CCM siyo mama yangu-Maige!!!!!

CCM siyo mama yangu-Maige!!!!!

Maige huna haja ya kujidai kuwa umetoolewa kafara si kweli,umejitoa mwenyewe na kilicho kutoa ni ubishi wako na tamaa za fedha,vitalu ni asalimia95 ya kuondolewa kwako,ubishi wa kutosikiliza ushauri kamati ya ugawaji,pamoja na kmt ya bunge,huku umegawa kitalu kwenye kampuni japo ni ya mtz ,sawa, ila haina safari hata moja,hata booking haina,gari ndo wananua baada ya kuwapa kitalu,unamfukuza na kunyima kampuni iliyo ajiri watanzania zaidi 400 kwa kampuni moja,na kitalu katengeza miundo mbinu yote kwa muda mrefu na kodi zote zina lipwa,kwanini usiwaite na kuwakalisha wauze asilimia ya hisa zao kwa watanzania wenye uwezo,we unakimbilia kugawa kama Mahindi ya msaada,huangalii na soko la utalii limekaa vipi?tulijua kabisa we umekaribia kuua soko la utalii hata rais ameona hilo,
We mwenyewe umeenda kwenye soko la utalii Marekani je?uliona watu wanavyofanya kazi?au ulienda kushangaa magorofa.pole sana kama uliupenda uwaziri ila ni Mhasibu.
 
Watanzania sijui wakoje. Wanashupalia shutuma ambazo hata hawajazifanyia uchunguzi. Kwa taarifa yenu Ni kweli, Maige kafanywa mbuzi wa kafara. Lembeli alihongwa na wafanyabiashara waliokosa vitalu ili amchafue Maige, aondolewe. Lengo ni Ugawaji wa vitalu urudiwe upya ili wazawa wanyang'wanye. Matumaini yao ni kwamba akija waziri mpya watarudia ugawaji wa vitalu. Maige ni kijana nayejituma, mwenye upeo na uelewa wa mambo. Hata kama wamepiga fitna, naamini kuna siku ukweli utajulikana.

Njomba bana.
 
inaonekana alimcheka Masha sasa na yeye yamemkuta.... ngoja tusubiri manake Kiwete hatabiriki unaweza kusikia anaanza kutoa mkono wa pole kwa waliotoswa mara akampa ubalozi...
 
inaonekana alimcheka Masha sasa na yeye yamemkuta.... ngoja tusubiri manake Kiwete hatabiriki unaweza kusikia anaanza kutoa mkono wa pole kwa waliotoswa mara akampa ubalozi...


Mtani wa Prof. Matondo anasema "Wasukuma hawana maadili ya uongozi" 04/05/2012
1 Comment

Prof. Matondo amepokea ujumbe kutoka kwa mtani wake ambaye ni Mhehe unaosema:

"Pole sana ndugu yangu Matondo. Nimekuwa nikisema mara kwa mara kuwa Nyerere alikuwa sahihi kuwanyima Wasukuma nafasi kubwa kubwa katika serikali yake. Wasukuma mnachojua ni kufuga ng'ombe, chagulaga, ushirikina, kula ugali mgumu na kuoa wake wengi. Mambo ya uongozi bora na maadili hakuna. Pengine ni kiburi chenu. Pengine ni ile kasumba yenu ya kujirundikia ng'ombe wengi kwa kadri iwezekanavyo. Lazima tu kuna sababu"

"Anzia kwa Mzee wa Vijisenti na rada yake. Gamba sugu nambari wani yule. Kisa Msukuma. Angalia William Ngeleja. Pengine waziri mpuuzi na aliyelitia hasara kubwa taifa hili kuliko waziri mwingine ye yote tangu tupate uhuru. Alikuwa anauza madini kama vile masangu a.k.a makande yule. Kisa Msukuma. Halafu mwangalie Bwana mdogo Maige: Huyu amefikia hatua ya kuuza twiga wetu kila mahali. Au aliwa-konfyuzi twiga na ng'ombe? Wasukuma nyie hovyo kabisa. Hata yule Msukuma bosi wa TAKURURU Mh !!! Hivi si hata Balali naye alikuwa Msukuma au nimekosea. Hamfai kuwa viongozi nyinyi !!!"

Wasukuma, Prof. Matondo anasema, kama
mtapita pale kwake (kwenye blogu), basi jiteteeni.




Source:

http://www.wavuti.com/4/previous/2.html#ixzz1tzdymUR2


 
Huyu dogo utoto na utajiri anaomiliki vinamsumbua sana.Mwambieni aje uswazi tumpe michongo.

Kipindi fulani nilikwenda Dodoma kikazi bahati mbaya nilifika kipindi cha bunge, saa 2 usiku nilikwenda CRDB pale jirani na nyerere square kutoa pesa kidogo ya kusogezea siku. Wakati ilipofika walipobaki watu watatu mbele yangu huku nyuma kukiwa na foleni ndefu sana akatokea Maige, akamwomba mtu wa mbele ampishe, jamaa sijui hakumjua maana alikuwa Naibu Waziru akamkatalia, wa pili hivyo hivyo. Wakati anaondoka mimi nikaita 'mheshimiwa njoo kwenye nafasi yangu mimi nitasubiri' akanishukuru akasimama kwenye foleni mimi nikaenda kuanza nyuma kabisa, akatoa mpunga akaniita nikamsogelea akauliza nilitaka kutoa sh ngapi nikamwambia 500,000/- akazama mfukoni akanipa 250,000/- akasepa
 
Hawa jamaa watifishwe mapema sana na hujuma walizofanya kwa nchi hii wanastahili hata kunyongwa hadharani haraka sana. Jamaa ni mwizi mzuri tu na ana roho kama ya NGELEJA hata hawana aibu!!!
 
Huyu Maige ni wa kumuweka mahabusu halafu apigwe interrogation aseme wale wanyama waliopelekwa kule Qatar nani hasa alihusika? Anaposema kuwa katolewa kama mbuzi wa kafari maana yake kuna wakubwa anaowafahamu ambao ndio wahusika wakuu wa ufisadi wizara ya maliasili!!
 
Back
Top Bottom