Kimbito nyama
Senior Member
- Apr 10, 2012
- 157
- 38
Wangefikaje mkutanoni bila usafiri ? ulitaka waje na ungo au ?. Hapa tukionacho ni HUSDA na uwezo wa vyama vingine ikiwamo CDM kuwahudumia wanachama wake, na kuna sehemu zingine matawi na mashina wali arrange usafiri wao na kutoa pesa zao, je kufanya hivyo ni vibaya?. Acheni HUSDA ndugu zangu , jitahidini na nyie mtafikia uwezo kama walio nao CCM
Hoja ya kwanza ni ilikuwa ni kuwasubiria mliuowabeba kuwapeleka mkutanoni ili kuwarudisha majumbani mwao, na pili ni kuweka mwenyekiti wa usafiri-Hata Nape angeweza fanya hilo jukumu. Gamba ni gamba tu, hata mdogoo!