Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
Kinachofanyika sasa ni mbinu za wanausalama wa CCM kujitahidi kuifanya ishu ya mafisadi na ufisadi iwe ya kawaida mno.
ndo maana wanafanya kila mbinu kukwepa mimbari za mahakama lakini wakijenga uelewa kwa wananchi kuwa is a normal thing kuwa fisadi.
CHADEMA peleka hii mutu mahakamani
ndo maana wanafanya kila mbinu kukwepa mimbari za mahakama lakini wakijenga uelewa kwa wananchi kuwa is a normal thing kuwa fisadi.
CHADEMA peleka hii mutu mahakamani