mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Osha uso. Tanzania kuna chama kimoja tu cha siasa. Na kikundi kimoja cha kihuni kinachoongozwa na mmiliki wa night clubHebu ru
Bila vyombo vya dola hiki kitu hakipo mitaani, na watu wanajuta kulazimishwa kutawaliwa e.g. Zanzibar utasema mnawatawala wale watu kwa mapenzi yao kweli ?! Huku bara ndiyo mmeshawazuia wapinzani wenu kufanya siasa za kistaarabu yote hiyo hofu ya kupora madaraka yao kupitia mfumo mbaya wa uchaguzi
Na katika nyakat upinzani unakwenda kufa bass ni uchaguzi wa 2020