Hiyo inaitwa....Gusanisha......nyama kwa nyama Gusanishaaa - mama weweeeeeeSasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinda Meza kuu za CCM.
Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
MnoKweli kabisa na dawa ya muhuni ni kumchomea kuni mbichi.
Habari ziwafikieSasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.
Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
Mimi sio mwanasiasa Wala sitegemei maisha kwenye siasa Sasa hapa unadhani hizi habari zitaniathiri Kwa lipi?
Zilipigwa lini hizo kura
😀😀😀😀😀😀ianzishwe operation ya kumkomboa Mama Daktari Samia kutoka kwenye mikono ya matapeli.Anakosea sana hamuachi samia kupumua kila sehemu yupo haoni hata aibu. Mama wawatu hadi juzi kavumilia hadi kashindwa kaona aropoke tu ''NIPO NA BOSI WANGU''.
Mnatupa matumaini hewa.Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.
Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
Kama Mabalozi wanakitema hicho chama wewe na mimi ambao hatupati hata mia tunatiki ili iweje?NO REFORMS NO ELECTION
hii sio kwa ajili ya chadema au Cuf au upinzani bali kwa watanzania wote bara na visiwani. Bila ukabila wala udini wala umaeneo
Hii ni kweli.....akitaka kujua ukweli wakatie Mrija hata miezi mitatu tu hata ona hata mmoja nyuma yake.Hata chawa wake hawamtaki ni vile wanapatiamo hela ya kula
Operesheni ya kumng'atua JK kwa nguvu maana amegoma kustaafu kwa hiari.😀😀😀😀😀😀ianzishwe operation ya kumkomboa Mama Daktari Samia kutoka kwenye mikono ya matapeli.
Vyovyote iwavyo......we need peace, love and development for our country menFanyeni masihara yenu mpaka mama asuse aseme bora tukose wote anatupitishia rasimu ya katiba ya warioba anawachia tanganyika yenu ikiwa ktk mikono ya upinzani anakwenda kugombea kwao Zanzobar 🤣
Ni wewe kweli, au mwingine; maana naona gwanda la kijani limewekwa Pembeni?🤣 🤣 watu wa chadema bana
Ila huyo mzaramo mwenzangu ni mlafi sana.Operesheni ya kumng'atua JK kwa nguvu maana amegoma kustaafu kwa hiari.
Usikute mama wa watu hata Hana Matatizo shida ni walio muweka hapo ktk siasa unaweza kumuona Kiongozi wa nchi ana nguvu kumbe waliopo nyuma yake ndio wenye nguvu zaidi yake na Wana mtisha kuwa akiachia madaraka wata muua yeye au Kizazi chake au watamfilisi ,Wajumbe hili taifa lipo nyuma yenu muondoeni huyo jini shumileta anayeuza vipande vya nchi kwa kupitia mabega yenu. Kwa mara ya kwanza mtakumbukwa na vizazi hata vizazi kwa kuliondoa hilo jimama ambalo haliwaonei hata aibu huku nyinyi mkizificha kende zenu mbele yake. Mumuondoe bila kumuonea aibu na mumewe kikwete kamateni weka ndani