHADEMAna baraka hazitolewi mara 2. bro cdm
 
HIVI HAMJUI WAHUZURIAJI WENGI WA MIKUTANO YA CCM HUBEBWA BA MALORI KUPELEKWA UWANJANI???????/ WAKATI WA CHADEMA HUMWAGIKA WENYEWE BILA KULAZIMISHWA,KUHONGWA,KURUBUNIWA, KUSHAWISHIWA,VIJISENTI,CHAI,TAKRIMA ETC

Naunga mkono hoja hapo chini kwa asilimia mia ya mia
Hakuna nchi rahisi kuongoza kama Tanzania. Hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kuiongoza, ilimradi awe na jeshi tu.
 
Wana jf nipo hapa nkoamansa watu hawajaja kabisa kwani hakuna watu hata 50 jamani hali ni hatari sina camera mngeona
Acha kupiga yowe hapa funguka kiukweli CCM leo imefunika mbaya kwani mgombea wake amepokelewa kwa maandamano na shwangwe kubwa kutoka wakazi wa sehem hiyo huku wakiimba Chadema tuacheni na CCM yetu nendeni na vurugu zenu.
 
Naombea iwe kweli na hali hiyo iendelee ktk mikutano yao yote.
 
Acha kupiga yowe hapa funguka kiukweli CCM leo imefunika mbaya kwani mgombea wake amepokelewa kwa maandamano na shwangwe kubwa kutoka wakazi wa sehem hiyo huku wakiimba Chadema tuacheni na CCM yetu nendeni na vurugu zenu.
Kigumu Chama!!! Tuwekee picha basi
 
Mwenzetu unasema hayo ukiwa unataka tuamini u mwanachama au mshabiki wa chama gani?Kama hawako watu wengi je ni saa ya mkutano au wewe uliwahi?
 
Hata boda boda wamekosa pesa za kuwalipa?? wanasubiria tar 25 warudishe nguvu tena huko..Muda tunao...I promise Nassari..i am coming there this month after my viziti in ZanzibaR
 
Acha kupiga yowe hapa funguka kiukweli CCM leo imefunika mbaya kwani mgombea wake amepokelewa kwa maandamano na shwangwe kubwa kutoka wakazi wa sehem hiyo huku wakiimba Chadema tuacheni na CCM yetu nendeni na vurugu zenu.

Acha ujinga funguka!!!!!
 
Acha kupiga yowe hapa funguka kiukweli CCM leo imefunika mbaya kwani mgombea wake amepokelewa kwa maandamano na shwangwe kubwa kutoka wakazi wa sehem hiyo huku wakiimba Chadema tuacheni na CCM yetu nendeni na vurugu zenu.

Acha kutoka povu
 
LORI LA TOT LILIISHIWA MAFUTA katika eneo la kwa fundi sing'isi karibu na SADC,duh aibu,nililiona saa 6 mchana.naskia hakuna fungu na makada pesa wamegoma kupeperusha mabendera na kukampeni bila NAIRA.hali yao kifedha ni mbaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom