CCM mwendo mdundo! CHADEMA yaanguka

Mkuu unajua tofauti ya kuwa proactive na reactive
 
Sasa wewe! Bila ya zitto kuitisha vote of no confedence. Hilo Chizi lenu lingevunja baraza la mawaziri.
 
Mpaka Magamba wapigiwe nduru ndio watambue kuna wizi, CDM haina cha kufurahia katika hatua hizi dhaifu mpaka nchi ikombolewe kutoka mikono ya magamba.
 
hebu angalia avatar ya waziri wa magamba anavyouchapa usingizi wa pono hapa baada ya kusakamia pesa za walipa kodi
 
U must be sick/very sick in ICU
 
Upinzani wekeni kando, JK amekidhi matakwa ya watanzania, leo roho kwatu!!!

Kuacha suala la upinzani ni sawa na kuzisaliti nafsi zetu kwani hata hata huyo jk leo asingefikia maamuzi ya kulivunja baraza la mawaziri kama upinzani usingekuwepo.fikiri kwanza kabla ya kuleta ***** wako humu.
 
Mkuu..
Hivi kumbe hata ninyi wanachama wa magamba mna akili sawa na viongozi wenu(refer H. K) hivi kwa nini mnapenda ku politisize uwajibikaji wa Serikali? Hivi leo ndio mara ya kwanza kutolewa kwa report ya CAG inayoonesha namna mchwa wanavyotafuna hadi karatasi za ofisi za umma??

Yaani watu tukiendelea kuwa na mahaba yaliyopitiliza kwa haya magenge ya wenye meno nchi yetu itaangamia..

Pole sana kwa ushabiki maandazi!!-MTM, JF

NB: unadhani Zitto asingesimama pale nje kukusanya hizo sahihi mngechukua hayo maamuzi?? Tukisema CCM na Serikali yake inaongozwa na kambi ya upinzani tunakosea??
 


Hamna hoja hapo
 
Hizo zilikuwa ni jitihada za upinzani na wabunge wachache magamba ambao mlitaka kuwatoa uhai wakakimbilia mafichoni kuokoa nafsi zao. Naona ajabu magamba kusema wametimiza kiu kwa hiari yao
 

Yes, this was from Uhuru toleo No .... of 1972. Dreaming of 1972 - Madaraka Mikoani kind of!!!! Chama kushika Utamu. Your system need updating
 
Wahaya wana msamiati unaokwenda hivi: "Eibala libi lita nyinalyo" meaning literary kwamba "JINA BAYA HUMCHAFUA MWENYENALO"
hebu angalia 1. KIGWANGALA 2. MAFILILI 3. MAGAMBA
what do you expect; kigwangala kulala lock-up siku moja kumefuta vision yake yote na sense of patriotism anaogopa kurudi lockup au kwenda jela akitingisha kibiriti tena!! makamanda tuongeze kasi ya mapambano, people like these I beg you all to ignore them with all the contempt they deserve
 
Kweli CHADEMA inaongoza nchi....hivi ni nani alieibua hoja za kuvunja baraza la wezi? CCM mbona waliitana faragha na kutishiana kua atakae saini atawajibishwa....Sasa imekula kwao huyu shoga anakuja na thread ya kike
 

Umewauliza waliokuwa wakishereheke, yawezekana Walishangilia kufa kimyakimya kwa serikali, maana tusubiri wateule wapya ndipo utaona vilio. Kama unabishi pendekeza wapya tuone.
 
Upinzani wekeni kando, JK amekidhi matakwa ya watanzania, leo roho kwatu!!!

Ww kijana mbona unakuwa kichaa, hona hii wameipigia upatu cdm, ili wawajibike mawaziri au wamng'oe pinda, ndo ****** kaja ili afanye mabadiliko ya baraza, ww huna akili kweli, na kama unazo basi zimekaa juu chini chini juu........
 
Sredi zingine mmmmhKuwa mwana ccm lazima uwe chizi
 


Hizi kweli ni PUMBA zilizopitiliza.

Hujiulizi hoja ilitolewa na nani? Kama haina mshiko mbona wamelazimika kuikubali?

Inashangaza kuona kwamba pamoja na elimu yote uliyonayo, hata ya KUFIKIRI KIDOGO TU umeikosa.

Pole weeee!
 
Yaani wewe mawazo yako pumba kabisa.Tendo hilo limezidi kukididimiza chama cha magamba sio kukipaisha,kwa kuwa CCM ndiyo iliyotufikisha hapo.They should have arrested the situation ealier.Sasa we are almost at a point of no return!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…