Tena mara mbili kwa mwaka,kama akionekana akiwa na matatizo ya kiafya basi ampishe makamu wake au Jaji mkuu ashike ofisi.Nadhani Katiba inaongelea haya masuala ila tukimtoa Dikteta tunaandika Katiba mpya.Katiba yetu ingekuwa inalazimisha viongozi wakuu kupimwa afya kwa lazima hasa afya ya akili, hakika majibu ya mzee wetu yangeishangaza dunia