CCM: Tujisahihishe au Tugawane Chama

Kila ninapokutana na maneno kama haya hubaki nikijiuliza hivi Watanzania tuna laana gani. Hii hoja ukiitafakari kwa ndani unabaki tu unajiuliza mwandishi alitaka kufikisha ujumbe gani na kwa wasomaji wa aina gani. Je mwandishi huo ujumbe ameuelekeza kwa Watanzania kwa ujumla wao bila kujali itikadi zao au wana CCM peke yao. Kwa vyovyote vile na bila kujali ujumbe uliwalenga watu wa aina gani kuna mapungufu makubwa kwenye ujumbe huu ambayo ni vigumu kuyanyamazia.

Picha ninayopata kwa haraka haraka ni kuwa yawezekana mwandishi, kama walivyo wananchi wengi, anaamini kutoka moyoni mwake kuwa Tanzania bila CCM haiwezekani. Kabla sijaendelea kuchangia kwenye hii mada namwomba mwandishi atoe ufafanuzi kidogo kuhusu mchango wa watu kama sisi ambao tunaamini kwa dhati kabisa kuwa tatizo kubwa linalotukabili Watanzania sio sera wala itikadi bali utawala madhubuti unaoheshimu sheria, ambao CCM imeshindwa kuusimamia kwa miaka 27.
Sera/itikadi ndiyo zinazo affect the rule of law.
Since 1992, tumeona ufisadi na uroho wa fedha unavyoweza kuifanya sheria yeyote nchini ionekane kama ni wimbo wa kihindi, ambao haueleweki.
Ingawa mimi si mwandishi, ningependa kuchangia kwamba itikadi huzaa sera ambazo zinaelekeza utawala jinsi ya kutunga sheria ambazo hazina budi kuheshimiwa, kwa sabababu consequences zake zitakuwa deadly.
 
Kila ninapokutana na maneno kama haya hubaki nikijiuliza hivi Watanzania tuna laana gani. Hii hoja ukiitafakari kwa ndani unabaki tu unajiuliza mwandishi alitaka kufikisha ujumbe gani na kwa wasomaji wa aina gani. Je mwandishi huo ujumbe ameuelekeza kwa Watanzania kwa ujumla wao bila kujali itikadi zao au wana CCM peke yao. Kwa vyovyote vile na bila kujali ujumbe uliwalenga watu wa aina gani kuna mapungufu makubwa kwenye ujumbe huu ambayo ni vigumu kuyanyamazia.

Picha ninayopata kwa haraka haraka ni kuwa yawezekana mwandishi, kama walivyo wananchi wengi, anaamini kutoka moyoni mwake kuwa Tanzania bila CCM haiwezekani. Kabla sijaendelea kuchangia kwenye hii mada namwomba mwandishi atoe ufafanuzi kidogo kuhusu mchango wa watu kama sisi ambao tunaamini kwa dhati kabisa kuwa tatizo kubwa linalotukabili Watanzania sio sera wala itikadi bali utawala madhubuti unaoheshimu sheria, ambao CCM imeshindwa kuusimamia kwa miaka 27.

Mwandishi amejaribu kuonesha kwamba both CCM na CHADEMA ni vyama ambavyo kimsingi ni vya kibepari kwa sasa.

Na ubepari siku zote unatawaliwa au kuongozwa na vitu vikuu vitatu, greed, greed and more greed.

Hatuwezi kuwa na rule of law kwenye taifa la kibepari lisilokua na strong independent institutions, kama Judiciary, Legislative branch, na ofisi nyeti kama za PCCB, DPP office, TRA.

Hata huko kwenye mataifa yenye strong independent institutions tumeona jinsi greed ya mfumo wa kibepari unavyoweza kuvuruga uchumi wa mataifa yaliyosimama kitambo.

Hata hao CHADEMA kama wanamrengo wa kibepari, its only a matter of time before greed that is naturally inherent in capitalist system itacatch up with them, na kwa kuwa hakuna strong independent institutions, tutarudi square one kama leo tulivyokua na CCM.

Binafsi nafkiri jambo kubwa kabisa ni kuwa na KATIBA MPYA KABISA, itakayojenga stong, independent institutions kwanza. Hayo ya kufuata rule of law with so many loopholes za abuse of power with impunity, largely yanadepend on the character ya mtu aliyepewa usukani wa nchi which can not be guaranteed.
 
Kila ninapokutana na maneno kama haya hubaki nikijiuliza hivi Watanzania tuna laana gani. Hii hoja ukiitafakari kwa ndani unabaki tu unajiuliza mwandishi alitaka kufikisha ujumbe gani na kwa wasomaji wa aina gani. Je mwandishi huo ujumbe ameuelekeza kwa Watanzania kwa ujumla wao bila kujali itikadi zao au wana CCM peke yao. Kwa vyovyote vile na bila kujali ujumbe uliwalenga watu wa aina gani kuna mapungufu makubwa kwenye ujumbe huu ambayo ni vigumu kuyanyamazia.

Picha ninayopata kwa haraka haraka ni kuwa yawezekana mwandishi, kama walivyo wananchi wengi, anaamini kutoka moyoni mwake kuwa Tanzania bila CCM haiwezekani. Kabla sijaendelea kuchangia kwenye hii mada namwomba mwandishi atoe ufafanuzi kidogo kuhusu mchango wa watu kama sisi ambao tunaamini kwa dhati kabisa kuwa tatizo kubwa linalotukabili Watanzania sio sera wala itikadi bali utawala madhubuti unaoheshimu sheria, ambao CCM imeshindwa kuusimamia kwa miaka 27.

Asante kwa swali zuri;

Sidhani kama umenisoma vizuri na kuelewa hoja yangu; kwa ufupi nacho argue ni kwamba sio CCM ya Sasa na wala si Chadema au chama chochote cha siasa leo hii Tanzania kina agenda ya kweli ya kumletea mwanakijiji maendeleo; vyote vinakumbatia soko huru ambalo kwa kweli kwa miaka 25 ya uwepo wake, mwanakijiji ni yule yule; Chama kitakachoweza mletea mwanakijiji maendeleo lazima kiwe more radical, chama kitachoamua kwa dhati kabisa watanzania kumiliki their development agenda, sio kuwaachia IMF na WorldBank kutuburuza; ili hilo litokee, ni vyema aidha vyama vilivyopo vibadilike pamoja na CCM yenyewe; na kama haviwezi, CCM ina mwongozo mzuri sana ambao hautekelezeki kwa sababu chama kinaendesha bila dira ya kueleweka; kikimeguka na vyama viwili hivyo vichagua kila mmoja upande wake wa itikadi, itatupelekea mbele;


Na tatizo Tanzania sio sera, ni ukosefu wa itikadi inayoshabihiana na maisha ya mwanakijiji, itikadi ambayo viongozi wapo tayari kuitekeleza kwa vitendo; vinginevyo sera zipo nyingi tu, ingawa CCM, Chadema, lugha ni zile zile, wanachopishana na lafudhi; lakini hakuna chama kinachomlenga adui wa kweli wa taifa hili, na adui huyo sio ufisadi bali muundo unaolea hao mafisadi, muundo ambao hata baba wa taifa ulimlemea - upo nje ya nchi hii, wa humu ndani ni vibaraka wa hao wa nje;

Tanzania bila CCM inawezekana ili mradi tu chama kingine kitakuwa radical kwa kuchukua mazuri ya azimio la arusha (na kuacha ya kipumbavu); na Azimio la Arusha halikuundwa kwa ajili ya wana CCM tu, ni la watanzania wote;
 
Sera/itikadi ndiyo zinazo affect the rule of law.
Since 1992, tumeona ufisadi na uroho wa fedha unavyoweza kuifanya sheria yeyote nchini ionekane kama ni wimbo wa kihindi, ambao haueleweki.
Ingawa mimi si mwandishi, ningependa kuchangia kwamba itikadi huzaa sera ambazo zinaelekeza utawala jinsi ya kutunga sheria ambazo hazina budi kuheshimiwa, kwa sabababu consequences zake zitakuwa deadly.

Better said kuliko my attempt; asante sana kwa mchango wako;
 
....... Kabla sijaendelea kuchangia kwenye hii mada namwomba mwandishi atoe ufafanuzi kidogo kuhusu mchango wa watu kama sisi ambao tunaamini kwa dhati kabisa kuwa tatizo kubwa linalotukabili Watanzania sio sera wala itikadi bali utawala madhubuti unaoheshimu sheria, ambao CCM imeshindwa kuusimamia kwa miaka 27.

Mag nitofatiane na wewe kidogo
Mmbona watu wanatumia hizo hizo sheria kufanya ufisaidi au kukwepa kuwajibika au kuwajibishwa. Mimi naendea kutolea mfano wa ukiuliza

  • kwa nn ofisa atumie VX kutoka masaki kwenda posta . utaambiwa hakuna walichokiuka kila kitu kimefuata sheria na taratibu za tender
  • Ukiuliza lakini VX linakula mafuta sana Wizara moja inaweza kuokoa mamilioni ama japo VX zake tatu zingekuwa ni vitara. Utaambiwa bajeti ya mafuta ipo ya VX ipo na inafuta kanuni za serikali .....(so wamefuta sheria)
So tatizo sio tu suala la legal accuntability kuna suala pia la moral respnsibility. Mambo mengi ya ajabu yanafanyika ni legaly right. Lakini morally na kizalendo ni wrong. Ndio hapo nyerere ataendelea kuwa mfano wa vingozi wazalendo ambao hatuna hivi sasa. Ndio maana nakubalina na mchambuzi kuwa kuna baadhi ya mamb mazuri wenye azimio la arusha.

Tunaona serikali ya CCM kupitia bunge katika kipindi hiki kigumu kiuchumi wameamua kuwaongezea wahesmhimiwa mshiko. Lakini hili suala hata wapinzani hawaongei lugha moja. Kama ni sheria za kuwaongezea mshahara wabunge nadhani zimefutwa lakini je.........(kwa hili ngoja niishie hapa).

Sasa waulize kwa nini walificha ongezeko hili halikutagzwa kwenye bajeti kuu mwezi wa sita. Utaambiwa sheria inarushu maslahii ya wabunge kufanyiwa kazi wakati wowote. Hiyo hiyo sheria amabyo wengine wanashindwa kuongezwamshahara wanaambiwa wasubiri bajeti. mpya....

BTN
Sio kwamba natetea CCM. kwangu pia nadhani CCM should be out ateast for ten years lakini ukweli hata CDM ambayo kwa sasa inaokenana ni altenative haijajipanga. Au ndio demokrasia yenyewe hiyo....... Shibuda anasema yeye atachukua tu posho, Zitto anasema hataki, Mbowe mwenyekiti na mbunge naye sijamsikia.
....
 
@machambuzi
Umezungumzia mambo ya kiuchumi na yanayotakiwa kufanyika . Samahani mimi nitandelea kutoa mifano ya viongozi wabunifu na mifano ya ideas mpya zianzoweza kututoa hapa tukaenda pale. Naweza kuwa natoka nje ya mada lakini haya nayoandika either CCM Ivunjike au isivunjike au CDM ishinde au isishine ndio vitu vinatakiwa kufanyika regarless of chama. Ni mambo kam haya yatawianua wananchi hata wale wa vijijini.

Ajira kwa vijana

Kuna kasumba na mawazo mgando wanasiasa na na wasomi( Nimetoa mfano juu lakini hapa nakuja kivingine)

  • mtu/ ijana kufanikiwa mpaka afanya kazi ya kalamu.
  • Kijana kufanikiwa mpaka afike afie vyuo kama SUA, UDSM TUMAINI IFM CHuo cha ardhi, college za sheria, TIA na vyo kama hivyo........
Mimi kwa mawazo naona michezo ina nafsi nzuri ya kutoa ajira nyingi na hata kipato kikubwa kwa watu ambao wana vipaji. Tunawez kuona kenya. Wanariaha wa kenya $$$$ wanazoingiza kwa mwaka ni nyingi. Wanaridha hao wengine wankuja kujua hata kuongea kiziungu si kwa sababu walisoma bali wamejua kuongea kizungu sababu ya ridha na kipaji cha riadha.....

Kitendo cha wanasiasa na wanachi kuwaona vijana walioshia la saba au form four kama failiere ni sehemu ya kukosa ubunifu. na mawazo mgando

Huwa nikiona watoto wanakimbizana na walindi pale feri magogoni sababu wanapenda kuchezea maji na kugelea najiuliza akitokea mwanasiasa akaagiz JWTZ au JK Twajenge kituo cha mafunzo ya kuongela kigamboni kwa vijana........ Within three years tutakuwa na waogeleaji wazuri kama wa Australia, USA au southa africa. Vipaji vya vijana viigunduiwa mapema na vikaendelezwa ni mtaji wa ajira tosha. hata ama tusipofanya vizuri kidunia basi kwa afrika tutakuwa tumo.

Michezo karne hii hitegemi vipaji tu bali ni vipaji pamoja na tekniki .Mkoa wa arusha una watu wana vipaji vya kukimbia. Tatizo miaka hii hatupati medali kama kenya sababu hakun akiongozi mbunifu wa kubuni namna ya kuibua hivyo vipaji hata kama vijana hao ni wae waliopachikwa jina la walioshindwa wa darasa la saba au form four. Serikli kutumia JWTZ au JKT wana reouces za kuwezesha hilo. Ni kiasi cha kubuni program fulani za muda mfupi au kipindi cha likizo ili kudungua vipaji vilivyopo wenye mashule Primary au sekondary ili viendelezwe

Mwanasiasa waatakumbia majibu kuwa ufinyu wa bajeti haiuruhusu hayo kufanyika. Wengine watakumbi sio kazi ya vyombo vya usalama.(Wamekariri) Lakini kwa mbunifu atajua hata kama Tanzania haina fedha na kipaji kipo basi tufanye kama wanavyofanya waethiopia na wanakenya. Wapo wanaokimbia kwa majina ya qatar , norway, etc. Zile nchi zimedeleza vipaji vyao na wanapeperusha benedera ya nchi hizo. Lakini utasikia hata watangazaji wanasema Kenyan/ Ethiopi born athelete. Kwa hiyo kisingizio cha hakuna fedha ni ufinyu wa mawazo na kuosa ubunifu . Na ho wanidha wa Wanaibia kwa jina la norway hata kabla hwajshiindwa wanakuwa tayari wana jira nzuri na watauma pesa nyumbani na vijijini. Hata wakishinda kwa jina la Qatar bado watatuma pesa nyumbani na Tanzania itkuwa imepata sifa kwa mgongo wa taifa lingine

Utaona Wengi tunaposema ajira

  • tunaangalia kundi dogo la watu may be walioaliza chuo kikuu vyo na form six wale waliopo mjini
  • Definition finyu ya neno ajira na kazi . Sana sana kazi kwetu ni zile ziko mjini.
Tujiulize
Hivi Tanzania yenye eneo kubwa la bahari (kuliko kenya na uganda)n a maziwa matatu kwa nini izidiwe hata na nchi hizo kwenye michezo ya kuogelea afrika. Ni kwamba kigoma kule ziwa Tanganyaika. Ukerewe , Mwanza, Mara kule au Pemba na unguja hakuna wavuvi vijana amabao wanaweza kuwa waongeleaji wazuri wakapeperusha bendera ya taifa????!!!!!

Kuna replay ya michezo niliona juzi juzi ya dunia kuikuwa na muogeleaji wa burundi. Lol. Yaani hata jiografia ya nchi yetu haitusaidii na kuwa na advantage kwenye michezo kadhaa!!!!!!
Jibu ni rahisi. ni sababu hatuna ubunifu wa jinsi ya kuibua na kutambua vipaji. Ni sababu hatujaona mchango na umuhimu wa michezo.

So i think ni wakati watu kuachana na kasumba ya kuwaita watu walioshia la saba na form IV kuwa failure.Infact system yetu ndio inawafelisha wengi


Sijui na wale wa CDM wanasemaje kuhusu haya maana kuna baahi ya halmashauri zio chini yao na kuna ambo wanaweza ufanya kuwaonyesha CCM mfano.
 
The route that the ANC Youth League is taking is more prefferable and highly practical in Tanzania. We have the fan base, so let's do it!!!

Can you be more specific? is it the call to nationalize the mining companies?
 
@machambuzi
Umezungumzia mambo ya kiuchumi na yanayotakiwa kufanyika . Samahani mimi nitandelea kutoa mifano ya viongozi wabunifu na mifano ya ideas mpya zianzoweza kututoa hapa tukaenda pale. Naweza kuwa natoka nje ya mada lakini haya nayoandika either CCM Ivunjike au isivunjike au CDM ishinde au isishine ndio vitu vinatakiwa kufanyika regarless of chama. Ni mambo kam haya yatawianua wananchi hata wale wa vijijini.

Ajira kwa vijana

Kuna kasumba na mawazo mgando wanasiasa na na wasomi( Nimetoa mfano juu lakini hapa nakuja kivingine)

  • mtu/ ijana kufanikiwa mpaka afanya kazi ya kalamu.
  • Kijana kufanikiwa mpaka afike afie vyuo kama SUA, UDSM TUMAINI IFM CHuo cha ardhi, college za sheria, TIA na vyo kama hivyo........
Mimi kwa mawazo naona michezo ina nafsi nzuri ya kutoa ajira nyingi na hata kipato kikubwa kwa watu ambao wana vipaji. Tunawez kuona kenya. Wanariaha wa kenya $$$$ wanazoingiza kwa mwaka ni nyingi. Wanaridha hao wengine wankuja kujua hata kuongea kiziungu si kwa sababu walisoma bali wamejua kuongea kizungu sababu ya ridha na kipaji cha riadha.....

Kitendo cha wanasiasa na wanachi kuwaona vijana walioshia la saba au form four kama failiere ni sehemu ya kukosa ubunifu. na mawazo mgando

Huwa nikiona watoto wanakimbizana na walindi pale feri magogoni sababu wanapenda kuchezea maji na kugelea najiuliza akitokea mwanasiasa akaagiz JWTZ au JK Twajenge kituo cha mafunzo ya kuongela kigamboni kwa vijana........ Within three years tutakuwa na waogeleaji wazuri kama wa Australia, USA au southa africa. Vipaji vya vijana viigunduiwa mapema na vikaendelezwa ni mtaji wa ajira tosha. hata ama tusipofanya vizuri kidunia basi kwa afrika tutakuwa tumo.

Michezo karne hii hitegemi vipaji tu bali ni vipaji pamoja na tekniki .Mkoa wa arusha una watu wana vipaji vya kukimbia. Tatizo miaka hii hatupati medali kama kenya sababu hakun akiongozi mbunifu wa kubuni namna ya kuibua hivyo vipaji hata kama vijana hao ni wae waliopachikwa jina la walioshindwa wa darasa la saba au form four. Serikli kutumia JWTZ au JKT wana reouces za kuwezesha hilo. Ni kiasi cha kubuni program fulani za muda mfupi au kipindi cha likizo ili kudungua vipaji vilivyopo wenye mashule Primary au sekondary ili viendelezwe

Mwanasiasa waatakumbia majibu kuwa ufinyu wa bajeti haiuruhusu hayo kufanyika. Wengine watakumbi sio kazi ya vyombo vya usalama.(Wamekariri) Lakini kwa mbunifu atajua hata kama Tanzania haina fedha na kipaji kipo basi tufanye kama wanavyofanya waethiopia na wanakenya. Wapo wanaokimbia kwa majina ya qatar , norway, etc. Zile nchi zimedeleza vipaji vyao na wanapeperusha benedera ya nchi hizo. Lakini utasikia hata watangazaji wanasema Kenyan/ Ethiopi born athelete. Kwa hiyo kisingizio cha hakuna fedha ni ufinyu wa mawazo na kuosa ubunifu . Na ho wanidha wa Wanaibia kwa jina la norway hata kabla hwajshiindwa wanakuwa tayari wana jira nzuri na watauma pesa nyumbani na vijijini. Hata wakishinda kwa jina la Qatar bado watatuma pesa nyumbani na Tanzania itkuwa imepata sifa kwa mgongo wa taifa lingine

Utaona Wengi tunaposema ajira

  • tunaangalia kundi dogo la watu may be walioaliza chuo kikuu vyo na form six wale waliopo mjini
  • Definition finyu ya neno ajira na kazi . Sana sana kazi kwetu ni zile ziko mjini.
Tujiulize
Hivi Tanzania yenye eneo kubwa la bahari (kuliko kenya na uganda)n a maziwa matatu kwa nini izidiwe hata na nchi hizo kwenye michezo ya kuogelea afrika. Ni kwamba kigoma kule ziwa Tanganyaika. Ukerewe , Mwanza, Mara kule au Pemba na unguja hakuna wavuvi vijana amabao wanaweza kuwa waongeleaji wazuri wakapeperusha bendera ya taifa????!!!!!

Kuna replay ya michezo niliona juzi juzi ya dunia kuikuwa na muogeleaji wa burundi. Lol. Yaani hata jiografia ya nchi yetu haitusaidii na kuwa na advantage kwenye michezo kadhaa!!!!!!
Jibu ni rahisi. ni sababu hatuna ubunifu wa jinsi ya kuibua na kutambua vipaji. Ni sababu hatujaona mchango na umuhimu wa michezo.

So i think ni wakati watu kuachana na kasumba ya kuwaita watu walioshia la saba na form IV kuwa failure.Infact system yetu ndio inawafelisha wengi


Sijui na wale wa CDM wanasemaje kuhusu haya maana kuna baahi ya halmashauri zio chini yao na kuna ambo wanaweza ufanya kuwaonyesha CCM mfano.

Zing,

Suala la Ajira kwa Vijana Hakika ni jambo hatari sana kwa usalama wa taifa lolote lile, sio Tanzania peke yake kwani pamoja na ukweli kwamba hawa ndio nguvu kazi, lakini pia ni sehemu ya jamii ambayo ipo very vulnerable na vishawishi vingine visivyokuwa na end result nzuri kwa jamii; nakubaliana na wewe kwamba lazima ufumbuzi wa haraka upatikane;

Kwa sasa, tamwimu zinaonyesha kwamba asilimia karibia 70 ya watanzania (takribani milioni 31) hawajavuka umri wa miaka 30; na karibia asilimia 50 ya watanzania (yani takribani watanzania milioni 22) hawajavuka umri wa miaka 15; ni vyema tukagawanya hizi age groups mbili kama tunahitaji kujua changamoto zilizopo;

Wanasiana wetu kutamka tu kwamba ajira kwa vijana ni timing bomb haitoshi, na ni kauli ambayo sio ngeni katika makongamano na warsha na tafiti za kimataifa kwa zaidi ya miaka kumi sasa; kwa Tanzania imekuwa kauli ya kisiasa zaidi, vinginevyo suala hilo halijajificha, kwani ripoti nyingi sana za maendeleo (UNDP, WorldBank, African Development Bank, UNICEF na think tanks nyingi sana zilishaonya kuhusu tatizo hili kwa africa at the turn of the 20th century (miaka ya mwisho ya 90), lakini kama kawaida, viongozi wetu walilipuuzia;

Huko nyuma niliwahi kuelezea jinsi gani watafiti mbalimbali wameonyesha sababu kuu zinazopelekea nchi kuingia katika vita au uvunjifu wa amani katika Afrika, na wametoa ushahidi mbali mbali kufanikisha hoja hiyo; vitu vikubwa ni vinne lakini kinachowasha moto ni uwepo wa vijana wasio na ajira, na wanaoshi katika jamiii yenye mchanganyiko wa makabila mbali mbali na dini tofauti; tumshukuru mwalimu Nyerere kwa kututengenezea mazingira ya uwepo wa amani hata katika shida na hii ilitokana na kazi kubwa sana aliyoifanya kujenga taifa kupitia sera na itikadi ya azimio la Arusha iliyohimiza usawa, na pia kukuza lugha ya kiswahili kama lugha ya taifa, pamoja na mambo mengine; Vinginevyo Tanzania inatakiwa iwe nchi ya kwanza kuwa kwenye machafuko makubwa sana kwani vigezo vikuu vinne vya kufikia huko according to utafiti ni:

* Uchumi tegemezi kwa wahisani wa nje (AID) - na sisi Tanzania ni mabingwa kwenye hili;
*Low GDP Per Capita/Low Income kwa wananchi; - GDP per capita yetu kwa miaka 50 sasa imekuwa moja ya lowest in the world;
*Machafuko katika nchi za jirani/mipakani; -Sisi ni moja ya nchi chache duniani ambazo kwa muda mrefu zimezungukwa na majirani walio unstable;
*Demographic Characteristics (mchanganyiko wa makabila mengi, lugha nyingi na dini zaidi ya moja katika jamii ambayo wengi ya watu ni vijana); - Tanzania ni moja ya nchi zinazoongoza duniani kwa kuwa na makabila yanayozumgumza lugha nyingi tofauti - tuna makabila zaidi ya 120; pia taifa limegawanyika karibia nusu kwa nusu kidini; na pia asilimia 70 ya watanzania wana umri chini ya miaka 30;

Umelizungumzia suala la umuhimu wa michezo, mimi nadhani michezo inatakiwa kuwa sehemu ya elimu na hata baadae kuwa sehemu ya ajira kwani michezo ni afya; nadhani unachojaribu kuelezea ni jinsi gani michezo inaweza kuwa source ya ajira kwa vijana, lakini kwa mtazamo wangu, kuhimiza michezo bila kuhimiza elimu inaweza kuleta tatizo in the long run run; kwani hivi sasa, wanasiasa wamelichukua hili janga la ajira kwa vijana na kulichezea wanavyotaka badala ya kwenda kuwapigania bungeni ili serikali itengeneze sera za kweli na endelevu katika kutatua tatizo la ajira kwa vijana; badala yake wabunge, madiwani wetu wengi kazi yao ni kuwanunulia vijana mipira na jezi na kufunga mikoba kuhusu utatuzi wa tatizo la ajira kwa vijana katika maeneo yao ya uwakilishi; na vijana wengi wanavutiwa na hili kwani kwa kufanya hivi utapata kura zote za ushindi; hili ni tatizo; sina maana ya kwamba michezo kwa vijana haifai, maana yangu ni kwamba michezo na elimu na ajira lazima viende sambamba;

Na mwisho, kuhusu vijana kuishia form four na kuonekana failure ni utamaduni mbaya sana kwani ukiangalia nchi za wenzetu kama marekani n.k, hakuna failures, sana sana ni drop outs ambao wanasukumwa na matatizo mbali mbali ya kijamii/familia kama ujauzito, madawa ya kulevya n.k; lakini kwetu Tanzania kuna vijana wenye uwezo na moyo kabisa wa kusoma na wanapata marks nzuri tu za kuwawezesha kuendelea na masomo lakini kwa sababu hawajapata marks za juu sana kwenda shule za serikali, wanaishia kuitwa failures wakati wenzao kutoa familia zenye kipato, tena wengi tu wanaendelea katika shule binafsi na tumeshuhudia jinsi gani mara nyingine wanafunzi wa namna hii wanakuja kuwapiku kimaisha mbeleni wenzao waliokwepa kapu la kuitwa 'failures; ambao walipata nafasi kuendelea na shule za serikali; Sio CDM au CCM walioonyesha mwelekeo dhabiti juu ya utatuzi huu kwani sera za vyama vyote ni zilezile tu juu ya vijana ambazo zimejaa rhetoric zaidi ya kitu kingine chochote; inawezekana nia ya kuleta ufumbuzi ipo lakini bado yanayosemwa sio practical kwani jeshi la vijana ni kubwa sana kwahivyo ufumbuzi wa kweli unahitaji ubunifu wa hali ya juu utaokuwa sustainable in terms of finance, management, and results - kujiajiri au kuajiriwa, na uchumi unatakiwa kuwapa vijana both uwezo na options za kuchagua aidha kujiajiri au kuajiriwa, sio kuwasukumia tu kwenye kujiajiri hata kama passion yao haipo huko;

--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
"No one is born a good citizen; no nation is born a democracy. Rather, both are
processes that continue to evolve over a lifetime. Young people must be included from
birth. A society that cuts off from its youth severs its lifeline."
-- Kofi Anna--
 
"No one is born a good citizen; no nation is born a democracy. Rather, both are processes that continue to evolve over a lifetime. Young people must be included from birth. A society that cuts off from its youth severs its lifeline."

-- Kofi Anna--


Naam, and with this litle token up here Mchambuzi you have brightened my morning in such a big way!! Na wewe Mhe Koffi Annan, asante sana kwa kuwa miongoni mwa Wa-Afrika wachache mlionukuliwa sana kwa mawazo mazuri.
 
Can you be more specific? is it the call to nationalize the mining companies?
No, nationalization is not gonna do us any good. The best way will be for the government to invest in the exploitation of our natural resources.
This, if done right may facilitate competition with the private sector, it can be used as a benchmark. I hink STAMICO/NDC can run a gold mine, for example. The government can own a brewery, can encourage LAGs and help them invest in public transportation.
You can't just set standards from the sidelines.
 
No, nationalization is not gonna do us any good. The best way will be for the government to invest in the exploitation of our natural resources.
This, if done right may facilitate competition with the private sector, it can be used as a benchmark. I hink STAMICO/NDC can run a gold mine, for example. The government can own a brewery, can encourage LAGs and help them invest in public transportation.
You can't just set standards from the sidelines.

I second you on that one, especially on STAMICO; so as TPDC on gas and petroleum; but i am a little bit sceptical about the long run efficiency of the government's involvement in the food and beverage sector, breweries for example;

Otherwise, we have notable examples on how state owned companies can be very successful especially in mineral and oil rich countries; for instance, SONATRACH is a state owned company in Algeria operating in the Oil and Gas Sector, and it surpasses many big brands in the world in terms of annual revenues - for instance, it is way above names such as as GlaxoSmithkline, Woolworth, Bayer, Imperial Tobacco, Goldman Sachs, Sears, Intel, Cisco etc.;

One may argue that, it isn't appropriate to compare a business in the oil and gas versus one belonging to a pharmaceutical sector, for instance; suala la msingi hapa ni uendeshaji, kama ni holela, even STAMICO or TPDC, regardless of how much initial investment goes in, might be out-performed even by KIBOKO PAINTS;
 
I second you on that one, especially on STAMICO; so as TPDC on gas and petroleum; but i am a little bit sceptical about the long run efficiency of the government's involvement in the food and beverage sector, breweries for example;

Otherwise, we have notable examples on how state owned companies can be very successful especially in mineral and oil rich countries; for instance, SONATRACH is a state owned company in Algeria operating in the Oil and Gas Sector, and it surpasses many big brands in the world in terms of annual revenues - for instance, it is way above names such as as GlaxoSmithkline, Woolworth, Bayer, Imperial Tobacco, Goldman Sachs, Sears, Intel, Cisco etc.;

One may argue that, it isn't appropriate to compare a business in the oil and gas versus one belonging to a pharmaceutical sector, for instance; suala la msingi hapa ni uendeshaji, kama ni holela, even STAMICO or TPDC, regardless of how much initial investment goes in, might be out-performed even by KIBOKO PAINTS;

Mfano mzuri wa rasilimali ya mafuta Oil upo Norway. Hizi nchi za scandnavia ndio hasa Tanzania tunatakiwa tutazama model yao. Kwa mtazamao wangu yapo mengi tu.
 
Mchambuzi said:
Wanasiana wetu kutamka tu kwamba ajira kwa vijana ni timing bomb haitoshi, na ni kauli ambayo sio ngeni katika makongamano na warsha na tafiti za kimataifa kwa zaidi ya miaka kumi sasa; kwa Tanzania imekuwa kauli ya kisiasa zaidi, vinginevyo suala hilo halijajificha, kwani ripoti nyingi sana za maendeleo (UNDP, WorldBank, African Development Bank, UNICEF na think tanks nyingi sana zilishaonya kuhusu tatizo hili kwa africa at the turn of the 20th century (miaka ya mwisho ya 90), lakini kama kawaida, viongozi wetu walilipuuzia;

Njia mojawapo ya kwezesha hili ni kueweka upendeleo amabao utwezesha kujitegemea,

Mfano

  • serikali ikiwa na sera kama niivysema juu eg 80% ya samani (furniture zote) zinazotumika kwenye ofisi za serikali wilayani na mikoani ziwe ni made in and by Tanzania.
Ni sera kama hizi ndio zitaza viwanda vya tanzania vyenye nguvu tena vinavyolipa kodi a zitatoa ajira za maana. Sio ajira za kubeba meza na ufunga bolt. Na vinaweza kuwa na potenteial ya ku export. Ni sera kama hizi zitasababisha hata furniture center wawe wawe na samani za china sambamba samani za ndani kwenye showroom zao.
 

Njia mojawapo ya kwezesha hili ni kueweka upendeleo amabao utwezesha kujitegemea,

Mfano

  • serikali ikiwa na sera kama niivysema juu eg 80% ya samani (furniture zote) zinazotumika kwenye ofisi za serikali wilayani na mikoani ziwe ni made in and by Tanzania.
Ni sera kama hizi ndio zitaza viwanda vya tanzania vyenye nguvu tena vinavyolipa kodi a zitatoa ajira za maana. Sio ajira za kubeba meza na ufunga bolt. Na vinaweza kuwa na potenteial ya ku export. Ni sera kama hizi zitasababisha hata furniture center wawe wawe na samani za china sambamba samani za ndani kwenye showroom zao.

Upo sahihi; ndio maana dhana ya kujitegemea katika azimio la Arusha ilikuwa muhimu sana, lakini mabepari wakishirikiana na vibaraka wao humu Tanzania walihakikisha hilo halitekelezeki; Ujamaa ulikuwa na mapungufu mengi lakini juhudu za makusudi za hawa vibaraka pia zilichangia tuanguke; otherwise kulikuwa na ubaya gani kuwa na shirika la NDC lililosimamia uanzishwaji wa viwanda? contribution ya sekta ya viwanda ilifikia up to 10% of GDP wakati fulani; je hao IMF/WB na vibaraka wao humu wamewahi fikisha kiwango zaidi ya hicho under the auspices of the structureal adjustment programmes? the answer is no; Mimi sipingi soko huria, nachopinga ni kwamba sio viongozi wa CCM, CDM wale wengine wowote wale ambao wanaonyesha juhudu za dhati za kufanya soko huria liwe shirikishi kwa mwanakijiji; uhusiano kati ya mwanakijiji na capitalism ni ule ule wa enzi za ukoloni - you produce cash crops for exports, you produce food crops for the urban elites; and the foreign exchange earned from cash crops produced haziwarudii kuwaletea maendeleo kwa njia ya huduma za afya, elimu bora (sio bora elimu kama shule za kata za sasa), miundo mbinu...; sanaq sana matumizi ya foreign exchange waliyoiletea serikali wanaiona kila baada ya miaka mitano kupitia misururu ya Ma land cruiser VX na anga kuchafuka na helikopta wakati wa kampeni; mengine yote ambayo ni maendeleo kuwafikia wanavijiji ni aidha kwa bahati mbaya au kwasababu wao pia ni soko (mfano mobile phone companies in rural areas);
 
I second you on that one, especially on STAMICO; so as TPDC on gas and petroleum; but i am a little bit sceptical about the long run efficiency of the government's involvement in the food and beverage sector, breweries for example;

Otherwise, we have notable examples on how state owned companies can be very successful especially in mineral and oil rich countries; for instance, SONATRACH is a state owned company in Algeria operating in the Oil and Gas Sector, and it surpasses many big brands in the world in terms of annual revenues - for instance, it is way above names such as as GlaxoSmithkline, Woolworth, Bayer, Imperial Tobacco, Goldman Sachs, Sears, Intel, Cisco etc.;

One may argue that, it isn't appropriate to compare a business in the oil and gas versus one belonging to a pharmaceutical sector, for instance; suala la msingi hapa ni uendeshaji, kama ni holela, even STAMICO or TPDC, regardless of how much initial investment goes in, might be out-performed even by KIBOKO PAINTS;
Befor privatisation, TBL was making profits, public transportation is another thing that our LAGs should look into, not for profit, but at least to break even while setting standards for the type of busses,trams that are suitable for pubic transportation in terms of fuel consumption, maintanance, scheduling etc... in this, the government can even encourage cooperatives eg. CORETCO back in the days, CO-CABS ETC with strict laws and by laws that will curb embezzlements of profits or simply funds.

Since this is the digital era, if more efforts will be made, it's easy to control the movement of money, materials handling, tax collection and even law enforcement. I don't know why will it be so hard far a Dar resident to just own a digital bus pass that can easily help him/her save money through public transportation. Digitalization helps record keeping which can eventually help to determine our perfomances and project goals for future betterment of so many things, from tax collection to disease prevention and even weather forecast and subsequently environmental protection.

We need to think big, and act big.
 
Befor privatisation, TBL was making profits, public transportation is another thing that our LAGs should look into, not for profit, but at least to break even while setting standards for the type of busses,trams that are suitable for pubic transportation in terms of fuel consumption, maintanance, scheduling etc... in this, the government can even encourage cooperatives eg. CORETCO back in the days, CO-CABS ETC with strict laws and by laws that will curb embezzlements of profits or simply funds.

Since this is the digital era, if more efforts will be made, it's easy to control the movement of money, materials handling, tax collection and even law enforcement. I don't know why will it be so hard far a Dar resident to just own a digital bus pass that can easily help him/her save money through public transportation. Digitalization helps record keeping which can eventually help to determine our perfomances and project goals for future betterment of so many things, from tax collection to disease prevention and even weather forecast and subsequently environmental protection.

We need to think big, and act big.

You definitely have a point on TBL; even TCC - both of these were included in the privatization scheme not because they were running inefficiently but because of the Scam that was engineered by WB/IMF, with the help of their puppets in the bureaucracy; my point of departure on why I argue against public sector's involvement with breweries for instance is based on the fact that, over the past decade or so, there has been a major shift of attitude towards the alcohol and tobacco sectors (in terms of the public, thereby government policy); unlike the protectionist policies that prevailed in the past, today, these sectors are hit hard by legislations that aim to regulate/taxes them - in the name of ‘consumer protection' – since these products are considered to be potentially harmful to human health; so regulations and taxation aim to ‘reduce consumption'; Under such circumstances, public sector's involvement in the brewery business is not longer feasible;

I do agree with you about the importance of modernizing public transportation; the government should seriously work on improving the infrastructure (in areas such as roads, ICT, reliable electricity etc), so that benefits from this important sector of the economy can be realized;

And by the way, i meant to ask you, what do you mean by 'LAGs'
 
Siku mbili zilizopita nilimuuliza Alwatan swali moja, ingawa swali lilikuwa wazi kwa kila mtu kwamba Je, ikiwa tunakubaliana kimsingi kwamba CCM imekuwa haina dira kwa miaka 20 sasa; na pia haina itikadi ya kweli (Kinadharia na majukwaani ni Ujamaa na Kujitegemea, Kivitendo na kisera ni Azimio la Zanzibar likitekeleza sera za soko huria bila kulichuja), na kama tunakubaliana pia kwamba itikadi ndio dereva/ubongo wa chama chochote, na kama haieleweki basi survival ya chama hicho ni kwa nguvu uncontrollable na actors ndani ya chama; kama tunakubaliana na haya, ni dhahiri kwamba ili CCM iweze kubakia katika siasa za ushindani, ni lazima chama kimeguke kiitikadi:

Upande mmoja uwe na yale yanayotekelezwa sasahizi ya soko huru bila mchujo, sera ambazo hata mshindani wa karibu wa CCM – CHADEMA wanazitekeleza; vyama vingine vingi vya upinzani;
Upande mwingine kiwe kipande cha CCM kinachosimamia mazuri ya azimio la arusha ambayo tumeshayataja huko nyuma;
Iwapo tunakubaliana hadi hapa, nadhani basi kinachosubiriwa ni uthubutu na siasa za mitego za 'anza wewe';

Swali ambalo nilimuuliza Alwatan, pamoja na wengine ni kwamba:
Je best way for Chama kumeguka ni kwa viongozi waliopo sasa (walio waadilifu, wazalendo na wanaokunwa na kauli ya Mwalimu kwamba upinzani wa kweli lazima utokee CCM na kwamba CCM sio mama mzazi wa mtanzania yoyote), hawa wameguke na in the process kuchota wanachama meaning a top - down approach, au the best way ni wanachama wenyewe kwa wingi kumeguka i.e. bottom – up, wanachama wenyewe waamke na kutaka chama chao chenye elements nzuri za azimio la Arusha (badala ya kwenda upinzani moja kwa moja baada ya kupata uelewa na elimu kwamba kote ni yale yale)?
Kwani ukweli uliowazi ni kwamba wakulima ambao ni maskini na wengi sana vijijini, wafanyabishara ndogo ndogo (machinga), wafanyakazi wa kipato cha chini, wanafunzi waliokufa matumani ambao muundo wan chi unawa lebal kama ‘failures' (darsa la saba na kidato cha nne), wote hawa hawana mtetezi wa kweli ndani ya CCM na CHADEMA ya sasa; na ni dhahiri kwamba kwa hali ya maisha yao, hawapo tayari kushiriki kikamilifu katika soko huria kwani hawakuandalia bali walishtukizwa; wanahitaji maandalizi ya hali ya juu nay a muda mrefu yatakayoongozwa na itikadi iliyo radical na inayohimiza ‘ownership of our development agenda'; Watanzania waliojiandaa kikamilifu kushiriki katika soko hruia la kushtukizwa kama kufumaniwa ilikuwa ni wanasiasa wachache, bureaucrats wachache na wafanyabiashara wa aina mbalimbali ambao katika kipindi chote cha Ujamaa walikwua wanashirikiana na mabepari wan je to undermine Mwalimu; Wanasiasa na bureaucrats wengi mabadiliko yalikuwakuta wakiwa katika nafasi nzuri za kutekeleza sera za azimio la Zanzibar kwa vitendo na hivyo kujinufaisha;

Kwa maelezo haya, nadhani si vigumu kuona kwamba pakiibuka CCM ya kutetea wanyonge, tayari the prospective political party kina support base kubwa sana tayari inayosubiri kuelimishwa zaidi na kuhamasishwa; kilichobakia ni kitu cha ku - ignite tu the process;

Wana JF, kwa mawazo yenu/mtazamo wenu, njia ipi ni bora katika hili, top - down approach au bottom - up approach? Ni suala lilo wazi kwamba kuna wana CCM ambao wanaona hizi hoja ni za kiwendawazimu; lakini hii sio ajabu kwani tuna wana CCM wengi katika uongozi ambao wamejaa fikra mgando, ubinafsi, na unafiki; kwa wengi wao sio rahisi kuona hili kwani wao CCM ni ajira yako,sio utumishi kwa umma; hali zao za kimaisha na zile za wanaowaongoza hazifanani, nah ii ipo reinforced katika itikadi ninayoizungumzia; Viongozi wa namna hii hawajui kwamba siku moja wanachama wa CCM, hususan vijana ambao kutwa wanaimbishwa kwamba ‘imani yetu ni kulinda na kutetea siasa ya ujamaa na kujitegemea', huku viongozi meza kuu wamekaa na wakitabasamu kibepari, na kuangalia saa zao ili kubaini kama muda wa kwenda kwenye biashara umefika au lah, - siku vijana hawa wanachama wa CCM watakapoamka na kutambua kwamba kumbe imani yao sio imani sahihi, itakuwa too late kwa viongozi wa CCM to determine the fate of such an event; sote tunajua umuhimu wa kutocheza na imani ya mtu, imani ambayo mtu unalelewa na kuiamini ndani ya maisha yako ya kila siku;

Kinachoisaida CCM kutokumbana na demands from the bottom kwa sasa ni sababu nyingi lakini moja ya zile muhimu ni bahati – inawezekana ilikuwa ni mkakati lakini nitaita bahati ya Chama kujiingiza katika mchakato wa kutafuta maoni ya wananchi juu ya mfumo wa vyama vingi miaka ya mwanzo ya 1990 kabla wananchi hawajajua nini kinaendelea katika dunia ya sasa ya mageuzi ya kidemokrasia; Wananchi walichagua kubakia na chama kimoja (80% ya wananchi walitaka hivyo), hii kwa maana nyingine ni kwamba waliona waendelee na siasa za Ujamaa na Kujitegemea, kwani hata kama kulikuwa na mabadiliko kidogo katika maisha yao tofauti na miaka ya nyuma, hawakupewa elimu yoyote juu ya mazuri na mabaya ya Ujamaa, badala yake walishtukizwa tu na kuingizwa katika mageuzi ya kiuchumi bila maandalizi, ingawa haikuwa muda mrefu wakaanza kuona tofauti kubwa katika maisha yao kwenye maeneo ya huduma za jamii n.k; Vinginevyo pamoja na ukweli kwamba uongozi wa CCM ndio ulio administer mchakato wote kuingia vyama vingi na sio through popular demand, b dhahiri kwamba hapakuwepo na njia mbadala bali kuruhusu vyama vingi; kilichoipa bahati CCM ni umiliki wa mchakato mzima, ndio maana hadi sasa wanachama wengi hawana utamaduni wa to demand from the bottom – up; kwani democratic transition Tanzania in Tanzania was top - down – wanachama wengi wa CCM perceived/still perceive kwamba ni uongozi wa CCM ulioamua kuruhusu upinzani na kwamba ilikuwa kwa hiyari, sio ulazima; bado wananchi wengi wanaona kwamba kwa kufanya hivyo ilikuwa moyo wa huruma kuwaruhusu wapinzani kushiriki katika siasa za ushindani; vinginevyo kama CCM ingechelewa kidogo tu na kupelekea demands for such changes ziwe bottom - up driven, CCM ya sasa ingekuwa tofauti sana, na pengine isingekuwepo madarakani leo hii;

Ndio maana ya swali langu kwamba, kwa wale wanaokubaliana na hoja kwamba CCM kumeguka is not only inevitable but desirable, kwa mazingira ya leo, njii sahihi ni sahihi, top - down (kusubiri viongozi kadhaa wajiengue ) au bottom up (kuwaamsha, elimisha and mobilize wanachama, vijana husasan) halafu watafute viongozi wao au kukaribisha watakaojiengua na kujiunga na wanachama hao?
 
Hakuna sababu ya kujisahihisha wala kugawana chama, kinachotakiwa ni KUFA NA KUZIKWA KABISA tena mapema tu. Unakosea unaposema mmebakiza option mbili tu wakati zipo tatu na ya tatu niliyoitaja ndo kubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom