CCM mayday mayday

CCM mayday mayday

Ni dhambi sana, kwanini wanawabeba kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani? Wawakodishie mabasi yanayoenda mikoani tu. Ila kujitambua ni kuzuri sana, hawa wangejitambua wasingekubali huu ujinga. Wamepauka, wanapewa khanga, t-shirt imeongezeka baiskeli tayari wameuza haki yao ya miaka 5.
 
Mayday ni neno la redio linalotambulika kimataifa kuashiria dhiki. Inatumiwa zaidi na ndege na boti, .. Maana nyingine ni kuomba msaada kwenye kiashiria kikubwa cha ajali

Kuna chama kiko kwenye dhiki na hamaniko kubwa! Hakijiamini na kila kinachojaribu kufanya kinajiona kabisa hakitafanikiwa na kinaelekea mwisho wa enzi

Hakuna siku inapita bila kuja na kituko kipya
Wanambuzi wa mambo wametathmini hali ilivyo na kuja na jibu moja kwamba kwasasa kwa matendo na hulka zake hiki chama hakina tofauti na rubani aombaye msaada wa mayday..maydayView attachment 3375253View attachment 3375254
Chanjo ya mifugo na utambuzi, kudadeki😂😂

Maskini hawa wanaosombwa hivi hawajui kuwa wakifa wanaitwa mbuzi😀
 
Ni dhambi sana, kwanini wanawabeba kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani? Wawakodishie mabasi yanayoenda mikoani tu. Ila kujitambua ni kuzuri sana, hawa wangejitambua wasingekubali huu ujinga. Wamepauka, wanapewa khanga, t-shirt imeongezeka baiskeli tayari wameuza haki yao ya miaka 5.
Jana walipokufa Machawa wakawakana wakasema walitoka kwenye chanjo ya mifugo na utambuzi, imagine mtu kafa na sare ya kijani wanamkana😂
 
Jana walipokufa Machawa wakawakana wakasema walitoka kwenye chanjo ya mifugo na utambuzi, imagine mtu kafa na sare ya kijani wanamkana😂
Inasikitisha sana, tena mtaji wao ni hawa wa vijijini ona wanavyobebwa kama mifugo. Hao mafisi unafikiri wana aibu? Mishipa ya aibu ilishakatika, wanawakataa vipi na wenzao majeruhi, wamesema walipokuwa wanapelekwa 😅😅😅 fisiem ni vichaa waliotoroka mirembe.
 
Inasikitisha sana, tena mtaji wao ni hawa wa vijijini ona wanavyobebwa kama mifugo. Hao mafisi unafikiri wana aibu? Mishipa ya aibu ilishakatika, wanawakataa vipi na wenzao majeruhi, wamesema walipokuwa wanapelekwa 😅😅😅 fisiem ni vichaa waliotoroka mirembe.
Raia hawajui kama wanaitwa mbuzi😂
 
Yote Kheri Tu......!!!
downloadfile.jpg
 
Fukushima mama mitano tena maana yake ni mitano tena ya kusombwa na Malory, mitano tena ya kifo ni kifo tu, mitano tena ya kuwa na rais aliyeamua kuwa chura kiziwi huku akiuza bandari zetu.
 
Mayday ni neno la redio linalotambulika kimataifa kuashiria dhiki. Inatumiwa zaidi na ndege na boti, .. Maana nyingine ni kuomba msaada kwenye kiashiria kikubwa cha ajali

Kuna chama kiko kwenye dhiki na hamaniko kubwa! Hakijiamini na kila kinachojaribu kufanya kinajiona kabisa hakitafanikiwa na kinaelekea mwisho wa enzi

Hakuna siku inapita bila kuja na kituko kipya
Wanambuzi wa mambo wametathmini hali ilivyo na kuja na jibu moja kwamba kwasasa kwa matendo na hulka zake hiki chama hakina tofauti na rubani aombaye msaada wa mayday..maydayView attachment 3375253View attachment 3375254
hauna picha zingine za zaman zaidi ya hizi
 
Kuna wakati fulani watu waliyoa ubwabwa kama shukrani ila waliita takrima. Mahakama ikasema ni Rushwa. Sasa sijui vitenge, pikipiki, na Sasa baiskeli tutaipa jina gani.
 
Shida siyo CCM shida ni wananchi!
Ujinga ni adui ambaye bado tumeshindwa kumtoa katika Taifa letu.
 
Inasikitisha sana, tena mtaji wao ni hawa wa vijijini ona wanavyobebwa kama mifugo. Hao mafisi unafikiri wana aibu? Mishipa ya aibu ilishakatika, wanawakataa vipi na wenzao majeruhi, wamesema walipokuwa wanapelekwa 😅😅😅 fisiem ni vichaa waliotoroka mirembe.
Natamani Na Naamini Mungu Akitujalia Afya Ya Mifupa,,,Damu Na Nyama Tuje Kuonana Hata Isipo Kuwa Hivyo...Una Utu Sana...Na Haki Bila Kuanza Na Utu Ni Upuuzi Na Ukiritimba Mtupu......✊✊###Utu Na Kazi Tunasonga Mbele###
 
Back
Top Bottom