CCM Taifa Ikemee Vijana wake, Vinginevyo...

CCM Taifa Ikemee Vijana wake, Vinginevyo...

Nimeongea kule kwenye tamko kuwa kuna mwanaume nyuma ya hawa vijana, na wanatumika!...Tamko lao lingekuwa na nguvu kama wasingechanganya na matusi ya aibu kwa Dr.
Wanaanzisha moto hawa, ambao naamini hawataweza kuzima!

PJ:

Wanajua wako wengi kuliko sisi.

Na wanajidanganya wana ushawishi kuliko sisi.

Laiti kama wangesoma alama za nyakati!!
 
Kama mtu ambaye nimemuunga mkono Dr. Slaa na kuamini kuwa ni mtu aliyepaswa na anayestahili kupewa nafasi ya kuliongoza taifa nimeshtushwa na kusikitisha na tamko la UVCCM hususan mashambulizi yao ya mtu - ad hominem thidi ya Dr. Slaa. Ninawasihi viongozi wa CCM Taifa kukemea na kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya kundi hilo la viongozi wa vijana.
Tatizo la nchi hii ni uwakilishi haramu.........ukiangalia viongozi karibu wote ndani ya UVCCM siyo vijana ni watu wa zaidi ya 40 years of age................swali la kujiuliza hivi humo ndani ya UVCCM wanamwakilisha nani?

Hivi kabla ya kutoa hilo tamko UVCCM walitafuta ridhaa ya Mkutano wao Mkuu?..........Jibu ni hapana........then whom are they speaking for?".......................It is very strange kuona UVCCM "uwakilishi haramu" wanahimiza Baraza la Mawaziri kufuata "chain of command" wakati wao ni vinara wa kutotafuta dhamana kutoka kikao kikuu cha UVCCM.................How ironic......


Kubwa la kujiuliza kwenye hili ni "timing" ya tamko la UVCCM na kikao cha CC..........................someone is orchestrating all this caboodle.............Why acting in unison and at this wee hour of need and national reckoning?..............CC inataka ionekane inapata mashinikizo kutoka kwenye taasisi zake wakati wao wenyewe ndiyo wamewapa UVCCM ajenda za kuziongelea..........................

We should smell a rat over this........................but the good news in this excruciating saga is .................hatudanganyiki safari hii...................................
 
I like the word kamchezo.. Indeed, they are playing with our minds. After all siasa ni kuangalia mkondo wa upepo kisha kijifanya uko huko. Ipo sababu iliyojificha n yuma ya tamko hili. Think of the timing na mitifuano mingine ndani ya CCM. ni rahisi kuona baadhi ya mawaziri na wadau wanaopingana wakawajibishwa karibuni. Awaiting for the cabinet reshuffle? Kwisha habari yenu.
 
Si tunakumbuka kwamba youth wing ya ANC ilitumiwa kumtoa Mbeki madarakani kabla ya muhula wake kwisha? Hebu tuvute subira tutajua tu who is behind the scene
 
Si tunakumbuka kwamba youth wing ya ANC ilitumiwa kumtoa Mbeki madarakani kabla ya muhula wake kwisha? Hebu tuvute subira tutajua tu who is behind the scene

With UVCCM i doubt it kama wanaweza ni ndoto
 
Mimi ninaamini kwamba upuuzi wote uliosemwa na uvccm ulikuwa na baraka za viongozi wa juu wa ccm kama kina yusuph makamba. Kwa hiyo tusitegemee kwamba kuna atakayejitokeza ndani ya ccm kuwakemea . Sana sana tutaona matamko ya kuwapongeza. Nyie subirini tu mtaona
 
Si tunakumbuka kwamba youth wing ya ANC ilitumiwa kumtoa Mbeki madarakani kabla ya muhula wake kwisha? Hebu tuvute subira tutajua tu who is behind the scene

Do you mean UVCCM is about to do the same? Maybe in 100 yrs!
 
UVCCM hawana lolote hao wanatumika kukisafisha chama hizo ni mbinu za CCM kukirudisha chama kwenye chati baada ya kupoteza dira kufuatia uchaguzi mkuu uliopita. Think very.
 
MM, hii ndio fursa kwao 'nitoke vipi'. Agenda ya Dowans ni nzito mno kwao..kitendo cha kutoa tamko ni sawa na kurusha jiwe halafu wanasikilizia sauti! Na kuficha nia yao ovu, wanamkashifu Dr Slaa. Mchezo wa panya kung'ata na kupuliza!
 
I'm very serious; kuna msemo wa kiingereza kuwa "all is fair in love and war".. na UVCCM wamethibitisha hilo. Tatizo ni kuwa kikaango kitakapogeuzwa kwa upande mwingine patakuwa pachungu kweli.

Heshima yako mkuu...ujumbe umefika....alama za nyakati zitawaumbua tu!
 
Kweli Nyani haoni kundule... Hao hao wanaowatahadharisha vijana dhidi ya wake zao wengine wao wana kashfa ya kulana uroda chooni. Mi naona kama ni umoja wa vijana wahuni walioponzwa na njaa na uroho wa madaraka kiasi cha kuandikiwa tamko na Ridhiwani na kwa ujinga wao wamekuja nalo hadharani bila kujua kuwa mwenzao Riz one ana kisasi na anayemnyima usingizi baba yake na matokeo yake dingi anaanguka anguka tu Ikulu..
 
sijasia walivyomkashifu phd wa ukweli jana sijapata news kutokana na mgao wa umeme nimejaribu kupotia magazet ya leo mengi hayajaandika walivyomtusi Dr Slaa, naomba munijuze japo kwa kifupi
 
Hakuna haja ya kuwakemea vijana hawa kwani hakuna jipya waliloongea kuhusu kiboko yao Dr Slaa. Hayo waliosema kumhusu shujaa wetu wameyasema sana wakati wa kampeni. Badala ya kumbomoa Dr Slaa yalimjenga zaidi! Matokeo ya Uchaguzi ni uthibitisho wa hili. Sasa hivi Dr Slaa alipaswa kuwa Ikulu kusingefanyika hayo yaliyofanyika. Nimewaangalia vijana wale nikagundua kuna ombwe kubwa tu la UONGOZI kama ilivyo kwenye CCM yao.
Kwangu mimi tamko la kukemea lilikuwa lile lililotolewa na waliojiita viongozi wa WAISLAM. BAKWATA wakakaa kimya, CCM ikakaa kimya na serikali iko kimya kabisa kuhusu hili ingawa ipo wizara kabisa ya Wassira inayoshughulika na mambo haya sasa hivi.
Tusiwape umaarufu wa bure vijana hawa ingawa vyombo vya habari hapa nchini vimewatangaza sana.
 
Hawa vijana wanamatatizo sana wanaanzisha ugomvi wa mawe na Dr. Slaa huku wanaishi kwenye nyumba ya Vioo, kibaya zaidi wanarusha mawe then wanakimbilia ndani kwao, ngoja tuone.
 
Inatakiwa hao viongozi wa UVCCM tuwaonyeshe maana ya kufumaniwa ni nini?kisha tuwa pige picha zao wakiwa uchi baada ya kufumaniwa huku wakiliwa tigo.LEO NIMESIKIA HOSPITAL YA WILAYA TEMEKE HAINA X RAY BADALA YA KUANGALIA MAMBO YANAYOGUSA JAMII WAO WANALETA HABARI ZA UPUUZI!
 
UVCCM wanataka kuturudisha 2007/2008 hali ya hewa ilipochafuka hapa JF.
Naungana Na MM, CCM Taifa wasipotoa tamko, wameruhusu maisha binafsi ya viongozi yasemwe hadharani, na hatapona mtu.
 
Jamani, hivi ni mimi pekee ninayeona similarities kwenye uandishi wa tamko la UVCC katika kipengele kinacho mhusu Dr.Slaa?? Hivi ni mtu yule yule aliyeandika kipengele hicho kwenye ile "barua ya Salva" kukanusha Dowans si ya Muungwana.

Don't these guys have strategists within? I mean why jumble up matters of national concern like Dowans with sleazy, smearing personal issues in such a way? Would it have been undermining to them to drop that part out?! Seriously, in my opinion, the whole thing just became tarnished by that ill-advised inclusion.
 
Hii ni aibu kwa CCM na Utawala wa JK, ina maana wanashindwa kufanya maamuzi yenye faida kwa nchi hii mpaka waelekezwe na UVCCM, walichozungumza UVCCM kuhusu dowans sio swala geni ni kudandia hoja za wapambanaji wa ufisadi. Kitu cha kujiuliza ni kwanini sasa ndio wametoa tamko wakati hii issue ni ya muda mrefu?
 
Mnapaswa kujua kuwa katika CCM from the top to the bottom, yaani kuanzia Mwenyekiti wa taifa wao mpaka mjumbe wa baraza la nyumba kumi zao-all of them lacks tools of analysis vichwani mwao.

Hawajui ni nini cha kusema wapi, kwa nini, kwa ajili ya nani na wakati gani, na impact yake ni nini..
 
Back
Top Bottom