Hivi jamani hata ukimwita Taahira au mtoto mdogo ukamuuliza kwanini JK kavunja baraza la mawaziri atakujibu nini?
Nani asiyejua kwamba Baraza limevunjwa ili kumnusuru wakupinda?
Kwani CDM kwanini waliamua kumwajibisha Wakupinda kama si kwa vile waliona hawawezi kuwawajibisha MAfisadi papa(mawaziri)?
Mimi nawapongeza sana CDM kwani tangu wameanza kupigania haki za wanyonge hilo baraza lisharekebishwa mara nyingi na kuvunjwa mara 1 na hii itakua ya pili.
Hv CCM nyie hamjifunzi?Hamtaki kuja kua wapinzani Makini kama Sugu alivyowaambia?
Nani asiyejua kwamba Baraza limevunjwa ili kumnusuru wakupinda?
Kwani CDM kwanini waliamua kumwajibisha Wakupinda kama si kwa vile waliona hawawezi kuwawajibisha MAfisadi papa(mawaziri)?
Mimi nawapongeza sana CDM kwani tangu wameanza kupigania haki za wanyonge hilo baraza lisharekebishwa mara nyingi na kuvunjwa mara 1 na hii itakua ya pili.
Hv CCM nyie hamjifunzi?Hamtaki kuja kua wapinzani Makini kama Sugu alivyowaambia?