Leslie Mbena
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 207
- 677
- Thread starter
- #41
Kitako cha Azimio la Arusha kilikuwa kwenye Uongozi bora,Azimio la Arusha liliweka misingi imara ambayo mtu alitakiwa aikamilishe sawa sawa ili akubalike kama kiongozi,
Misingi ya Azimio la Arusha ilikuwa na lengo la kuhakikisha kuwa kiongozi anasimamia ufanisi wa yale yote yaliyotajwa kwenye Azimio la Arusha,asitumie madaraka yake kama namna ya kujipatia au kujiongezea utajiri,
Misingi hiyo iliunganishwa na msingi unaopinga dhuluma kwenye jamii ikiwa inajumuisha aina zote za rushwa.
Misingi ya Azimio la Arusha ilikuwa na lengo la kuhakikisha kuwa kiongozi anasimamia ufanisi wa yale yote yaliyotajwa kwenye Azimio la Arusha,asitumie madaraka yake kama namna ya kujipatia au kujiongezea utajiri,
Misingi hiyo iliunganishwa na msingi unaopinga dhuluma kwenye jamii ikiwa inajumuisha aina zote za rushwa.