Lupyeee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 2,683
- 2,818
- Thread starter
- #21
Elezea kidogohad sasa hakuna jipya ninaloliona zaid ya kunipa hasira tu... elimu imekuwa mbovu.. mfumuko wa bei ndo usiseme yaan mchele unashindana na unga kwa bei... kama hali itaendelea hv.. 2020 ccm nawapa bonge la nyanjo!!!!!!!