CCM msije mkatufikisha huku tafadhali

CCM msije mkatufikisha huku tafadhali

Tupo karibu sana.
Mungu atusaidie sana.
Nasikitika kusema, pamoja na ubinaadam , na uTanzania wangu wote naomba sana nisiwe na bahati ya kuwa mtu wa kukuta hali ya aina hiyo ikimkabili mTanzania mwenzangu ambaye ni polisi kama Afande Jumanne Muliro. Mungu usiniweke kwenye majaribu ya namna hiyo.
 
 
 
Tayari tumeshafika huku!
CCM wanatakiwa kujitathmini sana kwani huku walikoifikisha nchi yetu ni pabaya!
 
Back
Top Bottom