paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,499
Ni siku nyingi CCM ilishaga kubali kupisha, kinachokosekana ni Chama mbarara basi!!! Ni Chama kipi sasa?
Sawa tumekusikia. Sasa chama gani mbadala kitashika dola.Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi CCM haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu CCM haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.
Siyo kuwa chama mbadala kinakosekana...Ni siku nyingi CCM ilishaga kubali kupisha, kinachokosekana ni Chama mbarara basi!!! Ni Chama kipi sasa?
Siasa ni sayansi ya siasa na sio blah blah tuu, unaposema CCM mwisho wake 2020, jengea hoja za kisayansi hiyo 2020, CCM itakufaje.
Kuhusu CCM, mimi hoja yangu ni hii
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! - JamiiForums
P
Ndoto unazoota baada ya kunywa kvant ipo siku utaenda kumshika makalio mamako mkwe, ndugu hizo pombe zimekushinda ziache, ni hivyo tyu. La maaskofu wenu limekuchachia umerukia jengine.
Nina wasiwasi na CORONA itaisababishia CCM kuanguka Mwaka huu.
Maana Kila nikitupa jicho sioni Muhimili uliosimama imara,
Naona mihimili yote iko mkononi mwa Mzee wa Chato,
Na ki ukweli Vyombo vyote nchini vime tii Mamlaka ya Chato havifanyi kazi kwa 'professional ' bali amri,
Kwa Mwendo huu ,Manunguniko ni makubwa zaidi ndani ya System kupita maelezo.
Wote wanamsubiri Mesia ili awaondeshee Kituko hiki.
Mkuu, tatizo ikiondoka CCM, ni chama gani kina nguvu ya kuchukua madaraka!?Nina wasiwasi na CORONA itaisababishia CCM kuanguka Mwaka huu.
Maana Kila nikitupa jicho sioni Muhimili uliosimama imara,
Naona mihimili yote iko mkononi mwa Mzee wa Chato,
Na ki ukweli Vyombo vyote nchini vime tii Mamlaka ya Chato havifanyi kazi kwa 'professional ' bali amri,
Kwa Mwendo huu ,Manunguniko ni makubwa zaidi ndani ya System kupita maelezo.
Wote wanamsubiri Mesia ili awaondeshee Kituko hiki.
Si unajua kwenye malalamiko watu huwa na vinyongo.!Kama ni hivyo ccm itaangukaje sasa?
Angalia usijkojolee kwa ndoto zako za mchanaNaapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu CCM haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.
Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi CCM haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu CCM haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.
Mwaka huu ndio mwishoSitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi CCM haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu CCM haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.
Rais anatawala kwa MABAVU, hataki kukosolewa wala kufanyia kazi maoni na mapendekezo ya Wananchi wake. Mbaya zaidi anajigamba hadharani kwamba yeye hashauriki na ukifanya hivyo tu basi ndio umeharibu kabisa, huyu ni Kiongozi wa Wananchi ama ni DIKTETA?Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi CCM haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu CCM haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.