CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki!

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Siku ya jumamosi tarehe 09.06.2012 CCM (M) Dar es salaam ulifanya mkutano wake wa kihistoria ulio hudhuriwa na maelfu lukuki ya watu. Ila katika siku hiyo sikupendezewa na mambo yafuatayo ambayo naweza kusema siku nyingine wasirudie kufanya mkutano kama huo tena.
  • Kuweka coverage yakutosha kwa vituo viwili vikubwa vya ITV na TBC kuonyesha LIVE bila chenga, ambapo kila mtu aliona
  • Ofisi ya CDM makao makuu siku hiyo ilifungwa kuanzia asubuhi tofauti na kawaida yao ambapo hufunguliwa nakufanya kazi. Wadadisi wa mambo walipo fuatilizia, mlinzi aliyekuwepo alidokeza kwa kusema ‘ hujui wenye Dar es salaam leo wanafanya mkutano wao’.
  • Mpangilio mzuri wa mkutano, yaani : uhamasishaji, uhudhuriaji wa umati wa watu tofauti na mkutano uliopita wa cdm wa kijiumati, mpangilio mzuri wa mkutano , kujibu kwa ufasaha wale wazungumzaji wote kwenye mambo ya msingi na kumaliza mkutano kwa amani na utulivu.
  • Ni ukweli usiopingika CC Mina jeshi kubwa na lenye vipaji , kwani mkutanoni waliletwa wanajeshi wachache tu i.e Wassira, Mwakyembe, Maghembe, Tibaijuka na Magufuli. Lakini cheche zake zilisambaa Tanzania nzima. Hii inadhihirisha kuwa wakitawanya jeshi lote, hata sisimizi hawezi kupona.
  • Kupendeza kwa uwanja, kwani siku hiyo Dar es salaam nzima ilikuwa kijani na njano. Na hapa ni kuwa uwezo wa vyama vingine kuwahudumia wanachama wao kwa kuwapa promotion material km T-shirt ni mdogo sana na hawawezi, ila wao wameweza. Kwani tumeshuhudia mashirika ya serikali na watu binafsi wakiwatengenezea wateja wao T- shirt kama njia yakujitangaza , CCM wamefanya hivyo , HUSDA ya CDM imejionyesha.
  • Mitandao yote ikiwamo JF ilikuwa ni CCM tu inazungumziwa. Japokuwa baadhi ya thread za CCM ziliondolewa kwa sababu zisizo za msingi na MODS. Hii inaleta mushkiri kwenye mustakabali wa JF, kwa za CDM kitu km hicho ni nadra sana kutokea. Tujirekebishe , heshima yetu mbele ya jamii inazidi kuyeyuka km theluji ya mlima Kilimanjaro kwa mambo kama haya.
Kwa hayo machache nahitimisha kwa kusema , siku nyingine CCM msifanye hayo, wenzenu wali beep , nyie mmepiga kabisa, CCM hamtaniwi? Wenzenu walikuwa wanafanya utani tu.
 
Siku ya jumamosi tarehe 09.06.2012 CCM (M) Dar es salaam ulifanya mkutano wake wa kihistoria ulio hudhuriwa na maelfu lukuki ya watu. Ila katika siku hiyo sikupendezewa na mambo yafuatayo ambayo naweza kusema siku nyingine wasirudie kufanya mkutano kama huo tena.
  • Kuweka coverage yakutosha kwa vituo viwili vikubwa vya ITV na TBC kuonyesha LIVE bila chenga, ambapo kila mtu aliona
  • Ofisi ya CDM makao makuu siku hiyo ilifungwa kuanzia asubuhi tofauti na kawaida yao ambapo hufunguliwa nakufanya kazi. Wadadisi wa mambo walipo fuatilizia, mlinzi aliyekuwepo alidokeza kwa kusema ' hujui wenye Dar es salaam leo wanafanya mkutano wao'.
  • Mpangilio mzuri wa mkutano, yaani : uhamasishaji, uhudhuriaji wa umati wa watu tofauti na mkutano uliopita wa cdm wa kijiumati, mpangilio mzuri wa mkutano , kujibu kwa ufasaha wale wazungumzaji wote kwenye mambo ya msingi na kumaliza mkutano kwa amani na utulivu.
  • Ni ukweli usiopingika CC Mina jeshi kubwa na lenye vipaji , kwani mkutanoni waliletwa wanajeshi wachache tu i.e Wassira, Mwakyembe, Maghembe, Tibaijuka na Magufuli. Lakini cheche zake zilisambaa Tanzania nzima. Hii inadhihirisha kuwa wakitawanya jeshi lote, hata sisimizi hawezi kupona.
  • Kupendeza kwa uwanja, kwani siku hiyo Dar es salaam nzima ilikuwa kijani na njano. Na hapa ni kuwa uwezo wa vyama vingine kuwahudumia wanachama wao kwa kuwapa promotion material km T-shirt ni mdogo sana na hawawezi, ila wao wameweza. Kwani tumeshuhudia mashirika ya serikali na watu binafsi wakiwatengenezea wateja wao T- shirt kama njia yakujitangaza , CCM wamefanya hivyo , HUSDA ya CDM imejionyesha.
  • Mitandao yote ikiwamo JF ilikuwa ni CCM tu inazungumziwa. Japokuwa baadhi ya thread za CCM ziliondolewa kwa sababu zisizo za msingi na MODS. Hii inaleta mushkiri kwenye mustakabali wa JF, kwa za CDM kitu km hicho ni nadra sana kutokea. Tujirekebishe , heshima yetu mbele ya jamii inazidi kuyeyuka km theluji ya mlima Kilimanjaro kwa mambo kama haya.
Kwa hayo machache nahitimisha kwa kusema , siku nyingine CCM msifanye hayo, wenzenu wali beep , nyie mmepiga kabisa, CCM hamtaniwi? Wenzenu walikuwa wanafanya utani tu.

Naomab kuongeza: Pia kuwabeba watu kwenye mabasi ni jambo zuri lakini ni ni vizuri kuwasubiria hadi mkutano ukaisha kwani nilipta taarifa kwamba kuna mabasi yalisomba watu asubuhi kuwapleka CHADEMA SQUARE, baada ya mkutanao wakawa hawayaoni. Wakati mwingine lazima kuwe na Mwenyekiti wa Usafiri.
 
Siku ya jumamosi tarehe 09.06.2012 CCM (M) Dar es salaam ulifanya mkutano wake wa kihistoria ulio hudhuriwa na maelfu lukuki ya watu. Ila katika siku hiyo sikupendezewa na mambo yafuatayo ambayo naweza kusema siku nyingine wasirudie kufanya mkutano kama huo tena.
  • Kuweka coverage yakutosha kwa vituo viwili vikubwa vya ITV na TBC kuonyesha LIVE bila chenga, ambapo kila mtu aliona
  • Ofisi ya CDM makao makuu siku hiyo ilifungwa kuanzia asubuhi tofauti na kawaida yao ambapo hufunguliwa nakufanya kazi. Wadadisi wa mambo walipo fuatilizia, mlinzi aliyekuwepo alidokeza kwa kusema ' hujui wenye Dar es salaam leo wanafanya mkutano wao'.
  • Mpangilio mzuri wa mkutano, yaani : uhamasishaji, uhudhuriaji wa umati wa watu tofauti na mkutano uliopita wa cdm wa kijiumati, mpangilio mzuri wa mkutano , kujibu kwa ufasaha wale wazungumzaji wote kwenye mambo ya msingi na kumaliza mkutano kwa amani na utulivu.
  • Ni ukweli usiopingika CC Mina jeshi kubwa na lenye vipaji , kwani mkutanoni waliletwa wanajeshi wachache tu i.e Wassira, Mwakyembe, Maghembe, Tibaijuka na Magufuli. Lakini cheche zake zilisambaa Tanzania nzima. Hii inadhihirisha kuwa wakitawanya jeshi lote, hata sisimizi hawezi kupona.
  • Kupendeza kwa uwanja, kwani siku hiyo Dar es salaam nzima ilikuwa kijani na njano. Na hapa ni kuwa uwezo wa vyama vingine kuwahudumia wanachama wao kwa kuwapa promotion material km T-shirt ni mdogo sana na hawawezi, ila wao wameweza. Kwani tumeshuhudia mashirika ya serikali na watu binafsi wakiwatengenezea wateja wao T- shirt kama njia yakujitangaza , CCM wamefanya hivyo , HUSDA ya CDM imejionyesha.
  • Mitandao yote ikiwamo JF ilikuwa ni CCM tu inazungumziwa. Japokuwa baadhi ya thread za CCM ziliondolewa kwa sababu zisizo za msingi na MODS. Hii inaleta mushkiri kwenye mustakabali wa JF, kwa za CDM kitu km hicho ni nadra sana kutokea. Tujirekebishe , heshima yetu mbele ya jamii inazidi kuyeyuka km theluji ya mlima Kilimanjaro kwa mambo kama haya.
Kwa hayo machache nahitimisha kwa kusema , siku nyingine CCM msifanye hayo, wenzenu wali beep , nyie mmepiga kabisa, CCM hamtaniwi? Wenzenu walikuwa wanafanya utani tu.

  • Kutupatia Sh elfu tano tano wakati mwanzoni mlisema elfu kumi pamoja na wali nyama.
  • Kutorosha nyara za taifa na kuzileta jangwani.
 
Jingine alilosahau mtoa mada kuhusu huo mkutano ni kwa wasemaji wao kukacha kuzungumzia kero moja kubwa inayowamaliza CCm mpaka kufikia hali dhaifu waliyonayo:ufisadi uliokithiri katika safu zao na ahadi ya kuitokomeza kiukweli, na siyo kiujanja ujanja.

Siku nyingine wamwite Hosea katika mkutano wao.
 
Naomab kuongeza: Pia kuwabeba watu kwenye mabasi ni jambo zuri lakini ni ni vizuri kuwasubiria hadi mkutano ukaisha kwani nilipta taarifa kwamba kuna mabasi yalisomba watu asubuhi kuwapleka CHADEMA SQUARE, baada ya mkutanao wakawa hawayaoni. Wakati mwingine lazima kuwe na Mwenyekiti wa Usafiri.

Wangefikaje mkutanoni bila usafiri ? ulitaka waje na ungo au ?. Hapa tukionacho ni HUSDA na uwezo wa vyama vingine ikiwamo CDM kuwahudumia wanachama wake, na kuna sehemu zingine matawi na mashina wali arrange usafiri wao na kutoa pesa zao, je kufanya hivyo ni vibaya?. Acheni HUSDA ndugu zangu , jitahidini na nyie mtafikia uwezo kama walio nao CCM
 
Te te te te te te! kweli mazuzu ni wengi, nilidhani umeandika jambo la maana kumbe *****!
 
Jingine alilosahau mtoa mada kuhusu huo mkutano ni kwa wasemaji wao kukacha kuzungumzia kero moja kubwa inayowamaliza CCm mpaka kufikia hali dhaifu waliyonayo:ufisadi uliokithiri katika safu zao na ahadi ya kuitokomeza kiukweli, na siyo kiujanja ujanja.

Siku nyingine wamwite Hosea katika mkutano wao.[/QUOTE

Umeonyesha uwezo mdogo sana wakufuatilizia mambo, mkutano ule siku ile Agenda zake zilitangazwa na kwenye vyombo vya habari pia, hilo ulisemalo lilikuwepo?. Litazungumzwa tu kwani mikutano hii ni ya nchi nzima na ndio imeanza, kila kitu kitajibiwa. Tofauti na mikutano ya cdm ambayo ajenda zake huwa hata hazifahamiki kabla, hiyo ina maana kuwa HAIKO WELL ORGANIZED.
 
  • Kutupatia Sh elfu tano tano wakati mwanzoni mlisema elfu kumi pamoja na wali nyama.
  • Kutorosha nyara za taifa na kuzileta jangwani.

Hizi ndizo tunazo sema ni husda za kisiasa, Chama kama kina uwezo si vibaya kuwawezesha wanachama wake. Mbona ww ukienda kikaoni unalipwa posho ? hapa baya ni lipi ? na je sheria ipi imekiukwa?. Sasa utofautiano wa uwezo wa vyama usizuie mwenye nacho kukitumia kwa wanachama wake. Kwa cdm kwa sasa uwezo huo hawana kwani hata miradi ya maana hawana , tofauti na ccm ambayo in a miradi lukuki, wana ruzuku yakutosha na wanachama wao wengi wanajitolea. Sasa nikuulize ww kwa hali km hiyo unategemea cdm washindane kweli na ccm?
 
Hizi ndizo tunazo sema ni husda za kisiasa, Chama kama kina uwezo si vibaya kuwawezesha wanachama wake. Mbona ww ukienda kikaoni unalipwa posho ? hapa baya ni lipi ? na je sheria ipi imekiukwa?. Sasa utofautiano wa uwezo wa vyama usizuie mwenye nacho kukitumia kwa wanachama wake. Kwa cdm kwa sasa uwezo huo hawana kwani hata miradi ya maana hawana , tofauti na ccm ambayo in a miradi lukuki, wana ruzuku yakutosha na wanachama wao wengi wanajitolea. Sasa nikuulize ww kwa hali km hiyo unategemea cdm washindane kweli na ccm?

Hii nayo ilikuwepo kwenye ilani?
 
Hivi siju hizi ulinzi wa Mirembe umelegea nini?Maana naona watu waliopaswa kuwa huko kama huyu mtoa mada wako mjini na wanatumia mitandao ya kijamii kama vile hawajatoroka walikopaswa kuwa!!
 
524244_375406335830513_189339031103912_956432_905966374_n.jpg
1._village_children_in_africa.jpg
Copy-2-of-Mr.-Simango-holding-baobab-shell-600x402.jpg

Haya ndiyo walikuwa wanatakiwa kuyazungumzia siyo story.....hali ni mbaya down to business siyo kuwapa watu 5000
 
Jingine alilosahau mtoa mada kuhusu huo mkutano ni kwa wasemaji wao kukacha kuzungumzia kero moja kubwa inayowamaliza CCm mpaka kufikia hali dhaifu waliyonayo:ufisadi uliokithiri katika safu zao na ahadi ya kuitokomeza kiukweli, na siyo kiujanja ujanja.

Siku nyingine wamwite Hosea katika mkutano wao.[/QUOTE

Umeonyesha uwezo mdogo sana wakufuatilizia mambo, mkutano ule siku ile Agenda zake zilitangazwa na kwenye vyombo vya habari pia, hilo ulisemalo lilikuwepo?. Litazungumzwa tu kwani mikutano hii ni ya nchi nzima na ndio imeanza, kila kitu kitajibiwa. Tofauti na mikutano ya cdm ambayo ajenda zake huwa hata hazifahamiki kabla, hiyo ina maana kuwa HAIKO WELL ORGANIZED.

Hilo analozungumza kafiribangi ndilo lingekuwa agenda ya kwanza kwani ni kweli ndilo linawamaliza nyinyiemu. Hamuwezi kulizungumzia kwa undani kwani hamtaki kuacha kulamba asali juu ya migongo ya watz masikini, mnachokifanya ni usanii tu.
 
Hivi siju hizi ulinzi wa Mirembe umelegea nini?Maana naona watu waliopaswa kuwa huko kama huyu mtoa mada wako mjini na wanatumia mitandao ya kijamii kama vile hawajatoroka walikopaswa kuwa!!

Nikuulize, hapo ndio umejibu nini sasa ? huu ni msiba kwa JF kuwa na watu kama wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom