Kuchitimbo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 364
- 279
Ni wazee wa maslahi,Ina maana mi macho alienda kuwabebembeleza awape na kuwaongezea migodi ya uranium kule Namtumbo ili wasishinikize jamaa kutoka madarakani kutokana na kuonesha kubariki uchafu wote unaotendeka nchini kwa kukaa kimya bila hata kuwakemea wanaofanya hivo?.Naona upinzani safari hii watashinda uchaguzi kwa kupigiwa kura na wamarekani. Mimi nashangaa hivi wamarekani nyinyi mnawaona watu sana eeh? Pole sana wale hawanaga marafiki huwaga wazee wa masilahi basi. Mjitathimini
Nilikuwa nawaza tu