CCM: Tunahitaji wadhamini 450 tu

CCM: Tunahitaji wadhamini 450 tu

Kuwa muelewa....hatua iliyopo sasa sio ya Watanzania kutoa maoni. Na hata wakitoa, maoni yao yatakuwa useless na wastage of time. Hatua tuliyopo sasa inawahusu strictly wana CCM tu. Baada ya tarehe 12 na 13 ya mwezi julai kupita, ndio hapo kila Mtanzania ana haki ya kutoa maoni, kujadili na mengineyo.

Hivyo basi, kwa sasa hapa mnapoteza muda kuongelea mambo ya wana CCM wakati ninyi ni aidha wapinzani au wananchi msio na vyama.

Intellect of a millipede; think out of the box!
 
Potelea mbali,ni lowassa anayedhaminiwa na maefu,huwezi kuzuia,na nimehakikisha mkoa fulani wagombea wameenda,wadhamini ni taabu,wengine wanasema wazi ah kadi yangu ni ya lowassa,na hajafika huko lowassa,acheni bwn ,watz wanamtaka edward hakuna cha kukomba wadhamini wala nn,mjue ndo anatufaa lowassa.
 
Salary Slip

WIVU CHUKI MAJUNGU YA WABAYA WA LOWASSA,KAMA TUMEPENDA NA TUNAAMUA KUMDHANI NA TUKO HATA KUMI ELFE KWANINI TUSIFANYE HIVYO!
N.B/ KUJITOKEZA KWA WINGI MAANA YAKE TUNATAKA YEYE NDIO AWE KIONGOZI WETU/ii
 
Last edited by a moderator:
Potelea mbali,ni lowassa anayedhaminiwa na maefu,huwezi kuzuia,na nimehakikisha mkoa fulani wagombea wameenda,wadhamini ni taabu,wengine wanasema wazi ah kadi yangu ni ya lowassa,na hajafika huko lowassa,acheni bwn ,watz wanamtaka edward hakuna cha kukomba wadhamini wala nn,mjue ndo anatufaa lowassa.

Ukimwangalia E.L anatembea unaweza kudhañi jamaa amebemendwa hivi a.k.a mzee mjenzi huru
 
inaitwa political suffocation strategy, yaani unakomba wadhani 7000 mkoa mmoja harafu wengine wakija wanakosa wadhamini, utawapitishwaje kirahisi???
 
Alichokifanya Lowassa ni kuwaondoa wapinzani wake mapema kwa kuchukua wadhamini takribani wote. Sasa viongozi wa ccm wamegundua kuwa wagombea wanaowataka watakosa wadhamini na sasa wanalegeza kamba kutoa favour.
Team Lowassa ilitaka kuuaminisha uma wa watz kuwa wanamtaji mkubwa wa kura kwa uchaguzi mkuu ujao
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Wasichokijua wengi humu ni kuwa Hao wadhamini 30 kwa kila mkoa wanatayarishwa na makatibu wa CCM wa mkoa na kuwa designated kwa kila mgombea.

Sasa huu upuuzi wa kupata wadhamini kwa maelfu ni fujo zinazoonesha ulimbukeni halisi wa mgombea.waste of time resources and shows we are dealing with showmen instead of leaders.

Ukutazama huu uprimadona wa udhamini utaona wepi ni viongozi wepi ni wakurupukaji,waropokaji na vimeo.
 
wagombea wa ccm walishaelezwa kila mkoa wadhamini 30 bara mikoa 10 visiwani mikoa 5 kujifanya kukusanya wadhamini ni uzuzu
 
Wasichokijua wengi humu ni kuwa Hao wadhamini 30 kwa kila mkoa wanatayarishwa na makatibu wa CCM wa mkoa na kuwa designated kwa kila mgombea.

Sasa huu upuuzi wa kupata wadhamini kwa maelfu ni fujo zinazoonesha ulimbukeni halisi wa mgombea.waste of time resources and shows we are dealing with showmen instead of leaders.

Ukutazama huu uprimadona wa udhamini utaona wepi ni viongozi wepi ni wakurupukaji,waropokaji na vimeo.

Alafu kuna haja gani ya mtu kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini hao?Hivi hawawezj kutumia njia nyingine za mawasiliano kupata wadhamini wakati ofisi na watendaji wapo karibu nchi nzima?
 
hadi sasa lowassa ana wazamini 395,550-450=395100....respect..hata wangeta 10,au million 5 wangepatikana....
TULIFURAHI PAMOJA,TULIUZUNIKA PAMOJA,NA SASA TUTASHINDA 2015-2025 EDWARD LOWASSA...Simama uhesabiwe..
 
Kuna wagombea wanajua jinsi chama chao kilivyofirisika kwa hiyo wanaweza kufanya vurugu zote. Anyways ni kweli ccm iko ICU, ila I presume they still have some breathing. I may be wrong though!
 
Sijaona tatizo hapo. Mwache atoe maoni.

Kambi ya fisadi inamshambulia,taratibu zilizowekwa ni watu 450 nchi nzima lkn MTU hata taratibu za chama ndogo hajui atawezaje kuongoza nchi,mgombea hats kueshimu taratibu za chama hawezi eti ape we nchi so ujinga huo mfn Lowasa.
 
Inashangaza sn mtu hata taratibu za chama hajui eti anataka kuwa rais kama sio weu ni nini,chama kinasema wadhamini 450 nchi nzima mtu nazungua na na misafara mikubwa kukushanya maelf ya wazamini na kuchukua kadi zao anapeleka wapi? Tukisema wengine wanaumwa akili vibaraka wao wanapiga kelele hata hilo hamlioni? Kwamba ni upungufu wa aina yake,
 
Mleta mada,

Katika kipindi kama hiki ulipaswa ujikite zaidi na chama chako cha UKAWA sijui CHADEMA....Mambo ya CCM tuachie wana CCM wenyewe.
Wewe ni mara ngapi uliisema Chadema/Ukawa? Je, mtoa mada kajitambulisha yeye ni mwanachadema?
 
Inashangaza sn mtu hata taratibu za chama hajui eti anataka kuwa rais kama sio weu ni nini,chama kinasema wadhamini 450 nchi nzima mtu nazungua na na misafara mikubwa kukushanya maelf ya wazamini na kuchukua kadi zao anapeleka wapi? Tukisema wengine wanaumwa akili vibaraka wao wanapiga kelele hata hilo hamlioni? Kwamba ni upungufu wa aina yake,

Anatishia nyau ili wamuogope
 
Back
Top Bottom