Freedom of speech ya kumtukana Rais? Mzee kaharibu historia na heshima yake uzeeni kabisa. Amefanya jambo la kusikitisha sana.
Jamaa alikuwa hatari."Huwez ukawa msaliti ukasurvive" in jiwe voice![]()
Jamaa wanataka kusifiwa pekeeHii ni dictatorship. Hakuna freedom of speech hapo!
CCM ni takataka haswaCCM huwa inabaka demokrasia ila kuelekea 2025 , hiyo familia ya ccm ina wakati mgumu
Astahili yake huyo Mbaraka Shamte, Mungu hulipa hapahapa duniani. Katukana watu sana huyo mshenzi. Alifika hadi kumtukana baba yake Mzee Mohammed Shamte ( Waziri Mkuu wa kwanza wa Zanzibar) kwa ajili shilingi mbili anazogaiwa na CCM.
Malipo hapahapa duniani akhera kuna hesabu tu.
Kapigisha watu sana bakora. Fitna mkubwa huyo.
Kibao kimemgeuka. Mwache avune alichokipanda.
Ingekuwa chadema ndio wamefukuza mwanachama wao bwashee ungeamka na kusema cdm hakuna demokrasiaMtanikumbuka
Katiba ya Chadema ni dhaifuIngekuwa chadema ndio wamefukuza mwanachama wao bwashee ungeamka na kusema cdm hakuna demokrasia
AmenMakundi hayo hayajaisha, ilionekana ktk maono, hao wanaowekwa pembeni ghafula wanajikusanya Kwa siri.
Ni maombi yangu mwisho wa KIJANI usigharimu maisha ya wasio hatia.
Mwisho umefika, Mimi nimeiuona. It's a dream come true. Amen
Wakimaliza kutushughulikia sisi, wata wageukia nyie.. Godbless Lema.. a. k. a mtumishi mbeba maono7 October 2020
BARAKA SHAMTE AMJIA JUU MAALIM SEIF "MNAOGOPA KURA YA MAPEMA HIO DEMOKRASIA".
Vijana tujifunze KUTOOGOPA, Mzee Ubarikiwe sana.Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.View attachment 2260253
Ussimlishe maneno, weka clip tafadhali.Mzee anamkubali sana hayati Magufuli
Kapicha tafadhaliHuko KKKT Kyela mnaingia na Mapanga pluse Mashoka Kanisani