CCM siyo mama yangu-Maige!!!!!

CCM siyo mama yangu-Maige!!!!!

huyu aache utetez, maige kavurunda mno, vp lkn mbona kuna njemba zimebaki km j4?
 
binafsi naona ni nywele zilezile ila style ya unyoaji tu. hakuna jipya. binafs ccm nzima imeoza isipokuwa mzee pombe tu.
 
ndugu zangu wa JF naombeni tusikurupuke ku comment ili hali hatujaambiwa ukweli wa taarifa husika
we kweli ni .............: unasubiri nani akwambie wakati mambo yote yako wazi na yanaonekana ata ukitumia. jicho moja
 
Do you think he is such stupid?
Wait and see...
Kadiri anavyozidi kujielezea au kujisafisha juu ya mali zake ndio anazidi kuanika madudu zaidi yanayomkabili.Na sishangai kuona wanamburuza kortini, kwani kinga ya uwaziri imeyeyuka.
 
mhhhhhhhhhhhhh.....CCM sio mama yangu???...nahisianajikomba kwa CHADEMA???? afu kama ni kweli anasema ametolewa kafara, hamumsomi tu jamani???? MKULU NDIYE MHUSIKA HAPO.....
 
Maige no hovyo. Hafai na lazima aburuzwe mahakamani awaeleze wananchi alikopata mali zote alizonazo. Ni waziri kijana aliyewaangusha vijana wenzie kwa ujizi.
 
Maige no hovyo. Hafai na lazima aburuzwe mahakamani awaeleze wananchi alikopata mali zote alizonazo. Ni waziri kijana aliyewaangusha vijana wenzie kwa ujizi.
alikua na nyodo sana dogo huyu, alijiona keshafika, siku moja namsalimia ananitazama mara mbili ndio anaitia kama vile nilikua namtongoza
 
alikua na nyodo sana dogo huyu, alijiona keshafika, siku moja namsalimia ananitazama mara mbili ndio anaitia kama vile nilikua namtongoza

Mpummbavu sana huyo kijana. Alidhani nchi ni yake kumbe nchi ni ya wananchi. Allogance yake itam-cost sasa na kama nilivyosema lazima wabunge wapige kelele ili aburuzwe mahakamani.
 
Na yule mwenzake bwana stima si ndo alisababisha yule mlinzi sijui wa kampuni gani akafukuzwa kazi baada ya kutekeleza majukumu yake kama mlinzi wa ATM kwa kumualati asiongee na simu ndani ya ATM anachelewesha wateja wengine, yeye akampiga mkwara hunijui mimi? Siku chache baadae yule mlinzi akafukuzwa kazi kwa kutekeleza majukumu yake
 
Kwani sisi wananchi hatuna mamlaka ya kuwashitaki hawa wabadhilifu kama serikali itaonyesha kuwakumbatia?
 
Ni Kweli Kabisa CCM siyo Mama Yake, Na Akuzaliwa kuwa Waziri!Mwisho wa kunukuu!

haaa! haaa! mkuu ni kweli siyo mama yake ila kamlea mpaka kuwa na mabilioni au alimwibia mama mlezi! aibu kubwa kwa maige na mama yake mzazi. Bwana Komba Jn, na wewe tumia kiswahili fasihi. akuzaliwa andika HAKUZALIWA, umenielewa???
 
kwanza anatakiwa kufilisiwa kwa wizi wa pesa zetu,anachanganikiwa nini? Kazi ndy imeanza wasipochukua hatua zaidi 2tagawana mali zake
 
ana kampuni ya transport & logistics inaingiza USD 2O,000 net profit kwa mwezi! Hawa mawaziri waongo sana. Mtu ana malori zaidi ya kumi hapati kiwango hicho eti yeye ana lori mbili anadai he earns that amount! Oh my god!

mkuu hakuna lisilowezekana kwa serikali yetu unaweza kuwa hata na kibajaji kimoja ukapata 20,000,000 kwa mwezi, chunguzeni hiyo kampuni ya logistic inabeba mizigo ya nani huenda ni ya serikali na wamejipangia wao walilipe lori lao shilingi ngapi
 
Kumbe hujui kama jamaa anamiliki vitalu vya uwindaji?atatumia vitalu hivyo kulipa ingawa wameshea na jamaa mmoja hivi wa Netherlands.This country bwana.


Toto dogo, shavu dodo, doido nyingi JK akampa uwaziri kisa alimsaidia kuwashawashi wasukuma wa segese kumchagua JK. Kuna kakijiji amechimbia nguzo za umeme yeye na Legelege Ngeleja na hapo kwenye kakijiji hakuna nyumba ya bati hata moja. Hapo msukuma keshadanganywa kwamba ahadi imetimizwa.

Nataka niwashawishi hawa wanakijiji wa mwakata wapasue hizi nguzo kuni tu shwain
 
Baada ya kupigwa chini na JK sasa mh Maige ni kama kachanganyikiwa...kuna baadhi ya watu wake waliokua wakimpa pole ya kuvuliwa ubosi amewambia kwamba ccm siyo mama yake eti aipigie magoti na haoni tatizo kupigwa chini maana kafanywa mbuzi wa kafara!!!!!

Kauli hii inaonyesha alijaribu kumbembeleza mkulu lakini kamchomolea.

Hizo kauli za kukosa hizoo!
 
Huyu Jamaa tuna hasira nae sana nyumba na malori lazima tuyachukue,arudishe twiga,tembo,vifaru wote aliouza!



Kwa kuanzia ile nyumba yake kuanzia sasa tui ite Twiga house, na jina la mtaa liwe mtaa wa tembo. Hii itamkumbusha kila wakati udhalim wake dhidi ya wa Tz.
 
Werema mtu wa Mara
Ndullu mtu wa Morogoro

Prof. Beno Ndulu anatokea mahenge Morogoro kwa akina Amatus liyumba na E. Hosea nadhani ni Mnyaturu aka kiburi and Wasiri sana.
 
Naona hata JK kawasitukia watani zake Wasukuma, safari hii kawapa Waziri mmoja kamili na manaibu wawili, yaani Geita Waziri mmoja (Magufuli), Mwanza naibu mmoja (Kitwanga), Shinyanga Naibu Mmoja (Masele), Simiyu hakuna, ; wakati mikoa mingine kawapa Mawaziri kamili wawili au watatu mfano Kagera (Kabaka, Tizeba, Tibaijuka). Wasukuma mkipewa madaraka punguzeni kabisa udokezi wa waziwazi na muwe serious na kazi, na wale wa kiume kufukuzia wasichana muache!!! Kudadeki!!!
Mama Mdogo tatizo sio Wasukuma tatizo ni Watanzania kina Mramba,Jairo,Nundu,Liyumba,Malima,Mponda,Nkya,hawa nao ni wasukuma mbona wamechemsha?
 
Back
Top Bottom