You are on the right Track wakati kila mnapoenda mnazomewa?That is Insanity.You cant be serious,or otherwise you are suffering from Thinking Myopia.Haiingii akilini unatembea tembea mikoani kuwambia/kuwaonyesha wananchi ulichokifanya.kama kipo hakuna haja ya kumvisha mtu miwani ili akione.It will reach a time where by mtatembea na Microscope ili kuwaonyesha wananchi what you have done for the past 7 years if not 51 years of Independence.Mna kazi kwelikweli.