SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Kuna wale ambao siku zote inaposemwa kwambahistoria ya nchi imepindishwa wanakuja juu kuitetea CCM kwamba haikuipindisha popote. Humu JF wamejaa wengi wa aina hiyo
Aina hii ndio wale ambao CCM sasa inapokiri kwamba ni kweli waliipindisha, hawa washabiki wanabaki na aibu kuzidi mtu aliyefumaniwa.
Gazeti la MAJIRA toleo la Julai 07, 2011 linaelezea jinsi Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Bw. John Chiligati alivyokiri kwamba CCM imewasahau waasisi wa TANU.
Pata full story kwenye attachment hii.
Aina hii ndio wale ambao CCM sasa inapokiri kwamba ni kweli waliipindisha, hawa washabiki wanabaki na aibu kuzidi mtu aliyefumaniwa.
Gazeti la MAJIRA toleo la Julai 07, 2011 linaelezea jinsi Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Bw. John Chiligati alivyokiri kwamba CCM imewasahau waasisi wa TANU.
Pata full story kwenye attachment hii.