Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,828
Mtoto: Umesikia baba eti babu mmoja Loliondo anaponya magonjwa yote
Baba: Ndiyo nimesikia, unajua chanzo cha ukimwi ni nini?
Mtoto: (akafikiria kidogo) na kusema CCM!
Baba: Are you sure?
Mtoto : Ndiyo (mtoto akaeleza kwa kirefu,akatoa sababu za umaskini, uchumi n.k)
Baba🙁 akiwa amaeridhika na maelezo akaona amuulize mwanaye swali la mtego)
Sasa huyu babu yeye ni mwanachama wa chama gani?
Mtoto: (bila kusita) Chadema!
Baba: Ndiyo nimesikia, unajua chanzo cha ukimwi ni nini?
Mtoto: (akafikiria kidogo) na kusema CCM!
Baba: Are you sure?
Mtoto : Ndiyo (mtoto akaeleza kwa kirefu,akatoa sababu za umaskini, uchumi n.k)
Baba🙁 akiwa amaeridhika na maelezo akaona amuulize mwanaye swali la mtego)
Sasa huyu babu yeye ni mwanachama wa chama gani?
Mtoto: (bila kusita) Chadema!