CCM ukimwi! Babu Loliondo -Chadema

CCM ukimwi! Babu Loliondo -Chadema

Waberoya

Platinum Member
Joined
Aug 3, 2008
Posts
15,157
Reaction score
10,828
Mtoto: Umesikia baba eti babu mmoja Loliondo anaponya magonjwa yote
Baba: Ndiyo nimesikia, unajua chanzo cha ukimwi ni nini?
Mtoto: (akafikiria kidogo) na kusema CCM!
Baba: Are you sure?
Mtoto : Ndiyo (mtoto akaeleza kwa kirefu,akatoa sababu za umaskini, uchumi n.k)
Baba🙁 akiwa amaeridhika na maelezo akaona amuulize mwanaye swali la mtego)
Sasa huyu babu yeye ni mwanachama wa chama gani?
Mtoto: (bila kusita) Chadema!
 
Ahahahahaaah!! Utani ambao makada wa chama chetu hawataupenda!
 
hahahahaha!!!!huyu atakuwa mjukuu wako huyu!!!
 
Back
Top Bottom