Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Nimelewa ulanziUmelewa, na hatujui umelewa nini? Amka kumekucha ndugu
Nimelewa ulanziUmelewa, na hatujui umelewa nini? Amka kumekucha ndugu
Sasa kama mmeshindwa kuanzisha vita dhidi ya Nduli Mbowe ndani ya chadema mtaweza kuiingiza the might Tanzania vitani?CCM NA SERIKALI YENU MSITULAZIMISHE VITA SINGIDA.
Na Suphian Juma.
Nipo kwetu mkoani Singida kusalimia kwa takribani wiki sasa. CCM tunajua mna kambi mnayowapa mafunzo ya kijeshi vijana wenu wa GREEN GUARD mliowakusanya kutoka kata takribani zote za mkoa wa Singida. Tunajua kambi ilipo, idadi ya vijana wanaowafundisha, posho mnaowalipa, ukatili mnaowafundisha na tunajua LENGO la mkakati huu unaovunja Sheria za vyama vya Siasa na Katiba yetu
Ni kuwatumia vijana hawa kuunajisi Uchaguzi haramu mlioshupalia kuitishwa na Tume ya Uchaguzi Jimbo la Singida Mashariki (Jimbo halali la Mbunge Tundu Lissu) unaotarajia kufanyika tarehe 31 July 2019, na pia Kuuvuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Kuu ujao ili mshinde kiharamu.
Na mbaya na kusikitisha zaidi katika kuonesha madhara ya kuanzishwa kwa Kambi hii ya kishenzi inayooana na vikundi vya kigaidi duniani kama AlShabab, IS na kadhalika Leo 6, July 2019, bila kuogopa imevamia Mkutano halali wa ndani wa chama cha CHADEMA na kuwapiga viongozi na wanachama wa Kikao hicho na kuamua kujichukulia na kutokomea pasipojulikana na viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wa Chama Jimbo la Singida Mashariki huku Jeshi la Polisi hadi naandika taarifa hii fupi jioni hii halijafika eneo la tukio licha la kujulishwa mapema mchana kwa kigezo eti "HAWANA MAFUTA YA GARI".
WanaSingida na Watanzania tunasema huu sio Utanzania, Utu wala Ustaarabu waliotuachia waasisi wa Taifa hili, hivyo kwakuwa Katiba yetu inatutambua Wananchi kama wenye mamlaka ya juu zaidi katika nchi kuliko Serikali, Chama wala Rais, hivyo TUNAWATAKA mvunje hiyo Kambi HARAKA, LASIVYO kama Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vikishindwa kuwadhibiti msije mkatufikisha wananchi katika hatua ya kusababisha TUKAWAUMIZA HAO WADOGO ZETU. MSITULAZIMISHE VITA AMBAYO KIMSINGI ITAWAFUTA KATIKA RAMANI YA TANZANIA.
Suphian Juma
WanaSingida
6th July, 2019View attachment 1148804
Jipangeni na nyinyi mlipize kisasi hiyo ndio solutions,CCM NA SERIKALI YENU MSITULAZIMISHE VITA SINGIDA.
Na Suphian Juma.
Nipo kwetu mkoani Singida kusalimia kwa takribani wiki sasa. CCM tunajua mna kambi mnayowapa mafunzo ya kijeshi vijana wenu wa GREEN GUARD mliowakusanya kutoka kata takribani zote za mkoa wa Singida. Tunajua kambi ilipo, idadi ya vijana wanaowafundisha, posho mnaowalipa, ukatili mnaowafundisha na tunajua LENGO la mkakati huu unaovunja Sheria za vyama vya Siasa na Katiba yetu
Ni kuwatumia vijana hawa kuunajisi Uchaguzi haramu mlioshupalia kuitishwa na Tume ya Uchaguzi Jimbo la Singida Mashariki (Jimbo halali la Mbunge Tundu Lissu) unaotarajia kufanyika tarehe 31 July 2019, na pia Kuuvuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Kuu ujao ili mshinde kiharamu.
Na mbaya na kusikitisha zaidi katika kuonesha madhara ya kuanzishwa kwa Kambi hii ya kishenzi inayooana na vikundi vya kigaidi duniani kama AlShabab, IS na kadhalika Leo 6, July 2019, bila kuogopa imevamia Mkutano halali wa ndani wa chama cha CHADEMA na kuwapiga viongozi na wanachama wa Kikao hicho na kuamua kujichukulia na kutokomea pasipojulikana na viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wa Chama Jimbo la Singida Mashariki huku Jeshi la Polisi hadi naandika taarifa hii fupi jioni hii halijafika eneo la tukio licha la kujulishwa mapema mchana kwa kigezo eti "HAWANA MAFUTA YA GARI".
WanaSingida na Watanzania tunasema huu sio Utanzania, Utu wala Ustaarabu waliotuachia waasisi wa Taifa hili, hivyo kwakuwa Katiba yetu inatutambua Wananchi kama wenye mamlaka ya juu zaidi katika nchi kuliko Serikali, Chama wala Rais, hivyo TUNAWATAKA mvunje hiyo Kambi HARAKA, LASIVYO kama Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vikishindwa kuwadhibiti msije mkatufikisha wananchi katika hatua ya kusababisha TUKAWAUMIZA HAO WADOGO ZETU. MSITULAZIMISHE VITA AMBAYO KIMSINGI ITAWAFUTA KATIKA RAMANI YA TANZANIA.
Suphian Juma
WanaSingida
6th July, 2019View attachment 1148804
Ndipo unapoweza kupata Hali halisi. Ya moyoni. Pasipo unafikiNchi kubwa zinaamini mitandaonkuliko wewe usiejua hata it
ccm ya awamu ya 5 haijawahi kuwa na aibu mkuu , iko tayari kuuwa yeyote kwa ajili ya madaraka tu , iko tayari kudhalilisha yeyote , angalia RITA , tume ya uchaguzi na Mahakama walivyodhalilishwa kwenye sakata la LipumbaCCM NA SERIKALI YENU MSITULAZIMISHE VITA SINGIDA.
Na Suphian Juma.
Nipo kwetu mkoani Singida kusalimia kwa takribani wiki sasa. CCM tunajua mna kambi mnayowapa mafunzo ya kijeshi vijana wenu wa GREEN GUARD mliowakusanya kutoka kata takribani zote za mkoa wa Singida. Tunajua kambi ilipo, idadi ya vijana wanaowafundisha, posho mnaowalipa, ukatili mnaowafundisha na tunajua LENGO la mkakati huu unaovunja Sheria za vyama vya Siasa na Katiba yetu
Ni kuwatumia vijana hawa kuunajisi Uchaguzi haramu mlioshupalia kuitishwa na Tume ya Uchaguzi Jimbo la Singida Mashariki (Jimbo halali la Mbunge Tundu Lissu) unaotarajia kufanyika tarehe 31 July 2019, na pia Kuuvuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Kuu ujao ili mshinde kiharamu.
Na mbaya na kusikitisha zaidi katika kuonesha madhara ya kuanzishwa kwa Kambi hii ya kishenzi inayooana na vikundi vya kigaidi duniani kama AlShabab, IS na kadhalika Leo 6, July 2019, bila kuogopa imevamia Mkutano halali wa ndani wa chama cha CHADEMA na kuwapiga viongozi na wanachama wa Kikao hicho na kuamua kujichukulia na kutokomea pasipojulikana na viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wa Chama Jimbo la Singida Mashariki huku Jeshi la Polisi hadi naandika taarifa hii fupi jioni hii halijafika eneo la tukio licha la kujulishwa mapema mchana kwa kigezo eti "HAWANA MAFUTA YA GARI".
WanaSingida na Watanzania tunasema huu sio Utanzania, Utu wala Ustaarabu waliotuachia waasisi wa Taifa hili, hivyo kwakuwa Katiba yetu inatutambua Wananchi kama wenye mamlaka ya juu zaidi katika nchi kuliko Serikali, Chama wala Rais, hivyo TUNAWATAKA mvunje hiyo Kambi HARAKA, LASIVYO kama Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vikishindwa kuwadhibiti msije mkatufikisha wananchi katika hatua ya kusababisha TUKAWAUMIZA HAO WADOGO ZETU. MSITULAZIMISHE VITA AMBAYO KIMSINGI ITAWAFUTA KATIKA RAMANI YA TANZANIA.
Suphian Juma
WanaSingida
6th July, 2019View attachment 1148804
Life is a lateral.
Muda unaongea zaidi kuliko mawazo yetu.
Tukumbuke yupo Mungu Mwenye enzi yote,awezaye kupindua meza kibabe
MENE MENE TEKELI NA PERESI
watu "wasiojulikana" nao ni halaliGreen guard halali, yellow guard, red guard, blue guard haramu.
Indicator 2020....CCM NA SERIKALI YENU MSITULAZIMISHE VITA SINGIDA.
Na Suphian Juma.
Nipo kwetu mkoani Singida kusalimia kwa takribani wiki sasa. CCM tunajua mna kambi mnayowapa mafunzo ya kijeshi vijana wenu wa GREEN GUARD mliowakusanya kutoka kata takribani zote za mkoa wa Singida. Tunajua kambi ilipo, idadi ya vijana wanaowafundisha, posho mnaowalipa, ukatili mnaowafundisha na tunajua LENGO la mkakati huu unaovunja Sheria za vyama vya Siasa na Katiba yetu
Ni kuwatumia vijana hawa kuunajisi Uchaguzi haramu mlioshupalia kuitishwa na Tume ya Uchaguzi Jimbo la Singida Mashariki (Jimbo halali la Mbunge Tundu Lissu) unaotarajia kufanyika tarehe 31 July 2019, na pia Kuuvuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Kuu ujao ili mshinde kiharamu.
Na mbaya na kusikitisha zaidi katika kuonesha madhara ya kuanzishwa kwa Kambi hii ya kishenzi inayooana na vikundi vya kigaidi duniani kama AlShabab, IS na kadhalika Leo 6, July 2019, bila kuogopa imevamia Mkutano halali wa ndani wa chama cha CHADEMA na kuwapiga viongozi na wanachama wa Kikao hicho na kuamua kujichukulia na kutokomea pasipojulikana na viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wa Chama Jimbo la Singida Mashariki huku Jeshi la Polisi hadi naandika taarifa hii fupi jioni hii halijafika eneo la tukio licha la kujulishwa mapema mchana kwa kigezo eti "HAWANA MAFUTA YA GARI".
WanaSingida na Watanzania tunasema huu sio Utanzania, Utu wala Ustaarabu waliotuachia waasisi wa Taifa hili, hivyo kwakuwa Katiba yetu inatutambua Wananchi kama wenye mamlaka ya juu zaidi katika nchi kuliko Serikali, Chama wala Rais, hivyo TUNAWATAKA mvunje hiyo Kambi HARAKA, LASIVYO kama Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vikishindwa kuwadhibiti msije mkatufikisha wananchi katika hatua ya kusababisha TUKAWAUMIZA HAO WADOGO ZETU. MSITULAZIMISHE VITA AMBAYO KIMSINGI ITAWAFUTA KATIKA RAMANI YA TANZANIA.
Suphian Juma
WanaSingida
6th July, 2019View attachment 1148804
Chama tawala maanake nini kama hakionyeshi uadilifu ?!.Ccm ni Chama Tawala
Uweni ndugu zao mnawajua vema kamata uaCCM NA SERIKALI YENU MSITULAZIMISHE VITA SINGIDA.
Na Suphian Juma.
Nipo kwetu mkoani Singida kusalimia kwa takribani wiki sasa. CCM tunajua mna kambi mnayowapa mafunzo ya kijeshi vijana wenu wa GREEN GUARD mliowakusanya kutoka kata takribani zote za mkoa wa Singida. Tunajua kambi ilipo, idadi ya vijana wanaowafundisha, posho mnaowalipa, ukatili mnaowafundisha na tunajua LENGO la mkakati huu unaovunja Sheria za vyama vya Siasa na Katiba yetu
Ni kuwatumia vijana hawa kuunajisi Uchaguzi haramu mlioshupalia kuitishwa na Tume ya Uchaguzi Jimbo la Singida Mashariki (Jimbo halali la Mbunge Tundu Lissu) unaotarajia kufanyika tarehe 31 July 2019, na pia Kuuvuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Kuu ujao ili mshinde kiharamu.
Na mbaya na kusikitisha zaidi katika kuonesha madhara ya kuanzishwa kwa Kambi hii ya kishenzi inayooana na vikundi vya kigaidi duniani kama AlShabab, IS na kadhalika Leo 6, July 2019, bila kuogopa imevamia Mkutano halali wa ndani wa chama cha CHADEMA na kuwapiga viongozi na wanachama wa Kikao hicho na kuamua kujichukulia na kutokomea pasipojulikana na viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wa Chama Jimbo la Singida Mashariki huku Jeshi la Polisi hadi naandika taarifa hii fupi jioni hii halijafika eneo la tukio licha la kujulishwa mapema mchana kwa kigezo eti "HAWANA MAFUTA YA GARI".
WanaSingida na Watanzania tunasema huu sio Utanzania, Utu wala Ustaarabu waliotuachia waasisi wa Taifa hili, hivyo kwakuwa Katiba yetu inatutambua Wananchi kama wenye mamlaka ya juu zaidi katika nchi kuliko Serikali, Chama wala Rais, hivyo TUNAWATAKA mvunje hiyo Kambi HARAKA, LASIVYO kama Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vikishindwa kuwadhibiti msije mkatufikisha wananchi katika hatua ya kusababisha TUKAWAUMIZA HAO WADOGO ZETU. MSITULAZIMISHE VITA AMBAYO KIMSINGI ITAWAFUTA KATIKA RAMANI YA TANZANIA.
Suphian Juma
WanaSingida
6th July, 2019View attachment 1148804
Ni kikundi cha wahuniCcm ni Chama Tawala
Ccm ni Chama Tawala
CCM NA SERIKALI YENU MSITULAZIMISHE VITA SINGIDA.
Na Suphian Juma.
Nipo kwetu mkoani Singida kusalimia kwa takribani wiki sasa. CCM tunajua mna kambi mnayowapa mafunzo ya kijeshi vijana wenu wa GREEN GUARD mliowakusanya kutoka kata takribani zote za mkoa wa Singida. Tunajua kambi ilipo, idadi ya vijana wanaowafundisha, posho mnaowalipa, ukatili mnaowafundisha na tunajua LENGO la mkakati huu unaovunja Sheria za vyama vya Siasa na Katiba yetu
Ni kuwatumia vijana hawa kuunajisi Uchaguzi haramu mlioshupalia kuitishwa na Tume ya Uchaguzi Jimbo la Singida Mashariki (Jimbo halali la Mbunge Tundu Lissu) unaotarajia kufanyika tarehe 31 July 2019, na pia Kuuvuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Kuu ujao ili mshinde kiharamu.
Na mbaya na kusikitisha zaidi katika kuonesha madhara ya kuanzishwa kwa Kambi hii ya kishenzi inayooana na vikundi vya kigaidi duniani kama AlShabab, IS na kadhalika Leo 6, July 2019, bila kuogopa imevamia Mkutano halali wa ndani wa chama cha CHADEMA na kuwapiga viongozi na wanachama wa Kikao hicho na kuamua kujichukulia na kutokomea pasipojulikana na viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wa Chama Jimbo la Singida Mashariki huku Jeshi la Polisi hadi naandika taarifa hii fupi jioni hii halijafika eneo la tukio licha la kujulishwa mapema mchana kwa kigezo eti "HAWANA MAFUTA YA GARI".
WanaSingida na Watanzania tunasema huu sio Utanzania, Utu wala Ustaarabu waliotuachia waasisi wa Taifa hili, hivyo kwakuwa Katiba yetu inatutambua Wananchi kama wenye mamlaka ya juu zaidi katika nchi kuliko Serikali, Chama wala Rais, hivyo TUNAWATAKA mvunje hiyo Kambi HARAKA, LASIVYO kama Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vikishindwa kuwadhibiti msije mkatufikisha wananchi katika hatua ya kusababisha TUKAWAUMIZA HAO WADOGO ZETU. MSITULAZIMISHE VITA AMBAYO KIMSINGI ITAWAFUTA KATIKA RAMANI YA TANZANIA.
Suphian Juma
WanaSingida
6th July, 2019View attachment 1148804
Rabid dog!TUNAWATAKA mvunje hiyo Kambi HARAKA, LASIVYO kama Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vikishindwa kuwadhibiti msije mkatufikisha wananchi katika hatua ya kusababisha TUKAWAUMIZA HAO WADOGO ZETU. MSITULAZIMISHE VITA AMBAYO KIMSINGI ITAWAFUTA KATIKA RAMANI YA TANZANIA.
CCM NA SERIKALI YENU MSITULAZIMISHE VITA SINGIDA.
Na Suphian Juma.
Nipo kwetu mkoani Singida kusalimia kwa takribani wiki sasa. CCM tunajua mna kambi mnayowapa mafunzo ya kijeshi vijana wenu wa GREEN GUARD mliowakusanya kutoka kata takribani zote za mkoa wa Singida. Tunajua kambi ilipo, idadi ya vijana wanaowafundisha, posho mnaowalipa, ukatili mnaowafundisha na tunajua LENGO la mkakati huu unaovunja Sheria za vyama vya Siasa na Katiba yetu
Ni kuwatumia vijana hawa kuunajisi Uchaguzi haramu mlioshupalia kuitishwa na Tume ya Uchaguzi Jimbo la Singida Mashariki (Jimbo halali la Mbunge Tundu Lissu) unaotarajia kufanyika tarehe 31 July 2019, na pia Kuuvuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Kuu ujao ili mshinde kiharamu.
Na mbaya na kusikitisha zaidi katika kuonesha madhara ya kuanzishwa kwa Kambi hii ya kishenzi inayooana na vikundi vya kigaidi duniani kama AlShabab, IS na kadhalika Leo 6, July 2019, bila kuogopa imevamia Mkutano halali wa ndani wa chama cha CHADEMA na kuwapiga viongozi na wanachama wa Kikao hicho na kuamua kujichukulia na kutokomea pasipojulikana na viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wa Chama Jimbo la Singida Mashariki huku Jeshi la Polisi hadi naandika taarifa hii fupi jioni hii halijafika eneo la tukio licha la kujulishwa mapema mchana kwa kigezo eti "HAWANA MAFUTA YA GARI".
WanaSingida na Watanzania tunasema huu sio Utanzania, Utu wala Ustaarabu waliotuachia waasisi wa Taifa hili, hivyo kwakuwa Katiba yetu inatutambua Wananchi kama wenye mamlaka ya juu zaidi katika nchi kuliko Serikali, Chama wala Rais, hivyo TUNAWATAKA mvunje hiyo Kambi HARAKA, LASIVYO kama Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vikishindwa kuwadhibiti msije mkatufikisha wananchi katika hatua ya kusababisha TUKAWAUMIZA HAO WADOGO ZETU. MSITULAZIMISHE VITA AMBAYO KIMSINGI ITAWAFUTA KATIKA RAMANI YA TANZANIA.
Suphian Juma
WanaSingida
6th July, 2019View attachment 1148804