granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 4,630
- 10,612
Siku hz nikipanda daladala akaja polisi au jwtz akakaa pembeni yangu nahama seat, kama hamna seat tupu nashika bomba.
Yaan 😢😢😢Police wa Tanzania kauli mbio yao kwa sasa ni piga ua chinja. Ile piga tu wameshaachana nayo
Dont hate the player, hate the gamePolisi SI mbaya, ila upolisi ndio mbaya
Tena mmalizie slowly ile anaumia huku una mpulizia yaani una mmalizia taratibu apate maumivu haswa.Acha wafe.
Sote tunakufa.
Ukikuta polisi au mwanasiasa wa chama tawala ana karibia kufa mmalizie akafie mbele huko.
Kwa damuz hzi kweli niwaonee huruma police..? Kmmmk zao hawa mashetani hata wapate balaa ndio kwanza nitachochea kama ni kuni waive vizureeeDamu ya mdude😭View attachment 3322808
Tatizo polisi wa nchi za africa wamegeuka kuwa mawakala wa watawalaPolis wamepata ajali wananchi wamegoma kuwasaidia kisa ni polisi kutumika na serikali kukandamiiza wananchi...UgandaView attachment 3322516
Nitajie jina kuna mmoja alikuwa police mji mdogo pale sijui ndio huyo?Kuna polisi mmoja alikuwa mkuda kweli ,roho mbaya si akaja kustaafu...
Sahv anapitia magumu +ugonjwa ni kama watu wamemtupa hadi polisi wenzake
Tena yuko kibaha huko,
Ukiwa mkuda mkuda sana wananchi wanakuambia tutaonana uraiani 😄
Ova
Unyama sanaAngalia walichomfanya Mdude.. Kama yuko hai sijuiView attachment 3322811