Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Field Marshall ES haijui itikadi ya ccm... Kama haijui itikadi ya chama chake ina maana hata katiba ya chama chake haijui.
Maswali machache kwako;- ITIKADI ZIPO LAKINI NYINGI ZIMEPITWA NA WAKATI NDIO MAANA TUPO KWENYE KUZI-REDEFINE NA SOON UTAONA ZIKIMWAGWA HAPA JF, MAANA SASA CCM NI KAZI TUPU, CCM NI UMOJA!, NA CCM NI USHINDI TU!! - KIDUMU CCM!!
Es!
Maswali machache kwako;
Baada ya maswali hayo naomba nikupe ushauri kidogo mtoto wa Malecela...chukua likizo kidogo, unachefua watu humu kwa kuzusha mijadala ya hovyo. Unataka kujua kwa nini watu wanachangia? Ngoja nikudokeze...ni sababu zile zile zinazowafanya watu wengi hukimbilia kulikotokea ajali? Ni kuona maiti!
- Kwa nini umetumia herufi kubwa?
- Kama itikadi zenu zimepitwa na wakati, je mmeachana nazo?
- Kama mmeachana nazo, hizo unazozitetea hivi sasa ni zipi?
- Kama hazipo na bado mnazi-redefine, haraka hii ya nini?
Itikadi ya CCM haifuatwi na uongozi uliopo wa CCM.- Naomba kuwaaamsha usingizini wale wote ambao bado wamelala usingizini, people tupo vitani yaani kwenye vita vya Itikadi za vyama vyetu vya siasa, wenzetu huko Chadema walianza siku nyingi sisi CCM tulikuwa bado hatujaelewa hilo, lakini Inshallah sasa somo limeanza kueleweka, matusi hapana, viroja hapana, hoja tu jamani lakini ni lazima tusimamie na kutetea itikadi zetu, kama huwezi kusimama kutetea itikadi ya chama chako cha siasa sio sawa hata kuwa mwanachama wa CCM!!
- Simama juu uhesabiwe! People msidanganywe hakuna chama cha upinzani kinachotutakia mema CCM wote wanegependa kuona wanatushinda na CCM inakufa, sasa msijidanganye na siasa za kujifanya kukubalika kila upande ninawaona wanasiasa wengi wakijaribu kuwa kila upande poleni sana, CCM lazima tusimame imara na hakuna kuogopa!! Tusimamie itikadi yetu hata kama it means kufa na tufe lakini hatuwezi kukubali kushindwa kusimamia itikadi, kumbukeni kwamba:- "IN LIFE IF YOU DON'T STAND FOR SOMETHING, YOU WILL FALL FOR ANYTHING"
- KIDUMU CCM! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
FMES - SAUTI YA UMEME!!
Itikadi ya CCM haifuatwi na uongozi uliopo wa CCM.
Hujui hilo?
Haifuatwi na chama chochote, bali CCM. NBa uongozi wa CCM umekiuka katiba ya JMT na katiba ya CCM kwa kutofuata misingi ya ujamaa. Hili lipo wazi sijui kwanini hawa vilaza hawalioni hili.- Then inafuatwa na Chadema au CUF?
Es!
- iTIKADI ZIPO NDIO MAANA TUMEKUWA TUKICHAGULIWA KWA MIAKA 51 SASA KUTAWALA NCHI, LAKINI NYINGI ZIMEPITWA NA WAKATI NDIO MAANA TUPO KWENYE KUZI-REDEFINE NA SOON UTAONA ZIKIMWAGWA HAPA JF, MAANA SASA CCM NI KAZI TUPU, CCM NI UMOJA!, NA CCM NI USHINDI TU!!
- KIDUMU CCM!!
Es!
- iTIKADI ZIPO NDIO MAANA TUMEKUWA TUKICHAGULIWA KWA MIAKA 51 SASA KUTAWALA NCHI, LAKINI NYINGI ZIMEPITWA NA WAKATI NDIO MAANA TUPO KWENYE KUZI-REDEFINE NA SOON UTAONA ZIKIMWAGWA HAPA JF, MAANA SASA CCM NI KAZI TUPU, CCM NI UMOJA!, NA CCM NI USHINDI TU!!
- KIDUMU CCM!!
Es!
Jibu lako lipo hapa alishajibu siku nyingi tu wewe wala usisumbuke kubishana n mtu aliyechanganyikiwa na maisha uzeeni.
Jibu lipo hapa:Raia Mwema - Nani adui wa CCM? CHADEMA au ufisadi?Hivi adui wa CCM ni nani tena wakuu - hebu msaidieni huyu 'consultant!.
- ha! ha! ha! are you serious kwamba hujui what I stand for? uliza wengine watakwambia! ha! ha!
Es!
Kwa maana nyingine, anayepiga vita ufisadi anaipiga vita CCM na wanaodai wanaipiga vita ufisadi wakiwa ndani ya CCM wanajipiga vita wenyewe, kitu kisichowezekana! Sasa mkuu Mchambuzi, kwa kuwa wewe hata siku moja hujauficha ukweli kuwa ni mwana CCM, tuchukulie kuwa sisi tunaopiga vita ufisadi tunakupiga vita wewe? Kama jibu ni ndio, kwa nini sisi wengine tusiamini kuwa ukosoaji wako wa CCM ni sawa na machozi ya samaki? Kama jibu ni hapana, unaeleza vipi kwa nini bado ni mwana CCM hadi leo Ijumaa tarehe 7, Desemba 2012?
Kwa maana nyingine, anayepiga vita ufisadi anaipiga vita CCM na wanaodai wanaipiga vita ufisadi wakiwa ndani ya CCM wanajipiga vita wenyewe, kitu kisichowezekana! Sasa mkuu Mchambuzi, kwa kuwa wewe hata siku moja hujauficha ukweli kuwa ni mwana CCM, tuchukulie kuwa sisi tunaopiga vita ufisadi tunakupiga vita wewe? Kama jibu ni ndio, kwa nini sisi wengine tusiamini kuwa ukosoaji wako wa CCM ni sawa na machozi ya samaki? Kama jibu ni hapana, unaeleza vipi kwa nini bado ni mwana CCM hadi leo Ijumaa tarehe 7, Desemba 2012?
Itikadi ya CCM ni ipi kwa sasa?