Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,351
- 38,941
Nadhani ccm itashindwa vibaya sana kutokana na mambo yafuatayo:-
1. Ukata na maisha magumu kwa wananchi pamoja na wafanyakazi ikiwa ni sababu za mfumuko wa bei.
2. Wanafunzi wengi wa elimu ya juu kukosa nafasi na malipo ya mikopo kutokana na kuambiwa hawana sifa hii ni kwa fresher's na continues
3. Serikali kutoka na mikakati madhubuti ya kuwainua wananchi kiuchumi na ahadi hewa za milioni hamsini kila kijijini ambapo hii imeshaugeuka kuwa ndoto.huku wananchi wakiambiwa fanyeni kazi.
4. Ukosefu wa ajira kwa watanzania hili ni janga kwa watanzania Hawa graduates ambao wapo mitaani ni Wengi sana na wameambiwa wajiajiri hakuna mwelekeo kwamba wataajiriwa leo wala kesho ( hapa nawalenga zaidi walimu na madaktari)
5. Utawala wa kiimla na kunyanyasa wapinzani hii imeleta kasoro kubwa sana na watanzania Wengi wamechukizwa na unyanyasaji
unaofanywa na serikali dhidi ya wapinzani. Watanzania Wengi wanasema hili siyo hukumu waliloituma serikali ya awamu hii.
6. Wafanyabiashara Wengi wamesikitishwa na kitendo cha serikali kupitia tra kutoa kodi kubwa isiyolingana na mapato na hali halisi ya biashara.
7. Wafanyakazi wa umma wamechoshwa na ahadi hewa za serikali na kunyimwa kwa stahiki zao ambazo zipo kisheria kwa kisingizio kwamba serikali unafanya uhakiki wa watumishi nilikuwa ni muda wa miezi miwili lakini sasa ni mwaka wapili huu kimya?
8. Wananchi Wengi wameshtushwa na utawala wa kinafiki ambao una endelea hivi sasa hapa nchini baada ya tuhuma lukuki zinazomkabili mkuu wa mkoa wa Dar Bwana Daudi bashite lakini kiongozi wake yuko kimya na ameshindwa kulitolea tamko. Hii ni double standard
Ngoja nakuja kuendelea....
1. Ukata na maisha magumu kwa wananchi pamoja na wafanyakazi ikiwa ni sababu za mfumuko wa bei.
2. Wanafunzi wengi wa elimu ya juu kukosa nafasi na malipo ya mikopo kutokana na kuambiwa hawana sifa hii ni kwa fresher's na continues
3. Serikali kutoka na mikakati madhubuti ya kuwainua wananchi kiuchumi na ahadi hewa za milioni hamsini kila kijijini ambapo hii imeshaugeuka kuwa ndoto.huku wananchi wakiambiwa fanyeni kazi.
4. Ukosefu wa ajira kwa watanzania hili ni janga kwa watanzania Hawa graduates ambao wapo mitaani ni Wengi sana na wameambiwa wajiajiri hakuna mwelekeo kwamba wataajiriwa leo wala kesho ( hapa nawalenga zaidi walimu na madaktari)
5. Utawala wa kiimla na kunyanyasa wapinzani hii imeleta kasoro kubwa sana na watanzania Wengi wamechukizwa na unyanyasaji
unaofanywa na serikali dhidi ya wapinzani. Watanzania Wengi wanasema hili siyo hukumu waliloituma serikali ya awamu hii.
6. Wafanyabiashara Wengi wamesikitishwa na kitendo cha serikali kupitia tra kutoa kodi kubwa isiyolingana na mapato na hali halisi ya biashara.
7. Wafanyakazi wa umma wamechoshwa na ahadi hewa za serikali na kunyimwa kwa stahiki zao ambazo zipo kisheria kwa kisingizio kwamba serikali unafanya uhakiki wa watumishi nilikuwa ni muda wa miezi miwili lakini sasa ni mwaka wapili huu kimya?
8. Wananchi Wengi wameshtushwa na utawala wa kinafiki ambao una endelea hivi sasa hapa nchini baada ya tuhuma lukuki zinazomkabili mkuu wa mkoa wa Dar Bwana Daudi bashite lakini kiongozi wake yuko kimya na ameshindwa kulitolea tamko. Hii ni double standard
Ngoja nakuja kuendelea....