johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Lugha kama hizi mara ya mwisho nilizisikia kea Christopher Kasanga Tumbo enzi za KambarageHuenda naye alitafajia hayo, kama hakutarajia basi atakuwa hayupo sawa.
Lugha kama hizi mara ya mwisho nilizisikia kea Christopher Kasanga Tumbo enzi za KambarageHuenda naye alitafajia hayo, kama hakutarajia basi atakuwa hayupo sawa.
Huwezi kuropokaropoka tu hovyo ukaachiwa,lazima watakuonesha tofauti ya wewe na waoHii ni dictatorship. Hakuna freedom of speech hapo!
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
UtekajiAkumbukwe kwa kipi mkuu?
Kada wa CCM maarufu visiwani Zanzibar baada ya clip yake akimpa za uso Mwehishimiwa wa Uchumi wa Blue hivi karibuni, Inasemakana kuwa majuzi alitekwa na watu wasio juulikana, na hivi sasa yupo Hospitali kaiwa na hali mbaya sana baada ya kipigo kizito.
Huwezi kuropokaropoka tu hovyo ukaachiwa,lazima watakuonesha tofauti ya wewe na wao
Mzee anamkubali sana hayati MagufuliHuyu Mzee kuna siku Wazanzibar watakuja kukumbuka maneno yake haya.
Weka ushahidiMzee anamkubali sana hayati Magufuli
Huko KKKT Kyela mnaingia na Mapanga pluse Mashoka KanisaniUtekaji
HakikaHuyu Mzee kuna siku Wazanzibar watakuja kukumbuka maneno yake haya.
Kumbe hujamsikiliza!Weka ushahidi
Mzee amenikumbusha enzi zile, Liss, NYIKA na mdee walitosha kudrive Bunge Zima.Mzee anamkubali sana hayati Magufuli
Ndugu Rabbon ,sisi tunaoishi Dodoma na kuwa karibu na hawa jamaa wa CCM, ukiwa nao kijamaa wanaonyesha kabisa kuchoshwa na nchi inavyoendeshwa,tatizo linakuja ni nani wa kuwasha kiberiti na kutupia njiti kwenye petroli!!?Mzee amenikumbusha enzi zile, Liss, NYIKA na mdee walitosha kudrive Bunge Zima.
Nchi Ili itoke hapa ilipo wanahtajika watu kama 20 tu wa aina ya Mzee huyo.
Pia yanazidi kutimia maneno ya mwl Nyerere kuwa: UPINZANI wa KWELI utatoka ndani ya CCM. Amen
Ndugu Rabbon ,sisi tunaoishi Dodoma na kuwa karibu na hawa jamaa wa CCM, ukiwa nao kijamaa wanaonyesha kabisa kuchoshwa na nchi inavyoendeshwa,tatizo linakuja ni nani wa kuwasha kiberiti na kutupia njiti kwenye petroli!!?Mzee amenikumbusha enzi zile, Liss, NYIKA na mdee walitosha kudrive Bunge Zima.
Nchi Ili itoke hapa ilipo wanahtajika watu kama 20 tu wa aina ya Mzee huyo.
Pia yanazidi kutimia maneno ya mwl Nyerere kuwa: UPINZANI wa KWELI utatoka ndani ya CCM. Amen