ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Sasa kama mgombea anaweza kuonesha kwamba anakubalika na wadhamini wengi zaidi, kwa nini kumzuia?
Kwa nininCCM inaqeka kikomo cha wadhamini? Kwa nini haikusema inataka angalau wafhamininkadhaa lakininisiweke kiwango cha juu?
Inaogopa kuanzisha a tangible opinion poll?
Kwa nini CCM inaogopa sauti za watu?
Kwa sababu inataka kuwachagulia wananchi rais badala ya wananchi kuchagua rais wao?
Fuata kanuni. umeambiwa jibu maswali matano wewe kwa kujifanya wajua unajibu maswali kumi.ujuha.