Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Kamhanda naye atakuwepo? Huyu ndo mtaaluma wa mambo hayo bana!
Huyu Yamsebo ndo namsikia leo ana cheo gani cdm.
wanaiogopa mpaka kuna muda hujisahau badala ya kusema kijiko kipindi wanakula hujisahau na kusema lete chadema we juma kumbe ni kijiko.Ni kama CHADEMA Imewasababishia ccm kuugua ugonjwa wa degedge au pepopunda.