zaleo
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,902
- 764
Bora maisha kwa kila Mtanzania. Tunakula ili tuishi. Wenye nchi wanaishi ili wale.
Bora maisha kwa kila Mtanzania. Tunakula ili tuishi. Wenye nchi wanaishi ili wale.
Hizi ndizo tunazo sema ni husda za kisiasa, Chama kama kina uwezo si vibaya kuwawezesha wanachama wake. Mbona ww ukienda kikaoni unalipwa posho ? hapa baya ni lipi ? na je sheria ipi imekiukwa?. Sasa utofautiano wa uwezo wa vyama usizuie mwenye nacho kukitumia kwa wanachama wake. Kwa cdm kwa sasa uwezo huo hawana kwani hata miradi ya maana hawana , tofauti na ccm ambayo in a miradi lukuki, wana ruzuku yakutosha na wanachama wao wengi wanajitolea. Sasa nikuulize ww kwa hali km hiyo unategemea cdm washindane kweli na ccm?
Acha ukilaza we gamba mkubwa CHADEMA imeshaishinda CCM mara nyingi sana nijuzi imewashinda CCM Arumeru, kirumba, kiwila, pamoja na Lizaboni we uko dunia gani?.Hizi ndizo tunazo sema ni husda za kisiasa, Chama kama kina uwezo si vibaya kuwawezesha wanachama wake. Mbona ww ukienda kikaoni unalipwa posho ? hapa baya ni lipi ? na je sheria ipi imekiukwa?. Sasa utofautiano wa uwezo wa vyama usizuie mwenye nacho kukitumia kwa wanachama wake. Kwa cdm kwa sasa uwezo huo hawana kwani hata miradi ya maana hawana , tofauti na ccm ambayo in a miradi lukuki, wana ruzuku yakutosha na wanachama wao wengi wanajitolea. Sasa nikuulize ww kwa hali km hiyo unategemea cdm washindane kweli na ccm?
Siku ya jumamosi tarehe 09.06.2012 CCM (M) Dar es salaam ulifanya mkutano wake wa kihistoria ulio hudhuriwa na maelfu lukuki ya watu. Ila katika siku hiyo sikupendezewa na mambo yafuatayo ambayo naweza kusema siku nyingine wasirudie kufanya mkutano kama huo tena.
Kwa hayo machache nahitimisha kwa kusema , siku nyingine CCM msifanye hayo, wenzenu wali beep , nyie mmepiga kabisa, CCM hamtaniwi? Wenzenu walikuwa wanafanya utani tu.
- Ni ukweli usiopingika CC Mina jeshi kubwa na lenye vipaji , kwani mkutanoni waliletwa wanajeshi wachache tu i.e Wassira, Mwakyembe, Maghembe, Tibaijuka na Magufuli. Lakini cheche zake zilisambaa Tanzania nzima. Hii inadhihirisha kuwa wakitawanya jeshi lote, hata sisimizi hawezi kupona.
- Kupendeza kwa uwanja, kwani siku hiyo Dar es salaam nzima ilikuwa kijani na njano. Na hapa ni kuwa uwezo wa vyama vingine kuwahudumia wanachama wao kwa kuwapa promotion material km T-shirt ni mdogo sana na hawawezi, ila wao wameweza. Kwani tumeshuhudia mashirika ya serikali na watu binafsi wakiwatengenezea wateja wao T- shirt kama njia yakujitangaza , CCM wamefanya hivyo , HUSDA ya CDM imejionyesha.
Sheria kawasomeshe hawa hapa chini.
Na vile vile mkumbuke kuwa mnatakiwa kutimiza ahadi zenu siyo porojo za majukwaani maana nyie siyo wapinzani.
- Kutupatia Sh elfu tano tano wakati mwanzoni mlisema elfu kumi pamoja na wali nyama.
- Kutorosha nyara za taifa na kuzileta jangwani.
hahahahaa,,,,huyu anaigiza au?????
Mwamwongu village - Tanzania ni hii ya CCM yenye uwezo. Bullshit!!
This is what CCM is proud of...............manyang'au kabisa!!
kulikua na nyara za serikali pale???aaah mdau mi sikuangalia kaka,,,walileta wanayama kwa ajili ya maonyesho????NADHAN KAGASHEKI ALIWARUHUSU LABDA,au u mean wa-angry ndo nyara za serikali???
Mkuu Mestod,
Hizo Picha zinasikitisha sana...na sampuli ya watanzania hao wapo sana mikoa ya kati na kusini.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Inaumiza sana halafu bado wapuuzi wanalevya na vi elfu tano na kusahau mamia ya watu wasiojua dakika moja baadaye itakuwaje!
Ujinga na umasikini ndiyo mtaji wa CCM kuwepo madarakani, sehemu kama hizi ndiyo CCM inajizolea ushindi mnono, wakigawa kanga na pilau wamemaliza kazi. ILAANIWE CCM NA VIONGOZI WAKE WOOOOOOOOOOOOOOOTE MILELE NA MILELE, WOTE TUSEME AMINAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!.