CCM Vs CHADEMA nani kutamba 2020??

CCM Vs CHADEMA nani kutamba 2020??

Kwa jinsi mikito ya kisiasa inavyoenda sasa hivi, mtu yoyote makini anaweza kutabiri upepo wa kisiasa utakavyokuwa kwenye uchaguzi kwa ngazi zote mwaka 2020.

Kwa sasa ccm wanajitahidi kadiri ya uwezo wao kupambana na rushwa,ufisadi na madawa ya kulevya kwa nguvu zao zote.
Elimu bure, serikali kuhamia dodoma na kufufuka kwa Atcl pamoja na kuboreka kwa bei ya mazao ya biashara kwa wakulima kama vile pamba na korosho ni baadhi ya mambo yanayotoa mwanga kwa ccm kuendelea kutamba na kuaminiwa na wananchi zaidi mwaka 2020.

Kwa upande mwingine Chadema wanajaribu kuwinda na kuvutia wanachama wapya kwa kutetea wakwepa kodi, wala rushwa, mafisadi na wauza madawa ya kulevya.
Chadema wanajaribu kujibanza nyuma ya wafanyabiashara, kwamba ikishinda chadema, biashara zao zitaboreka ,pia licha ya kwamba chama hakina hata ofisi, chadema wameahidi wanafunzi watasoma bure mpaka chuo kikuu.
Kwa hali hiyo chadema pia inatoa mwanga wa kutamba mwaka 2020 kupitia uungwaji mkono wa makundi yanayoshugulikiwa vizuri na utawala wa awamu ya tano.
Makundi kama ya wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wala rushwa, wazembe kazini, wakwepa kodi, kwa sasa hawana nafasi ccm, hivyo watakimbilia chadema na kuipa matumaini ya kushinda uchaguzi wa mwaka 2020.!!!

Wewe kwa maoni yako nani atatamba 2020??
Kijana fanya kazi, achana na mambo ya siasa

Hivi leo hii unaweka vitu kama hivi badala ya kuwaza njia za kujiongezea kipato.
Mimi sina chama lakini kwa akili ndogo tuu ninawaza.

1. Hii elimu bure umeona matunda yake??
2. Ni watanzania wangapi wamefaidika kwa kufufuka atcl?
3. Ni kesi ngapi za ufisadi zimeendeshwa na kuchukuliwa hatua kwa watuhumiwa.
4. Maisha ya mtanzania wa kawaida yakoje hivi sasa?
5. Ajira kwa wasomi zimefikia wapi?
6. Uadilifu wa viongozi na weledi wa kazi hasa kwa ruhusu watu watumie taaluma zao ukoje?
7. Kwa nini nguvu kubwa inatumika kuua upinzani ulipewa baraka zite na waasisi wa taifa hili?
8. Kesho ya mtanzania inakuwaje kwa mwendo huu?

Ukijbu hayo mawazo yangu nitaelewa nini unamanisha
 
Kwa jinsi mikito ya kisiasa inavyoenda sasa hivi, mtu yoyote makini anaweza kutabiri upepo wa kisiasa utakavyokuwa kwenye uchaguzi kwa ngazi zote mwaka 2020.

Kwa sasa ccm wanajitahidi kadiri ya uwezo wao kupambana na rushwa,ufisadi na madawa ya kulevya kwa nguvu zao zote.
Elimu bure, serikali kuhamia dodoma na kufufuka kwa Atcl pamoja na kuboreka kwa bei ya mazao ya biashara kwa wakulima kama vile pamba na korosho ni baadhi ya mambo yanayotoa mwanga kwa ccm kuendelea kutamba na kuaminiwa na wananchi zaidi mwaka 2020.

Kwa upande mwingine Chadema wanajaribu kuwinda na kuvutia wanachama wapya kwa kutetea wakwepa kodi, wala rushwa, mafisadi na wauza madawa ya kulevya.
Chadema wanajaribu kujibanza nyuma ya wafanyabiashara, kwamba ikishinda chadema, biashara zao zitaboreka ,pia licha ya kwamba chama hakina hata ofisi, chadema wameahidi wanafunzi watasoma bure mpaka chuo kikuu.
Kwa hali hiyo chadema pia inatoa mwanga wa kutamba mwaka 2020 kupitia uungwaji mkono wa makundi yanayoshugulikiwa vizuri na utawala wa awamu ya tano.
Makundi kama ya wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wala rushwa, wazembe kazini, wakwepa kodi, kwa sasa hawana nafasi ccm, hivyo watakimbilia chadema na kuipa matumaini ya kushinda uchaguzi wa mwaka 2020.!!!

Wewe kwa maoni yako nani atatamba 2020??
Kijana fanya kazi, achana na mambo ya siasa

Hivi leo hii unaweka vitu kama hivi badala ya kuwaza njia za kujiongezea kipato.
Mimi sina chama lakini kwa akili ndogo tuu ninawaza.

1. Hii elimu bure umeona matunda yake??
2. Ni watanzania wangapi wamefaidika kwa kufufuka atcl?
3. Ni kesi ngapi za ufisadi zimeendeshwa na kuchukuliwa hatua kwa watuhumiwa.
4. Maisha ya mtanzania wa kawaida yakoje hivi sasa?
5. Ajira kwa wasomi zimefikia wapi?
6. Uadilifu wa viongozi na weledi wa kazi hasa kwa ruhusu watu watumie taaluma zao ukoje?
7. Kwa nini nguvu kubwa inatumika kuua upinzani ulipewa baraka zite na waasisi wa taifa hili?
8. Kesho ya mtanzania inakuwaje kwa mwendo huu?

Ukijbu hayo mawazo yangu nitaelewa nini unamanisha
 
Ukisema umeibiwa kura lete ushahidi.

Kwanza Lowasa alitangaza kura zake haziibiwi kwa hiyo alikuwa anadanganya??
Ona na wwe akili mgando huo ushahidi lowasa au seif waupeleke wapi?? si mlikataza urais kuhojiwa mahakamani ssa mnatala huo ushahidi tuupeleke mahakama za kimila au????
 
Kijana fanya kazi, achana na mambo ya siasa

Hivi leo hii unaweka vitu kama hivi badala ya kuwaza njia za kujiongezea kipato.
Mimi sina chama lakini kwa akili ndogo tuu ninawaza.

1. Hii elimu bure umeona matunda yake??
2. Ni watanzania wangapi wamefaidika kwa kufufuka atcl?
3. Ni kesi ngapi za ufisadi zimeendeshwa na kuchukuliwa hatua kwa watuhumiwa.
4. Maisha ya mtanzania wa kawaida yakoje hivi sasa?
5. Ajira kwa wasomi zimefikia wapi?
6. Uadilifu wa viongozi na weledi wa kazi hasa kwa ruhusu watu watumie taaluma zao ukoje?
7. Kwa nini nguvu kubwa inatumika kuua upinzani ulipewa baraka zite na waasisi wa taifa hili?
8. Kesho ya mtanzania inakuwaje kwa mwendo huu?

Ukijbu hayo mawazo yangu nitaelewa nini unamanisha
Elimu imewasaidia sana watanzania wanyonge.
Maelfu ya watoto masikini wameenda shule
 
Ona na wwe akili mgando huo ushahidi lowasa au seif waupeleke wapi?? si mlikataza urais kuhojiwa mahakamani ssa mnatala huo ushahidi tuupeleke mahakama za kimila au????
Ushahidi unaweza ukauchapisha tu hata kwenye magazeti, watanzania wakajua ukweli
 
Ushahidi unaweza ukauchapisha tu hata kwenye magazeti, watanzania wakajua ukweli
ona huyu naye anaongea pumba ssa kma mlivamia kituo cha UKAWA pale kijitonyama na sinza mlitegemea ushahidi tuupate wapi ssa?? kwa yale matokeo ya NEC yaliyochakachuliwa??? ama??? basi hiyo ni bara kule visiwank maalim anamatokeo yote ya ZEC yakionyesha kaongoza kwa mbali sana lakini imesaidia nni??? mbona bila aibu mkaenda mkafuta uchaguzi????? kwani kafulila na wenje hawana matokeo yote ya vituoni?? ila mbona leo hii hawako bungeni???

mkuu kama huna hoja ni heri ukae kimya tu maana mnakera sana yaani lisu akiongea tu tayari mchochezi sembuse gazeti lichapishe matokeo ya KUONYESHA UPINZANI UMESHINDA??? R u serious kma ni hivyo polisi wasingevamia kituo cha LHRC/TACCEU na kuwapora laptop zao na kuwalaza selo wafanyakazi wake !!!! au wasingefungia gzeti la Mawio so usiongee tu as if uhuru wa maoni na habari ni kma marekani au uingereza
 
Elimu imewasaidia sana watanzania wanyonge.
Maelfu ya watoto masikini wameenda shule
elimu gani kwa maskini unaongelea wwe hii ya watoto wa maskini kukosa mikopo kisa mnajenga airport ya chato ama sijakuelewa??

elimu hiihiii ambapo form four waliofuzu kwenda form 5 ni wanafunzi 22% pekee ama??

elimu hiihii ambapo utafiti wa hakielimu unasema wengi wao wanamaliza bila kujua kusoma na kuandika???

elimu hiihii ambayo mwanafunzi akimaliza anakaa mitaani kwasababu hakuna ajira!!! huku serkalo ikiwa haina mpango wowote wa kusolve tatizo la ajira au kujaribu hta kuwajengea mazingira ya kujiajiri
 
mwenyekaya anajiimalisha kijeshi na kuwatishia wapinzani anaowaona wananguvu ktk jamii kwa kuwaweka lumande mala kwa mala pale wanapo thubutu kunyanyua midomo yao na kuwatetea wanyonge au wanapoona kunavitu haviendi sawa.
mbinu za aina hii wanaweza kuzitumia ktk kipindi cha uchaguzi,pale watakapozidiwa hoja kwenye kampeni hadi siku ya uchaguzi.mgombea ataanzishiwa kaugomvi anawekwa ndani;akitoka mtu keshaapishwa.kutakua na fulu ubabe.wapinza wajiandae kwa hilo la sivyo wakipa wabunge 15 wanabahati.NACHUKIA SANA.
 
Majibu ni haya kwa ufupi.
1-Kwa hizi kauli za kuwagawa atachaguliwa tena.
2-Kwa kutoajiri atarudi tena
3-Kwa ukiranja Mkuu atarudi tena
4-Kwa ubabe atarudi tena
Zipo sababu nyingi ambazo zinawashangaza watanzania utakuwa tunapelekwa wapi
 
Kuanzia 1995 CCM hijawahi kutamba..ila uwa inajua methodology ya kushinda..labda kidogo mwaka 2000 na 2005....
 
Kila chama kitashinda kulingana na sera zake iyo 2020 hakuna cha CCM wala Chadema.
 
Kwa jinsi mikito ya kisiasa inavyoenda sasa hivi, mtu yoyote makini anaweza kutabiri upepo wa kisiasa utakavyokuwa kwenye uchaguzi kwa ngazi zote mwaka 2020.

Kwa sasa ccm wanajitahidi kadiri ya uwezo wao kupambana na rushwa,ufisadi na madawa ya kulevya kwa nguvu zao zote.
Elimu bure, serikali kuhamia dodoma na kufufuka kwa Atcl pamoja na kuboreka kwa bei ya mazao ya biashara kwa wakulima kama vile pamba na korosho ni baadhi ya mambo yanayotoa mwanga kwa ccm kuendelea kutamba na kuaminiwa na wananchi zaidi mwaka 2020.

Kwa upande mwingine Chadema wanajaribu kuwinda na kuvutia wanachama wapya kwa kutetea wakwepa kodi, wala rushwa, mafisadi na wauza madawa ya kulevya.
Chadema wanajaribu kujibanza nyuma ya wafanyabiashara, kwamba ikishinda chadema, biashara zao zitaboreka ,pia licha ya kwamba chama hakina hata ofisi, chadema wameahidi wanafunzi watasoma bure mpaka chuo kikuu.
Kwa hali hiyo chadema pia inatoa mwanga wa kutamba mwaka 2020 kupitia uungwaji mkono wa makundi yanayoshugulikiwa vizuri na utawala wa awamu ya tano.
Makundi kama ya wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wala rushwa, wazembe kazini, wakwepa kodi, kwa sasa hawana nafasi ccm, hivyo watakimbilia chadema na kuipa matumaini ya kushinda uchaguzi wa mwaka 2020.!!!

Wewe kwa maoni yako nani atatamba 2020??
Toa pumba zako
 
It's obvious bila Damien Lobouver ccm ni chali
 
Back
Top Bottom