Kuna polisi mmoja alikuwa mkuda kweli ,roho mbaya si akaja kustaafu...Polis wamepata ajali wananchi wamegoma kuwasaidia kisa ni polisi kutumika na serikali kukandamiiza wananchi...UgandaView attachment 3322516
Hayajui, ila yanachojua ni kwamba yanaogopwa na wananchiHivi majamaa ni kwamba hayajui kama yanachukiwa na wananchi au yanajua lakini hayajali
Uyu dogo anataka kuaribu funga yangu ,nimejikua , yale mambo ya msingi nimeyaelekeza mbele ya Msalaba moja likataka niponyoka , aisee.Mshana Jr mbona tumeshafika tayari. Sikiliza hii
Pumbavu huna akili kwahiyo wasaidiwe waendelee kuua wananchi wasio na hatia shenzi sana weweUnajua muda mwingine hawa polisi ni watoto wanatoka ktk familia za kimasikini so wanajikuta wanatii kila wanachoambiwa .
Mfano hizi mission za kupiga raia na kuwabambikia kesi zipo catalysts na wanasiasa .
Mimi nimekaa pale Bukoba mjini Nyumba yetu na kota za police zimepeana mgongo so tulikuwa tunaingiliana .
Ila kipindi cha mkutano wa chadema hapa nazungumzia mwaka 2013 -2015 kipindi chadema ipo kwenye peak ya hali ya juu Sana nilikuwa nikiona wakiambiana maelezo wanayopewa kuwa wakifika wafanye nini na nini na walikuwa wakilazimishwa kubeba silaha nzito.
So police japokuwa wanaweza kuwa wana makosa Ila mifumo ya kisiasa Kama sisisemu inawaingilia just imagine mtoto wa kimasikini anaambiwa usipofanya hivi utakuwa fired au kupewa adhabu ya kulala rokapu.
Kuna jamaa yangu by that time kabla hajafariki kwaa ajali (RIP) alienda lindo akasahau kofia ile amefika Lindi msimamizi wake amefika akamwambia utalala ndani yaani lokapu so ilibidi akodi boda kufata kofia na ulikuwa mwisho wake alipata ajali .
So hii job kwa nchi zetu za Africa inachangamoto Kama hizo hata Kama wao watafanya ubaya Ila tukiwakuta wamepata ajali tuwasaidie
Polisi wa tz wakipata ajali tuna kuja kutia kibiriti. Shenzi kabisa zaoPolis wamepata ajali wananchi wamegoma kuwasaidia kisa ni polisi kutumika na serikali kukandamiiza wananchi...UgandaView attachment 3322516
Inasikitisha sana mkuuHaya majitu hayasikii, kusikia kwa kenge mpk atoke damu..!!
Bado hujaenda kuzikwa pamoja na mpendwa wako? 😏Inasikitisha sana mkuu
Basi hawana akili kama wanadhani wananchi wanawaogopa wao na siyo zile silaha wanazobebaHayajui, ila yanachojua ni kwamba yanaogopwa na wananchi
Ndo nakata tiketi hapa 😎Bado hujaenda kuzikwa pamoja na mpendwa wako? 😏