Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,903
- 945
Akiwashukuru viongozi waliohudhuria katika tukio la usiku wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM KALIUA) na akitoa pongezi nyingi kwa DC wa Kaliua Dtk. Rashid Chuachua na Mwenyekiti UVCCM Kaliua Ndg Abubakar Kallah.
"Toka nimekuwa Mbunge hii sasa ni miaka mitatu na kwa hii miaka mitatu hili kwangu tukio la kwanza kwangu la vijana na tena limefanyika usiku na vijana mmekuja mmependeza" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Mhe. Mkuu wa Wilaya uliponishilikisha katika hili nami nilikuwa tayari kulifanya nakushukuru sana kwa utayari wako tangu umefika Kaliua, Kaliua sio ile tuliyoizoea" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Pia, namshukuru Mhe. Rais Mama Samia kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo ya miradi aliyotuletea Kaliua yananifanya niweze kulala na kusubiri uchaguzi wa 2025" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Rais anatupenda sana wanakaliua ametupatia shule ya wasichana "TABORA GIRLS GRAND SCHOOL iliyopo Wachawaseme yenye kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita ikiwa na majengo 30" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Mliyoyaomba yote mimi nayapokea, tarehe 20 mwezi wa kwanza nitawapatia Tsh milioni 2 nilizowahaidi, hilo swala lenu la sare 20 (Kombat ) za Green Guard nalichukua mimi kama mlivyoomba" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Vijana mna nguvu kubwa sana katika mitandao tunawaomba vijana wetu msiruhusu viongozi wenu watukanwe katika mitandao, ukiona mtu anamtukana Rais Dtk. Samia Suluhu Hassan kataa, Rais anatutendea yaliyo mazuri yanaonekana, Nyie ndio jeshi la Mama Samia na nyie ndio jeshi la Chuachua" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
Pia, Mbunge Aloyce Kwezi amefurahishwa na Teamwork ya Viongozi wa Kaliua chini ya Dkt. Rashid Chuachua na kuwasihi wanakaliua kuendelea kuwa na umoja na mshikamano huu.
"Toka nimekuwa Mbunge hii sasa ni miaka mitatu na kwa hii miaka mitatu hili kwangu tukio la kwanza kwangu la vijana na tena limefanyika usiku na vijana mmekuja mmependeza" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Mhe. Mkuu wa Wilaya uliponishilikisha katika hili nami nilikuwa tayari kulifanya nakushukuru sana kwa utayari wako tangu umefika Kaliua, Kaliua sio ile tuliyoizoea" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Pia, namshukuru Mhe. Rais Mama Samia kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo ya miradi aliyotuletea Kaliua yananifanya niweze kulala na kusubiri uchaguzi wa 2025" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Rais anatupenda sana wanakaliua ametupatia shule ya wasichana "TABORA GIRLS GRAND SCHOOL iliyopo Wachawaseme yenye kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita ikiwa na majengo 30" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Mliyoyaomba yote mimi nayapokea, tarehe 20 mwezi wa kwanza nitawapatia Tsh milioni 2 nilizowahaidi, hilo swala lenu la sare 20 (Kombat ) za Green Guard nalichukua mimi kama mlivyoomba" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
"Vijana mna nguvu kubwa sana katika mitandao tunawaomba vijana wetu msiruhusu viongozi wenu watukanwe katika mitandao, ukiona mtu anamtukana Rais Dtk. Samia Suluhu Hassan kataa, Rais anatutendea yaliyo mazuri yanaonekana, Nyie ndio jeshi la Mama Samia na nyie ndio jeshi la Chuachua" - Mhe. Aloyce Kwezi, Mbunge wa Jimbo la Kaliua
Pia, Mbunge Aloyce Kwezi amefurahishwa na Teamwork ya Viongozi wa Kaliua chini ya Dkt. Rashid Chuachua na kuwasihi wanakaliua kuendelea kuwa na umoja na mshikamano huu.