Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
Mimi sio UKAWA wala CCM, ila yatupasa tutafakari kwa kina. Pasi n shak yoyote ukiwa mwanachama wa chama cha siasa na kutaka chama chako kishike madaraka ni kwa sababu ya sera zake na mipango ya maendeleo. Sasa kwa hali inavyoonekana ni kwamba watu wanataka tu chama chao kiendelee kutawala bila kupima muda ambao chama kimekuwa madarakani n maendeleo tuliyoyapata. Kiukweli tuko nyuma saaana, tufahamu kwamba hata mlevi akitembea hatua tatu mbele kisha akarudi mbili nyuma atafika tu anakokwenda ila atachelewa mno.
Hatukatai na hatusemi CCM haijafanya kitu, tunachosema ni kwamba rasilimali tulizonazo na maendeleo tuliyonayo haviendani. Viwanda vimekufa, reli zimekufa, hizo barabara zinazopigiwa kelele zinaharibika kwasababu mizigo iliyotakiwa kusafirishwa na Treni inasafirishwa na malori.
Ila kwa akili za Watz na kuishabikia CCM bila kutafakari kwa kina sitoshangaa kuona wakishinda Oktoba 25.
Hatukatai na hatusemi CCM haijafanya kitu, tunachosema ni kwamba rasilimali tulizonazo na maendeleo tuliyonayo haviendani. Viwanda vimekufa, reli zimekufa, hizo barabara zinazopigiwa kelele zinaharibika kwasababu mizigo iliyotakiwa kusafirishwa na Treni inasafirishwa na malori.
Ila kwa akili za Watz na kuishabikia CCM bila kutafakari kwa kina sitoshangaa kuona wakishinda Oktoba 25.