Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,940
- 2,000
Chadema mlizaliwa na matusi ?
Naona unajiandaa kwenda kumpumzisha mwili wake j5
Naona unajiandaa kwenda kumpumzisha mwili wake j5
Amebaki kutumia taasisi za serikali kujaza watu kwenye mikutanoNimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
We na Nani au unatanzania yako nyingine kwenu ?Shauri yao Chadema mkuu wameyataka wenyewe
Sisi Watanzania tupo na Magufuli wetu
Hivi huoni aibu kuwasemea mambulula kama hawa kichwani mbona unaonekana uko smart lakini umeamua kuiwekeza akili yako tumboni?matusi ni ninyi mnaojitukana ulishawahi ona wapi mgombea wa chadema anafanya hivi?Chadema mlizaliwa na matusi ?
Hawa jamaa ni mambulula kwelikweli sijui hawa vijana wanapata wapi ujasiri wa kuwatetea watu kama hawa View attachment 1609022Amebaki kutumia taasisi za serikali kujaza watu kwenye mikutano View attachment 1609016
Hivi lisu na hawa nani kichaa View attachment 1609024Nyinyi na yule kichaa wenu wa ubelgiji ndo akili zenu zimepungua. Lissu ukimuangalia tu usoni unaona kabisa hamnazo.
Achana na mizwazwa na misukule ya CCMWe na Nani au unatanzania yako nyingine kwenu ?Kakojoe ulale
![]()
Mtukufu magufuli kaanza kampeni tokea 2016 anazunguka Nchi nzima akigawa pesa mpaka juzi juzi siku chache kabla ya kampeni kuanza alinunua jogoo kwa Tshs laki moja kule Rufiji na kumwahidia mzee mmiliki wa jogoo kumsajili kuwa baba yake wa hiali
Mbaya zaidi mnafurahia kuongozwa na chiziKwaheri Chadema
Mtajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Chakubanga kamshika masikio huyu Mzee, na Ole Sabaya ndo kaandaa hii script uchwara!
Changia mada acha mahaba, hizo ni tabia za kimalaya!! We ndo mzima wakati huelewi hata unachoandika??ni sehem moja yapo ya kuonyesha nyie sio mazima, pale ambapo mnaonekana sio wazima lazima tuseme
TushaAndaa vikatio.
Limezama. Acha lizameOgopa Mungu na teknolojia
Naomba kujuzwa. yeye alifanya nini Chato ktk kipindi chake cha ubunge miaka 15?
Changia mada acha mahaba, hizo ni tabia za kimalaya!! We ndo mzima wakati huelewi hata unachoandika??
Kweli kabisa maana ni pure PsychiatryKatiba yetu ingekuwa inalazimisha viongozi wakuu kupimwa afya kwa lazima hasa afya ya akili, hakika majibu ya mzee wetu yangeishangaza dunia
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us