Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
Mkuu mag3 nakukubali sana kwa kupangua hoja za hawa majambzi wezi wa nchi hii kwa data umekata mzizi wa fitna wa huyu mafilifili lol!
hii thread yako haina mshiko tafuta wakina rejao wachangie huu umbea wako
Kwa mjinga kama wewe hakuna dawa! sisi tuliko huku mtaani tunaona kuwa CHADEMA wamefanikiwa kuiwajibisha serikali ya kishikaji na kuanza kufikiri kuchukua hatua. Wewe endelea na ujinga wa wanausalama wa taifa kuitetea CCM na erikali yake badala ya kuisaidiaMtazamo wa wananchi umebadilika ghafla baada ya tamko la CC; watu wamerudisha imani kwa kasi ya ajabu kwa CCM huku CDM ikikosa mvuto kwa kazi kubwa
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.
Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.
Poleni CHADEMA, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!
Yaani wewe unafikiria kwa kutumia ****** Serikali inawajibu wa kuwajibisha na usifikiri wanachadema tungefurahia serikali kuto kuwajibika huo sio mtaji wetu. CDM itasonga mbele daimaMtazamo wa wananchi umebadilika ghafla baada ya tamko la CC; watu wamerudisha imani kwa kasi ya ajabu kwa CCM huku CDM ikikosa mvuto kwa kazi kubwa
Kwa ujinga wako unadhani hivyo! Kwani ni nani waliomlazimisha kuchukua hatua hiyokama siyo Peoples Power? Si alidengua dengua eti "Yatapita tu" alipoona moto unafukuta na kwamba hata yeye hakuwa salama ndiyo sasa anachukua hatua za zimamoto? Acheni kutufanya watanzania mateka wa undondocha wenu. Na kama unabisha subiri afanye mabadiliko ya kisanii sanii yasiyokubaliwa na Peoples Power uone jinsi wananchi watakavyowaendesha. Mna akili kweli nyinyi wa magamba au zimeishia wizi na ubakaji wa ngawira za masikini wa Tanzania? Na bado mtabadili hayo mabaraza na mwisho wake na huyo kibaka wenu wa pale magogoni naye atang'oka maana 2015 sikarne ijayo.
PEOPLES POWER!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Aaa wapi!Inasikitisha kwa watu wasiotambua hili: kwa hali ilivyo sasa katika Nchi ya Tanzania CHADEMA ndio wanaongoza nchi na ndio wanaoiamulia Serekali nini cha kufanya, kwa sasa wao ndio wamemuajiri Rais na wanaweza kumfukuza kazi saa yoyote.
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.
Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.
Poleni CHADEMA, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!