Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Mchambuzi:Ningependa nichangie maeneo matatu (in italics) based on how hoja zako have stimulated my thinking:-
1. Suala la mindset na pia la nidhamu kama taifa, ni kweli kabisa inabidi tubadilike, ila ni vigumu kujua tufanye nini ili kufanikiwa katika hilo, hasa ikizingatiwa kwamba nchi imehakuwa corrupted from the grass roots up, na chanzo kikubwa cha tatizo hili ni CCM yenyewe kwa maana ya kwamba – kwa mfano, atanzania wengi live in a context of total hopelessness anddespair kwani kwa muda sasa CCM na serikali yake imeshindwa kutengenzea watanzania mazingira yanayotoa opportunity for prosperity and success and an upoward social mobility kutokana na jasho la mtu. Matokeo yake ni kwamba ni watanzania wachache sana ndio wanafanikiwa kimaisha; ni katika hali hii, mtu akifanikiwa kiuchumi/kifedha, regardless of the means, anageuzwa kuwa hero na role model, hence the term ufisadi getting a positive connotation.
Mimi (in Normal font)
Nashukuru kwa upanuzi wa "mind set" ilivyokengeuka niongezee tu HILI NI LA KUTENGENEZWA, wote sisi tumechangia kwenye hili. Kwa hiyo kila mtu ana fursa na nafasi ya kuwa "solution" kwenye hili. Hili lipo kwenye "category" ya SUALA LA KITAIFA.
2. Sijakuelewa vizuri kuhusu uwepo wa self determination kama taifa under vyama vingi hasa pale unaposema kwamba ipo lakini haipo shared. Ni kwamba sijakuelewa tu but I think you might have a very interesting point. Inawezekana the shared vision ipo katika masuala uliyoyazungumzia ya mtazamo wa kiuchumi, ulinzi na usalama, nidhamu na uzalishaji, na tatizo ni kwamba tu haukufafanua vizuri.
Sawa ngoja nijaribu kulifafanua. Kuna msomi mmoja hapa nchini mtaalam wa socialogy na psychology anaitwa Prof. Marjorie Mbilinyi (Naweza kuwa nimekosea spelling za jina lake). Kifupi, huyu anazungumzia ujenzi wa fikra "mind set" kwa walimu. Maana yake ni mchakato toka mtoto anazaliwa na mazingira anayokulia, ni mkakati wa kufikisha au kutekeleza maudhui ya elimu ili kuwa na binadamu aliye kamilika, kujitambua(balanced and self determined) na mwenye kumudu mazingira anayoishi. Hapa kilichopo ni kuwa taifa ni mkusanyiko wa watu waliozalishwa na mfumo wa elimu iliyokusudiwa si huria/holela. Wanaweza kuwa na kiwango tofauti lakini watatambulika kwa mtazamo wa vitu mbali mbali na uelewa wa mambo ya pamoja hasa ya taifa lao. Hayo ndiyo misingi ya self determination. Mfano familia tofauti zina kiwango tafauti cha hadhi katika jamii. Kuna familia zenye wasomi na wadilifu wanokubalika na zingine zina wasomi si waadilifu na hawkubaliki na jamii. Self Detemination za hizi familia zinapata mapokeo/zi tofauti ndani ya jamii. Unaweza kukuta hata mafanikio yao kiuchumi yana mtazamo tofauti katika jamii. Mfano mwingine nimeuona kwenye TV, mtu yupo kwenye 4WD na mke wake, anakunywa maji ya chupa ya lita moja. Baada ya kunywa maji, anaitupa ile chupa barabarani na inaokotwa na mtoto anamrudishia kupitia dirisha lake. Anaipokea baada ya kushawishiwa hivyo na mkewe na baada ya kufikishiwa ujumbe wa mazingira. Ujumbe hapa "mind set" ya mazingira kwa anaetupa chupa kama huyu bwana ipo ipo tu haiendani na jamii. Ili kujibu yote haya tujiulize wewe na mimi na yule na sisi tunalichuliaje suala la mazingira hususan baada ya kunywa maji ya chupa tunazifanyaje chupa tupu. Hizo ni chupa tupu, je tuna mtazamo gani wa pamoja (kitaifa)juu ya mambo mengine kama uchumi, afya, elimu na muhimu zaidi kuhusu KAZI? Ni suala la kitaifa kujenga "self determination" kujitambua kuwa na msimamo na kujiamulia mustakabali wetu.
All in all, umenipa a starting point towards uelewa as I am still digesting your thoughts; Lakini kuna kitu kinanitatiza hapa: Chini ya Ujamaa, the State (CCM) failed; miaka 27 baada ya soko huria kuingia, hadi leo hii the market has failed, hence the state (CCM); Je, tatizo hapa ni uwepo self determination that is not shared? Kwa mtazamo wangu, STATE FAILURE UNDER UJAMAA POLICIES AND MARKET FAILURE UNDER FREE MARKET POLICIES, means CCM na serikali yake have failed watanzania since independence na sioni any justification and legitimacy for the party to continue to rule the country unless kinakubali mapungufu haya na kuanzisha mabadiliko from the bottom – up, sio kufanya maamuzi kwenye vikao vyao in a top – down manner na kuja kutuletea taarifa kwenye television. Bila ya hivyo, CCM is getting into a collision course na umma uliochoka!
Kuna failure wengine hujawataja mimi, wewe na jamii. Serikali na CCM ni taasisi ambazo kiundani kuna watu nyuma yake. Hawa ni failure na ndiyo maana hizi taasisi ni failure. Tusisahau kuwa failure ya jamii ni kubwa zaidi, kwa sababu inawahusu individuals na taasisi. Naomba turejee kwenye "principles" shule na elimu kwa ujumla jukumu lake la kwanza ni kujenga taswira ya taifa. Hii ni suala muhimu la kitaifa, tukiri kuwa hapa ndipo kwenye mtindio wa mambo yetu. Mimi mwishoni mwa 70s na mwanzoni mwa 80s nilikuwa mdau wa elimu ya watu wazima. Humo ndani ya elimu hiyo tulikuwa na fursa nzuri ya kujenga "self determination" ambayo yalizingatia umoja wa taifa. Huwezi amini yalileta msisimko na mshikamano ambao ulikuwa na positive impact kwenye umoja, usalama na uchumi.
3. Na mwisho ni kuhusu hoja yako juu ya masuala ambayo unadhani we can deal with in a non – partisan way. Nimependa your ideas on issues kama uchumi, ulinza na usalama, nidhamu, na uzalishaji. Nilikuwa nina maoni tofauti kidogo juu ya hoja yako hii:
Tukianza na uchumi – Hadi sasa, sio CCM wala Chadema ambayo inaweka bayana nchi itasonga mbele kwa kutumia mfumo gani wa uchumi; Sera na itikadi za vyama vyote zinalenga kutegemea kujaziwa bakuli na wahisani, kwani tangia Nyerere ang'atuke, sera zaetu, dira yetu ya taifa n.k zimekuwa zinatengenezwa na wakubwa wan je (wahisani – IMF na World Bank) kupitia economics za AID ambazo ni maafa makubwa sana sio kwa taifa letu tu bali nchi zote maskini. AID ndiyo njia pekee iliyobakia kwa wakubwa wa nje to justify kwamba their theories about the market and economic development will lead us into a take off stage. This is a fallacy.
Kwanza nishukuru kuliona hilo; ni uthibisho kuwa hatuna agenda/dondoo ya kitaifa kuhusu uchumi. Je hapo kuna fursa yo yote? Ndiyo ipo wewe na mimi na wengine hatujanyimwa fursa ya kuiweka hiyo kama agenda/dondoo yetu ya kikatiba tujadili na kuiweka vizuri kwa muafaka. Mfano clause moja tu ya kuwa rasilimali zote za taifa hii zitamilikiwaje kitaifa si kitaasisi kwa sababu taasisi hizi zote zimefeli kwenye hili. Juu ya sera kuamuliwa nje ndilo linathibitisha usemi wa ukoloni mambo leo, na uwingi wa fikra tofauti hata ndani ya chama kimoja. Lakini udhaifu huu ni kutokana na uchumi dhaifu, viongozi dhaifu na sisi wananchi dhaifu. Hakuna mtu anawaamulia wachina kwenye mambo yao ya uchumi hata ya haki za binadamu. Rejea historia ambayo wachina wanaiheshimu sisi hatuiheshimu; Tanzania ndiyo iliyopigania kuiingiza China UN. Hizo gutts tumezipeleka wapi? Hakuna sababu ya kuwezeshwa ili TUWEZE. TUNAWEZA kujiamulia mambo yetu bila KUWEZESHWA; hiyo ndiyo self determination in action tuliyoipotelezea.
Tukija kwenue ulinzi na usalama – tumeona jinsi gani vyombo vyetu juu ya masuala haya vilivyokuwa partisan. Sina haja ya kufafanua sana kwani mengi yapo dhahiri.
Na mimi pia sina haja ya kufafanua ila kujitwika jukumu la kushare na wengine
Nidhamu – tatizo lililopo ni kwamba nidhamu imekuwa ni suala voluntary, sio mandatory tena kwani viongozi hawaonyeshi mfano wa kuigwa, na badala yake, madudu wanayofanya ndio yana inspire hata watoto wetu. Ni kawaida kwa watoto mashuleni nyakati hizi kuwa na malengo ya kumaliza elimu zao ili wakajijenge binafsi, sio wakatumikie taifa.
Umesema yote ila ungekwenda mbali ukatoa maoni yako juu ya mwelekeo uelekezwe wapi. Mimi naona ni matokeo ya kukengeuka kwa elimu yetu ambayo mimi naiita ya kukariri siyo ya kujikomboa. Kwangu ukombozi ni kufanya kazi. Kwa dini yangu kupata mshahara nisioufanyia kazi ni wizi (utumwa); ni bahati mbaya nimezungukwa na wenzangu wavivu. Ndiyo maana nashindwa kuelewa kwa nini watu wanadai mishahara ya kukidhi mahitaji yao bila kujihoji uzalishaji ukoje?
Uzalishaji – tangia uhuru, mkulima amekuwa anamzalishia mtawala mazao ya biashara ili auze nje ya nchi na kupata resources za kujijenga kitaasisi; kuzalisha mazao ya vyakula ili to feed the urban elites and bureaucrats; ku maintain law and order kwa kuwekeza kwenye ulinzi na usalama (polisi n.k); kuwapatia maisha bora watu wa mijini kwa kuwapatia ajira kwenye taasisi za umma na pia kuwajengea mazingira ya ujarisiamali (sababu wengi ni exposed, educated, elites… na pia kuwajengea miundo mbinu na huduma mbali mbali za kijamii ili wasi revolt against the regime n.k. Yote hii happens at the expense of mzalishaji ambae ambae yupo kijijini (70% of the population) ambae serikali does very little to care for their social welfare.
Umesema vyema lakini kuna la ziada alilisema Nyerere siku zake za mwisho; yeye hakufanya yote mazuri lakini wenzake hata mazuri aliyoyafanya wameyaacha. Labda na mimi niungane naye kuwa yapo mengi mazuri ambayo yangekuwa ya tija katika uzalishaji. Hakuna aliyetunyima kuyarudia, lakini tunajibaraguza tu. Ni matumaini yangu serikali makini itakuja kuyarejea mazuri. Hata mabaya si ya kusahau ni mambo ya kuyafanyia kazi 'Challenges addressed are always Opportunities"
Samahani najibu kifupi kifupi ila naweza kuchangia in details kama nitatakiwa
That being said, mimi nadhani hoja yako juu ya masuala haya stands katika kuzungumzia masuala that can be dealt with in a no – partisan way, lakini kwa mtazamo wangu, yote haya lazima yawekwe kwenye kasha ya UZALENDO.
Kwenye fani ya Komputa kuna neno "semantic" na lingine "syntacs/x" likiwa na maana ya lugha inayokubalika/isyokubalika; sisi tuna maneno mengi sana ya namna hiyo moja wapo ni hilo. Ukweli maana yake ipo kwa mtumiaji. Kwa hiyo kwangu mimi sikubaliani na hilo kasha kwa sababu lina maneno yanayotumika kibinafsi. Mimi natambua kasha moja ambalo naona kama bado liko tupu nalo ni la UTAIFA.Nakuomba wewe na mimi na wasomaji wetu ebu tujikite kwenye kuitafakari dhana ya utaifa kiuchumi, kiusalama, kiuzalishaji (productivity) katika kila mahali tulipo ili tuwe wengi tunaojenga taifa tuwazidi wabomoa taifa letu.
1. Suala la mindset na pia la nidhamu kama taifa, ni kweli kabisa inabidi tubadilike, ila ni vigumu kujua tufanye nini ili kufanikiwa katika hilo, hasa ikizingatiwa kwamba nchi imehakuwa corrupted from the grass roots up, na chanzo kikubwa cha tatizo hili ni CCM yenyewe kwa maana ya kwamba – kwa mfano, atanzania wengi live in a context of total hopelessness anddespair kwani kwa muda sasa CCM na serikali yake imeshindwa kutengenzea watanzania mazingira yanayotoa opportunity for prosperity and success and an upoward social mobility kutokana na jasho la mtu. Matokeo yake ni kwamba ni watanzania wachache sana ndio wanafanikiwa kimaisha; ni katika hali hii, mtu akifanikiwa kiuchumi/kifedha, regardless of the means, anageuzwa kuwa hero na role model, hence the term ufisadi getting a positive connotation.
Mimi (in Normal font)
Nashukuru kwa upanuzi wa "mind set" ilivyokengeuka niongezee tu HILI NI LA KUTENGENEZWA, wote sisi tumechangia kwenye hili. Kwa hiyo kila mtu ana fursa na nafasi ya kuwa "solution" kwenye hili. Hili lipo kwenye "category" ya SUALA LA KITAIFA.
2. Sijakuelewa vizuri kuhusu uwepo wa self determination kama taifa under vyama vingi hasa pale unaposema kwamba ipo lakini haipo shared. Ni kwamba sijakuelewa tu but I think you might have a very interesting point. Inawezekana the shared vision ipo katika masuala uliyoyazungumzia ya mtazamo wa kiuchumi, ulinzi na usalama, nidhamu na uzalishaji, na tatizo ni kwamba tu haukufafanua vizuri.
Sawa ngoja nijaribu kulifafanua. Kuna msomi mmoja hapa nchini mtaalam wa socialogy na psychology anaitwa Prof. Marjorie Mbilinyi (Naweza kuwa nimekosea spelling za jina lake). Kifupi, huyu anazungumzia ujenzi wa fikra "mind set" kwa walimu. Maana yake ni mchakato toka mtoto anazaliwa na mazingira anayokulia, ni mkakati wa kufikisha au kutekeleza maudhui ya elimu ili kuwa na binadamu aliye kamilika, kujitambua(balanced and self determined) na mwenye kumudu mazingira anayoishi. Hapa kilichopo ni kuwa taifa ni mkusanyiko wa watu waliozalishwa na mfumo wa elimu iliyokusudiwa si huria/holela. Wanaweza kuwa na kiwango tofauti lakini watatambulika kwa mtazamo wa vitu mbali mbali na uelewa wa mambo ya pamoja hasa ya taifa lao. Hayo ndiyo misingi ya self determination. Mfano familia tofauti zina kiwango tafauti cha hadhi katika jamii. Kuna familia zenye wasomi na wadilifu wanokubalika na zingine zina wasomi si waadilifu na hawkubaliki na jamii. Self Detemination za hizi familia zinapata mapokeo/zi tofauti ndani ya jamii. Unaweza kukuta hata mafanikio yao kiuchumi yana mtazamo tofauti katika jamii. Mfano mwingine nimeuona kwenye TV, mtu yupo kwenye 4WD na mke wake, anakunywa maji ya chupa ya lita moja. Baada ya kunywa maji, anaitupa ile chupa barabarani na inaokotwa na mtoto anamrudishia kupitia dirisha lake. Anaipokea baada ya kushawishiwa hivyo na mkewe na baada ya kufikishiwa ujumbe wa mazingira. Ujumbe hapa "mind set" ya mazingira kwa anaetupa chupa kama huyu bwana ipo ipo tu haiendani na jamii. Ili kujibu yote haya tujiulize wewe na mimi na yule na sisi tunalichuliaje suala la mazingira hususan baada ya kunywa maji ya chupa tunazifanyaje chupa tupu. Hizo ni chupa tupu, je tuna mtazamo gani wa pamoja (kitaifa)juu ya mambo mengine kama uchumi, afya, elimu na muhimu zaidi kuhusu KAZI? Ni suala la kitaifa kujenga "self determination" kujitambua kuwa na msimamo na kujiamulia mustakabali wetu.
All in all, umenipa a starting point towards uelewa as I am still digesting your thoughts; Lakini kuna kitu kinanitatiza hapa: Chini ya Ujamaa, the State (CCM) failed; miaka 27 baada ya soko huria kuingia, hadi leo hii the market has failed, hence the state (CCM); Je, tatizo hapa ni uwepo self determination that is not shared? Kwa mtazamo wangu, STATE FAILURE UNDER UJAMAA POLICIES AND MARKET FAILURE UNDER FREE MARKET POLICIES, means CCM na serikali yake have failed watanzania since independence na sioni any justification and legitimacy for the party to continue to rule the country unless kinakubali mapungufu haya na kuanzisha mabadiliko from the bottom – up, sio kufanya maamuzi kwenye vikao vyao in a top – down manner na kuja kutuletea taarifa kwenye television. Bila ya hivyo, CCM is getting into a collision course na umma uliochoka!
Kuna failure wengine hujawataja mimi, wewe na jamii. Serikali na CCM ni taasisi ambazo kiundani kuna watu nyuma yake. Hawa ni failure na ndiyo maana hizi taasisi ni failure. Tusisahau kuwa failure ya jamii ni kubwa zaidi, kwa sababu inawahusu individuals na taasisi. Naomba turejee kwenye "principles" shule na elimu kwa ujumla jukumu lake la kwanza ni kujenga taswira ya taifa. Hii ni suala muhimu la kitaifa, tukiri kuwa hapa ndipo kwenye mtindio wa mambo yetu. Mimi mwishoni mwa 70s na mwanzoni mwa 80s nilikuwa mdau wa elimu ya watu wazima. Humo ndani ya elimu hiyo tulikuwa na fursa nzuri ya kujenga "self determination" ambayo yalizingatia umoja wa taifa. Huwezi amini yalileta msisimko na mshikamano ambao ulikuwa na positive impact kwenye umoja, usalama na uchumi.
3. Na mwisho ni kuhusu hoja yako juu ya masuala ambayo unadhani we can deal with in a non – partisan way. Nimependa your ideas on issues kama uchumi, ulinza na usalama, nidhamu, na uzalishaji. Nilikuwa nina maoni tofauti kidogo juu ya hoja yako hii:
Tukianza na uchumi – Hadi sasa, sio CCM wala Chadema ambayo inaweka bayana nchi itasonga mbele kwa kutumia mfumo gani wa uchumi; Sera na itikadi za vyama vyote zinalenga kutegemea kujaziwa bakuli na wahisani, kwani tangia Nyerere ang'atuke, sera zaetu, dira yetu ya taifa n.k zimekuwa zinatengenezwa na wakubwa wan je (wahisani – IMF na World Bank) kupitia economics za AID ambazo ni maafa makubwa sana sio kwa taifa letu tu bali nchi zote maskini. AID ndiyo njia pekee iliyobakia kwa wakubwa wa nje to justify kwamba their theories about the market and economic development will lead us into a take off stage. This is a fallacy.
Kwanza nishukuru kuliona hilo; ni uthibisho kuwa hatuna agenda/dondoo ya kitaifa kuhusu uchumi. Je hapo kuna fursa yo yote? Ndiyo ipo wewe na mimi na wengine hatujanyimwa fursa ya kuiweka hiyo kama agenda/dondoo yetu ya kikatiba tujadili na kuiweka vizuri kwa muafaka. Mfano clause moja tu ya kuwa rasilimali zote za taifa hii zitamilikiwaje kitaifa si kitaasisi kwa sababu taasisi hizi zote zimefeli kwenye hili. Juu ya sera kuamuliwa nje ndilo linathibitisha usemi wa ukoloni mambo leo, na uwingi wa fikra tofauti hata ndani ya chama kimoja. Lakini udhaifu huu ni kutokana na uchumi dhaifu, viongozi dhaifu na sisi wananchi dhaifu. Hakuna mtu anawaamulia wachina kwenye mambo yao ya uchumi hata ya haki za binadamu. Rejea historia ambayo wachina wanaiheshimu sisi hatuiheshimu; Tanzania ndiyo iliyopigania kuiingiza China UN. Hizo gutts tumezipeleka wapi? Hakuna sababu ya kuwezeshwa ili TUWEZE. TUNAWEZA kujiamulia mambo yetu bila KUWEZESHWA; hiyo ndiyo self determination in action tuliyoipotelezea.
Tukija kwenue ulinzi na usalama – tumeona jinsi gani vyombo vyetu juu ya masuala haya vilivyokuwa partisan. Sina haja ya kufafanua sana kwani mengi yapo dhahiri.
Na mimi pia sina haja ya kufafanua ila kujitwika jukumu la kushare na wengine
Nidhamu – tatizo lililopo ni kwamba nidhamu imekuwa ni suala voluntary, sio mandatory tena kwani viongozi hawaonyeshi mfano wa kuigwa, na badala yake, madudu wanayofanya ndio yana inspire hata watoto wetu. Ni kawaida kwa watoto mashuleni nyakati hizi kuwa na malengo ya kumaliza elimu zao ili wakajijenge binafsi, sio wakatumikie taifa.
Umesema yote ila ungekwenda mbali ukatoa maoni yako juu ya mwelekeo uelekezwe wapi. Mimi naona ni matokeo ya kukengeuka kwa elimu yetu ambayo mimi naiita ya kukariri siyo ya kujikomboa. Kwangu ukombozi ni kufanya kazi. Kwa dini yangu kupata mshahara nisioufanyia kazi ni wizi (utumwa); ni bahati mbaya nimezungukwa na wenzangu wavivu. Ndiyo maana nashindwa kuelewa kwa nini watu wanadai mishahara ya kukidhi mahitaji yao bila kujihoji uzalishaji ukoje?
Uzalishaji – tangia uhuru, mkulima amekuwa anamzalishia mtawala mazao ya biashara ili auze nje ya nchi na kupata resources za kujijenga kitaasisi; kuzalisha mazao ya vyakula ili to feed the urban elites and bureaucrats; ku maintain law and order kwa kuwekeza kwenye ulinzi na usalama (polisi n.k); kuwapatia maisha bora watu wa mijini kwa kuwapatia ajira kwenye taasisi za umma na pia kuwajengea mazingira ya ujarisiamali (sababu wengi ni exposed, educated, elites… na pia kuwajengea miundo mbinu na huduma mbali mbali za kijamii ili wasi revolt against the regime n.k. Yote hii happens at the expense of mzalishaji ambae ambae yupo kijijini (70% of the population) ambae serikali does very little to care for their social welfare.
Umesema vyema lakini kuna la ziada alilisema Nyerere siku zake za mwisho; yeye hakufanya yote mazuri lakini wenzake hata mazuri aliyoyafanya wameyaacha. Labda na mimi niungane naye kuwa yapo mengi mazuri ambayo yangekuwa ya tija katika uzalishaji. Hakuna aliyetunyima kuyarudia, lakini tunajibaraguza tu. Ni matumaini yangu serikali makini itakuja kuyarejea mazuri. Hata mabaya si ya kusahau ni mambo ya kuyafanyia kazi 'Challenges addressed are always Opportunities"
Samahani najibu kifupi kifupi ila naweza kuchangia in details kama nitatakiwa
That being said, mimi nadhani hoja yako juu ya masuala haya stands katika kuzungumzia masuala that can be dealt with in a no – partisan way, lakini kwa mtazamo wangu, yote haya lazima yawekwe kwenye kasha ya UZALENDO.
Kwenye fani ya Komputa kuna neno "semantic" na lingine "syntacs/x" likiwa na maana ya lugha inayokubalika/isyokubalika; sisi tuna maneno mengi sana ya namna hiyo moja wapo ni hilo. Ukweli maana yake ipo kwa mtumiaji. Kwa hiyo kwangu mimi sikubaliani na hilo kasha kwa sababu lina maneno yanayotumika kibinafsi. Mimi natambua kasha moja ambalo naona kama bado liko tupu nalo ni la UTAIFA.Nakuomba wewe na mimi na wasomaji wetu ebu tujikite kwenye kuitafakari dhana ya utaifa kiuchumi, kiusalama, kiuzalishaji (productivity) katika kila mahali tulipo ili tuwe wengi tunaojenga taifa tuwazidi wabomoa taifa letu.