Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
Is there any relationship between age and thinking capacity?
Yes or No. Depend on circumstances
Is there any relationship between age and thinking capacity?
Tujibu, kwanini ulikimbia JF? ukaenda FB, Tanuru la Fikra kuanza kuweka mawazo yako finyu kule? ulikimbia hapa kwasababu ya uwezo wako mdogo. Cha ajabu nikadhani kwa muda mrefu uliokaa nje ya JF utakuwa umejifunza namna ya kushusha hoja, kumbe ndio umekuwa dhaifu kama bosi wenu.
Is there any relationship between age and thinking capacity?
- Mimi huniwezi so jaribu kusema hoja bro, unacheza na The King Of All bongo Social Media Network, leo Jumapili nimetoka kwenye msiba sasa hivi, so leo sitaki kuingia kwenye personal attacks l;abda kesho, kwa leo please hoja tu! ha! ha! ha!
Le Mutuz!1
yani ulichoandika utafikiri mtoto wa form1 shule az kata kumbe libabu la miaka 54, daa skuizi ukubwa sio dawa tena ukubwa ni sumu skuizi
Mbona willy huishi kujipendekeza kwa magamba wewe hutakiwi huko acha siasa la endelea tu kujipendekeza lkn najua hutapata kitu awamu hii zingine sijui lkn nashangaa kijana kama wewe bado unamawazo mgando ya kizee yaani watu ambao walipo kuwa viongozi hawakufanya lolote ndani ya nchi hihi rasilimali zilezile walizoziacha kipindikile na hawakufanya mapinduzi ya kiuchumi tena walikuwa na nguvu leo hii unawapa matumaini ya uongo wanajamvi eti akili zile zile tena zilizo zeeka na kuwa na dimentia eti zitaleta mapinduzi ya kiuchumi shame on you bado mnaendelea kuwatusi Watanzania kwa kuwadharau kwa kuwaletea viongozi mfu wajekumaliza tembo wetu tu.
yani ulichoandika utafikiri mtoto wa form1 shule az kata kumbe libabu la miaka 54, daa skuizi ukubwa sio dawa tena ukubwa ni sumu skuizi
Nitachangia tu pale utakpo jibu kwa nini JK hakuwa na mshindani na kwa nini mmeingia mtaani kusema JK kashinda kwa kishindo as if alikuwa anashindana na mtu .Mengineyo ni maneno ya kariakoo watu wanauza mboga na kununua ndiyo unaleta hapa
Nimeona comparison kubwa kati ya Sinta na Wile, justsayin
Ombi maalumu kwa makamanda na mods naomba hili mliangalie; tunaomba mjadili hoja badala ya viroja; si lazima kila thread uchangie mnaharibu mada nzuri kwa sisi wanaccm tunapenda kuijadili ili tuone ni wapi chama makini kina mapungufu; hizi personal attacks dhid ya william mnazirudia kila kukicha sio kama hatuwezi kujibu la hasha! Tunauwezo mkubwa tena sana wa kujibu mapigo; mnatufanya tunapoteza mwelekeo wa kuchangia kama mnataka free style hiyo pia mnweza mkawaomba mods; hapa msituchangie utumbo kwenye nyama safi.
Chama
Gongo la mboto DSM
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Tujibu, kwanini ulikimbia JF? ukaenda FB, Tanuru la Fikra kuanza kuweka mawazo yako finyu kule? ulikimbia hapa kwasababu ya uwezo wako mdogo. Cha ajabu nikadhani kwa muda mrefu uliokaa nje ya JF utakuwa umejifunza namna ya kushusha hoja, kumbe ndio umekuwa dhaifu kama bosi wenu.