Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Bahati nzuri hawa vijana wa CCM wako wachache kwa hiyo kazi ya kuwadhibiti ni rahisi
loving this
Bahati nzuri hawa vijana wa CCM wako wachache kwa hiyo kazi ya kuwadhibiti ni rahisi
Wataua mmoja kumi watapenya,wataua kumi mia watapenya. Only time will tell.
HECHE ndio kitu gani?
Still na wewe unachangia Habari za kipuuzi, sasa wewe si ndio mpuuzi zaidi?Wana chadema kwa habari za kipuuzi!!
sumbawaga haijafikia katika siasa za chuki namna hyo
Wana chadema kwa habari za kipuuzi!!
April fools!
RC wa Rukwa, Stella Manyanya ni mama ambaye hana busara kabisa na mtu aliyejaa chuki ya ajabu kwa vyama vya upinzani,hasa CDM,kwa hiyo haishangazi nikisikia kwa ushirikiano na wahuni wengine toka CCM kupanga njama za aina hii.
hii chadema hii itawatoa nyongo mwaka huu.