Acha uduanzi wewe. Hayo ni maoni yako tu
Lizabon
Habari ndiyo hiyo siyo swala la wivu ni utaratibu na vigezo na masharti wanaotakiwa ni 450 tu. na si kwamba wanaozidi wote ndiyo guarantee ya kuwapata wapiga kura la hasha
Last edited by a moderator:
Acha uduanzi wewe. Hayo ni maoni yako tu
Sasa kama mgombea anaweza kuonesha kwamba anakubalika na wadhamini wengi zaidi, kwa nini kumzuia?
Kwa nininCCM inaqeka kikomo cha wadhamini? Kwa nini haikusema inataka angalau wafhamininkadhaa lakininisiweke kiwango cha juu?
Inaogopa kuanzisha a tangible opinion poll?
Kwa nini CCM inaogopa sauti za watu?
Kwa sababu inataka kuwachagulia wananchi rais badala ya wananchi kuchagua rais wao?
Ni utaratibu wa kawaida kabisa mtu anapoomba kazi anaambiwa atoe majina 'kadhaa' kama reference. Na mara nyingi huwa wanataja idadi ya watu wanaohitajika kwenye hicho kipengele cha refence, mfano watu watu. Hivyo kwa CCM kuweka idadi ya wadhamini kwa kila mgombea ni utaratibu wa kawaida kabisa. Lakini cha kushangaza, watu wameambiwa wadhamini wanaotakiwa ni 450, halafu wanatafuta wadhamini 120,000! Hiyo tu inaonesha ni jinsi gani mtu hafuati maelekezo.
Kwa nini 450 na si 451 au 500?
Kwanini mwajiri aseme 3 na si 6?
Sasa kama mgombea anaweza kuonesha kwamba anakubalika na wadhamini wengi zaidi, kwa nini kumzuia?
Kwa nininCCM inaqeka kikomo cha wadhamini? Kwa nini haikusema inataka angalau wafhamininkadhaa lakininisiweke kiwango cha juu?
Inaogopa kuanzisha a tangible opinion poll?
Kwa nini CCM inaogopa sauti za watu?
Kwa sababu inataka kuwachagulia wananchi rais badala ya wananchi kuchagua rais wao?
Sasa kama mgombea anaweza kuonesha kwamba anakubalika na wadhamini wengi zaidi, kwa nini kumzuia?
Kwa nininCCM inaqeka kikomo cha wadhamini? Kwa nini haikusema inataka angalau wafhamininkadhaa lakininisiweke kiwango cha juu?
Inaogopa kuanzisha a tangible opinion poll?
Kwa nini CCM inaogopa sauti za watu?
Kwa sababu inataka kuwachagulia wananchi rais badala ya wananchi kuchagua rais wao?
Mwajiri gani?
Wako.........