CCM: Tunahitaji wadhamini 450 tu

CCM: Tunahitaji wadhamini 450 tu

Lowassa anakiuka taratibu kwani kinachoonekana ameamua kwenda na vyote wadhamini na kampeini ...two in 1

Mkuu anatisha ccm eti iogope kukata jina lake kuhofia eti anaondoka na wafuasi maandazi wake
 
lengo la kuzidisha wadhamini ni kutaka kukitisha chama chake ili wasimpige chini wakati wa mchujo. chezea lowasa ww
.
 
Lowassa anakiuka taratibu kwani kinachoonekana ameamua kwenda na vyote wadhamini na kampeini ...two in 1

na ndicho hicho kitu au hivyo vitu vitakavyomfanya awe disqualified na ninachowaombeni wote mnaomshabikia na yeye mwenyewe pia ni kwamba mjiandae kisaikolojia vinginevyo tarehe 12 july 2015 tutegemee msiba mkubwa na mzito tena nchini tanzania kwani nina hakika bp au presha ya mshtuko itaondoka na mtu anayependwa kwa kuwahonga watanzania pesa alizowaibia kifisadi ndani ya miaka 6 ya uwepo wa kampuni yake ya umeme huku yeye binafsi akiweka kibindoni tsh milioni 153 kwa siku. piga hiyo hela mara miezi 72. kwa hiyo pesa kwanini asipande private jet huku akiwanunua vijana na viongozi wapuuzi wenye njaa huku akivitumia vyombo vya habari kwa kuwanunua wahariri kusudi apate coverage kila siku? rais wetu ni kati ya professor sospeter muhongo au dr. john magufuli mtake msitake huku makamu wao akiwa ni makongoro nyerere ili kukomba kura nyingi kupitia jina la hayati baba yake na ndiyo maana hata jaji augustino ramadhan ilikuwa na yeye achukue form ila ameambiwa auchune kwa faida ya chama. yoyote kati ya hao wawili niliowatajwa hapo akipitishwa basi mgombea mwenza wake lazima awe makongoro na atakayebakia ndiyo atakuwa waziri mkuu. nayasadiki maneno yangu haya kwenu wote nikiwa na uhakika wa 100% wa nilichokiandika hapa na mwezi ujao tarehe 12 tutaheshimiana na naomba tu tusije tukakimbiana humu.
 
Leo nimeshangaa kuna gari ya matangazo inapita mitaani inahamasisha watu wajitokeze kwa wingi kuja kumdhamini lowasa, bodaboda wameandikishwa majina kwa ajili ya kulipwa kumlaki fisadi mkuu.
 
Lowassa anakiuka taratibu kwani kinachoonekana ameamua kwenda na vyote wadhamini na kampeini ...two in 1
Mkuu, ishara zote kuhusu maonyo ya Mwalimu kwa wale wanaokimbilia Ikulu ziko wazi lakini watanzania hawaoni, hawasikii, ni mafuriko tu!
 
na ndicho hicho kitu au hivyo vitu vitakavyomfanya awe disqualified na ninachowaombeni wote mnaomshabikia na yeye mwenyewe pia ni kwamba mjiandae kisaikolojia vinginevyo tarehe 12 july 2015 tutegemee msiba mkubwa na mzito tena nchini tanzania kwani nina hakika bp au presha ya mshtuko itaondoka na mtu anayependwa kwa kuwahonga watanzania pesa alizowaibia kifisadi ndani ya miaka 6 ya uwepo wa kampuni yake ya umeme huku yeye binafsi akiweka kibindoni tsh milioni 153 kwa siku. piga hiyo hela mara miezi 72. kwa hiyo pesa kwanini asipande private jet huku akiwanunua vijana na viongozi wapuuzi wenye njaa huku akivitumia vyombo vya habari kwa kuwanunua wahariri kusudi apate coverage kila siku? rais wetu ni kati ya professor sospeter muhongo au dr. john magufuli mtake msitake huku makamu wao akiwa ni makongoro nyerere ili kukomba kura nyingi kupitia jina la hayati baba yake na ndiyo maana hata jaji augustino ramadhan ilikuwa na yeye achukue form ila ameambiwa auchune kwa faida ya chama. yoyote kati ya hao wawili niliowatajwa hapo akipitishwa basi mgombea mwenza wake lazima awe makongoro na atakayebakia ndiyo atakuwa waziri mkuu. nayasadiki maneno yangu haya kwenu wote nikiwa na uhakika wa 100% wa nilichokiandika hapa na mwezi ujao tarehe 12 tutaheshimiana na naomba tu tusije tukakimbiana humu.

Yani Raisi awe Mtanganyika na makamu wake pia? Huijui katiba ya JMT wewe
 
Sizitaki mbichi hizi....wangejitokeza kwake angewakataa.. Siasa ni watu...Huwezi kupitisha MTU kwenye wadhamini 200 ukamuacha MTU anayeungwa mkono na watu 22,000
 
na ndicho hicho kitu au hivyo vitu vitakavyomfanya awe disqualified na ninachowaombeni wote mnaomshabikia na yeye mwenyewe pia ni kwamba mjiandae kisaikolojia vinginevyo tarehe 12 july 2015 tutegemee msiba mkubwa na mzito tena nchini tanzania kwani nina hakika bp au presha ya mshtuko itaondoka na mtu anayependwa kwa kuwahonga watanzania pesa alizowaibia kifisadi ndani ya miaka 6 ya uwepo wa kampuni yake ya umeme huku yeye binafsi akiweka kibindoni tsh milioni 153 kwa siku. piga hiyo hela mara miezi 72. kwa hiyo pesa kwanini asipande private jet huku akiwanunua vijana na viongozi wapuuzi wenye njaa huku akivitumia vyombo vya habari kwa kuwanunua wahariri kusudi apate coverage kila siku? rais wetu ni kati ya professor sospeter muhongo au dr. john magufuli mtake msitake huku makamu wao akiwa ni makongoro nyerere ili kukomba kura nyingi kupitia jina la hayati baba yake na ndiyo maana hata jaji augustino ramadhan ilikuwa na yeye achukue form ila ameambiwa auchune kwa faida ya chama. yoyote kati ya hao wawili niliowatajwa hapo akipitishwa basi mgombea mwenza wake lazima awe makongoro na atakayebakia ndiyo atakuwa waziri mkuu. nayasadiki maneno yangu haya kwenu wote nikiwa na uhakika wa 100% wa nilichokiandika hapa na mwezi ujao tarehe 12 tutaheshimiana na naomba tu tusije tukakimbiana humu.
Maneno mengi unaandika ujinga wala haujui mgombea mwenza lazima atoke upande wa pili wa jamhuri ya muungano na kwa akili yako kweli magufuli na muhongo wapewe nchi we kweli chizi mambo yote ukawa
 
na ndicho hicho kitu au hivyo vitu vitakavyomfanya awe disqualified na ninachowaombeni wote mnaomshabikia na yeye mwenyewe pia ni kwamba mjiandae kisaikolojia vinginevyo tarehe 12 july 2015 tutegemee msiba mkubwa na mzito tena nchini tanzania kwani nina hakika bp au presha ya mshtuko itaondoka na mtu anayependwa kwa kuwahonga watanzania pesa alizowaibia kifisadi ndani ya miaka 6 ya uwepo wa kampuni yake ya umeme huku yeye binafsi akiweka kibindoni tsh milioni 153 kwa siku. piga hiyo hela mara miezi 72. kwa hiyo pesa kwanini asipande private jet huku akiwanunua vijana na viongozi wapuuzi wenye njaa huku akivitumia vyombo vya habari kwa kuwanunua wahariri kusudi apate coverage kila siku? rais wetu ni kati ya professor sospeter muhongo au dr. john magufuli mtake msitake huku makamu wao akiwa ni makongoro nyerere ili kukomba kura nyingi kupitia jina la hayati baba yake na ndiyo maana hata jaji augustino ramadhan ilikuwa na yeye achukue form ila ameambiwa auchune kwa faida ya chama. yoyote kati ya hao wawili niliowatajwa hapo akipitishwa basi mgombea mwenza wake lazima awe makongoro na atakayebakia ndiyo atakuwa waziri mkuu. nayasadiki maneno yangu haya kwenu wote nikiwa na uhakika wa 100% wa nilichokiandika hapa na mwezi ujao tarehe 12 tutaheshimiana na naomba tu tusije tukakimbiana humu.
punguzeni porojo...jaji ramadhani kachukua fomu ati...ila kidogo una mawazo mazuri maana ni kheri ya wote kuliko Lowasa.
Mzee Lowasa ashaanza kutudharau maskini kwa zile pesa zetu wenyewe.
 
Wapendwa wanaJamvi,

Natumaini chama cha CCM, kitazingatia idadi ya wadhaminiiliyowekwa kwa kila mkoa kwamba ni wadhamini 30 tu na kwa mikoa 15 inafanya wadhamini kuwa 450.

Maana naona Wanaowania Kuingia Ikulu, wanajifurahisha na kujiridhisha na kututangazia idadi kubwa ya wadhamini waliowapata toka katika mikoa waliokwisha pita na kuwapata.

Niwakumbushe tu kuwa majina yanayotakiwa kwenye chama chetu ni 450 tu kwa hiyo hayo yanayobaki watayachukua wao kwa ajili ya kujisomea pamoja na kumbukumbu zao binafsi.

Nawasilisha.

Kwa wale wanaojifanya akina TEAM FULANI NA TEAM FULANI kuwa baada ya mchakato kwisha na watarajiwa wao kukosa kinyanganyiro basi wawape hizo copy za majina kwa ajili ya kumbukumbu zao binafsi.
 
Omega2010, wadhamini wote hao ndio wapiga kura wa Oktoba 2015 na ili mtia nia uwe na uhakika na safai yako ni busara ujue kila mkoa unaungwa mkono kiasi gani na saini zote zinapokelewa CCM ili mradi zisipungue 450 hizo za ziada zinaongeza CV ya mgombea jinsi anavyokubalika na zinatoa idadi ya kura tarajiwa.Amka acha uzuzu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kinachoendelea sasa ni hadaa ya baadhi ya wanasiasa ili kuwaaminisha Watanzania kuwa wanakubalika. Vigezo na masharti vitazingatiwa
 
oega2010 wadhamini wote hao ndio wapiga kura wa oktoba 2015 na ili mtia nia uwe na uhakika na safai yako ni busara ujue kila mkoa unaungwa mkono kiasi gani na saini zote zinapokelewa ccm ili mradi zisipungue 450 hizo za ziada zinaongeza CV ya mgombea jinsi anavyokubalika na zinatoa idadi ya kura tarajiwa....amka acha uzuzu
Acha uduanzi wewe. Hayo ni maoni yako tu
 
UTAKUFA KWA WIVU WEWE
MTASHINDANA SANA NA KUBUNI KILA AINA YA UPUUZI LAKINI HAMTASHINDA /
---- FORM INATAKA WADHAMINI WASIOPUNGUA 450 PUNGUFU YA HAPO NI MISQUALIFICATION,
ZAIDI YA HAPO NI HERI TU NA BARAKA TELE TELE!/i
 
Oktoba Taifa lina renew Mkataba kwa wana Mtandao kwa Miaka kumi mengine, kila la Kheir Wa Tanzania
 
Back
Top Bottom