CCM kwachafuka,mchawi anatafutwa

CCM kwachafuka,mchawi anatafutwa

Hawana jipya hao, ukitazama nyuzi zao walizoleta humu wanazotangaza ushindi utacheka, wanashangaza kwanini hawaoneshi waliposhindwa?

Hapo sasa.
Ulimtuma nani akutafutie matokeo ya CCM waliposhinda,

afterall nyie mlishatangaza toka wiki iliyopita vijiji mlivyopita bila kupingwa sasa unategemea ushindi upi tena.

Dada hivyo vijiji 2000 mlivyodhulumu vinawatosha hivi 10,000 vilivyobaki tutagawana.
 
Ulitegemea kura zitapatikane wapi kwa mbinu kama hizi zilizopitwa na wakati.

th

Nimecheka sana...
 
Kawaida ukizoea kula nyama za watu utataka kuendelea kula tu,safafri hii pamoja na zengwe bado mmepigwa duh.Hebu Imagine ingekuwa HURU na HAKI na fair ground.Wengi tungepoteza maisha maeneo ya kwetu huku karibu na Lumumba.
 
Leo hapa Lumumba hakukaliki.Hakusemeki jema. Hasira zimetanda. Nyaraka kalikali zinapita kutoka huku kwenda kule. Ofisi zetu hapa leo zinakuwa chungu.Kisa,UKAWA kushinda vijijini na kwenye ngome za CCM kama Monduli. Makada wanalaumiana,vikao visivyoisha.Lakini,ni vikao kwa kukalishwa na si kukaa.Kukalishwa na kusimangwa. Kukemewa. Kushambuliwa.

Inasemwa hapa kuwa lengo la CCM halijatimia.Iitakiwa CCM ishinde kwa asilimia 90. Hadi sasa,hali ni tete.Mikoa yetu tuliyokuwa tunaitegemea imetuangusha. Majimbo yetu yaliyokuwa imara,yamesambaratika. Wabunge wetu wanaojitutumua Bungeni kama majembe ya chama, hawajasaidia kupatikana asilimia 90. Mambo ni shaghalabaghala. Mchafukoge!

Kambi za Urais na Escrow zinatajwa kama sababu kuu. Ziara za Katibu Mkuu wa chama nazo zinapondwa kwa kukosa matunda ya maana. Hakuna pa kushika,hakuna wa kumtupia lawama za moja kwa moja. Lakini,wakuu wanamtafuta wa kumwangushia 'jumba bovu'.Mchawi wa matokeo haya.

Kwani ni dhambi wapinzani kushinda vijijini na kwenye ngome za CCM?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Una Wazimu!
 
Nimemsikia mwananchi mmoja CLOUDS FM akiojiwa kuhusu uchaguzi amesema ''sisi tusio na kitu tukiamua kuwachoka ccm kwa uonevu wao kwetu,tuna choka kweli na kuna kuwa hakuna muafaka'' haya maneno ni mazito kwa mwenye akili,sio wale wanafikilia kwa tumbo,tusichore mpaka wa uvumilivu kwa wananchi
 
Leo hapa Lumumba hakukaliki.Hakusemeki jema. Hasira zimetanda. Nyaraka kalikali zinapita kutoka huku kwenda kule. Ofisi zetu hapa leo zinakuwa chungu.Kisa,UKAWA kushinda vijijini na kwenye ngome za CCM kama Monduli. Makada wanalaumiana,vikao visivyoisha.Lakini,ni vikao kwa kukalishwa na si kukaa.Kukalishwa na kusimangwa. Kukemewa. Kushambuliwa.

Inasemwa hapa kuwa lengo la CCM halijatimia.Iitakiwa CCM ishinde kwa asilimia 90. Hadi sasa,hali ni tete.Mikoa yetu tuliyokuwa tunaitegemea imetuangusha. Majimbo yetu yaliyokuwa imara,yamesambaratika. Wabunge wetu wanaojitutumua Bungeni kama majembe ya chama, hawajasaidia kupatikana asilimia 90. Mambo ni shaghalabaghala. Mchafukoge!

Kambi za Urais na Escrow zinatajwa kama sababu kuu. Ziara za Katibu Mkuu wa chama nazo zinapondwa kwa kukosa matunda ya maana. Hakuna pa kushika,hakuna wa kumtupia lawama za moja kwa moja. Lakini,wakuu wanamtafuta wa kumwangushia 'jumba bovu'.Mchawi wa matokeo haya.

Kwani ni dhambi wapinzani kushinda vijijini na kwenye ngome za CCM?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Yuko wapi Absalom Kibanda; mwanahabari nguli; atupe tathmini ya performance ya UKAWA katika chaguzi za mitaa vis vis The Kinana effect aliyotuambia wakati Kinana anakabidhiwa mikoba ya ukatibu mkuu CCM kwamba ni mtu wa kuogopwa sana!!!????

Uko wapi Kibanda uje hapa kwenye jamvi utudadavulie haya matokeo!!??
 
leo hapa lumumba hakukaliki.hakusemeki jema. Hasira zimetanda. Nyaraka kalikali zinapita kutoka huku kwenda kule. Ofisi zetu hapa leo zinakuwa chungu.kisa,ukawa kushinda vijijini na kwenye ngome za ccm kama monduli. Makada wanalaumiana,vikao visivyoisha.lakini,ni vikao kwa kukalishwa na si kukaa.kukalishwa na kusimangwa. Kukemewa. Kushambuliwa.

Inasemwa hapa kuwa lengo la ccm halijatimia.iitakiwa ccm ishinde kwa asilimia 90. Hadi sasa,hali ni tete.mikoa yetu tuliyokuwa tunaitegemea imetuangusha. Majimbo yetu yaliyokuwa imara,yamesambaratika. Wabunge wetu wanaojitutumua bungeni kama majembe ya chama, hawajasaidia kupatikana asilimia 90. Mambo ni shaghalabaghala. Mchafukoge!

Kambi za urais na escrow zinatajwa kama sababu kuu. Ziara za katibu mkuu wa chama nazo zinapondwa kwa kukosa matunda ya maana. Hakuna pa kushika,hakuna wa kumtupia lawama za moja kwa moja. Lakini,wakuu wanamtafuta wa kumwangushia 'jumba bovu'.mchawi wa matokeo haya.

Kwani ni dhambi wapinzani kushinda vijijini na kwenye ngome za ccm?

Mzee tupatupa wa lumumba, dar es salaam

imekula kwa magamba mazima.
 
Hahaha MSALANI naona hali mbaya leo... Zile 7000 haziingii leo... Ndiyo siasa hiyo. Wananchi wameamka nchi inayeya hiyo...

Uzuri tuisha muandaa kisaikolojia kupokea kipigo kama paka jizi. Ni tabia ya binadamu tu kukomaa Tulikuwa tunawaambia picha za mikusanyiko ya mikutano ya CCM nyomi ilikuwa ni matokeo ya inducements za pesa, t-shirts na kanga. Yale malori yalikuwa yanakusanya watu ili kuongeza mbwembwe na siouhalisia. Wamevuna walichopanda
 
Una Wazimu!

Usihemuke bila sababu! after all Wazimu ni relative term (neno la ulinganisho) tu; yawezekana wewe mwenyewe umemzidi kiasi cha wazimu huyo unayemkashifu!!!? kuwa na akiba ya kauli! angalau usingeishia kukashifu tu bali ungetoa maoni yako na hilo unalolijua kuhusu hali hiyo ili kuvitendea haki personality na intelligence yako. bs
 
Unafiki tu...

Pole sana chooni OOPS!!! sory Msalani najua posho itapungua kutoka buku 7 mpaka buku 3,nadhani ni vema ukaludia kazi yako ya zamani ya kuuza kahawa,maana huko tuendako mambo yatakuwa magumu zaidi avata yangu imeweka bayana kila kitu, huu ni ushauri wangu kwako usijenge chuki.
 
Haya ndio maneno yaliyobaki mdomoni mwako, pole sana tena mshukuru mbinu mliotumia ya uandikishaji wa siri na mapingamizi ya hovyo


wapi bibi yako FaizaFoxy aje akusaidie

Sisi tunangoja matokeo ya nchi nzima halafu tuwaone mtaingilia wapi.

Wala wasi hatuna tunawasoma viwanda vya uongo mkiwa kazini baada ya malipo ya viroba.

Ni yae yale kama Kalenga kama Chalinze kama chopa tatu kata tatu, mlikuwa mkibwabwaja sana, matokeo rasmi yalipotoka, wote mkawa kimya. Na leo hakuna tofauti, wembe ni ule ule tu.
 
Salaam zako nimezipata, tupo hapa twangoja matokeo rasmi, burdaaan wa sharaba, wala hatuna wasi, tunawaona mnavyohaha kwa kudanganyana.

Viwanda vya uongo kazini.
Kamata na hiyo....
quote_icon.png
By Kimetah Singida Mashariki, matokeo ni kama ifuatavyo,

Jimbo lina vijiji 50, Uchaguzi umefanyika katika vijiji 43, kwa sababu vijiji 7 uchaguzi umesimamishwa kwa amri ya mahakama, baada ya Lissu kuigaragaza serikali na hila za kuwawekea pingamizi wagombea wote wa Chadema, Katika vijiji 43 ambapo uchaguzi umefanyika Chadema wameshinda vijiji 40, CCM 2, na CUF 1. Katika vijiji 2 walivyoshinda CCM kupata nafasi ya mwenyekiti, wajumbe wa serikali za mitaa wote wanatoka CHADEMA,
 
Sisi tunangoja matokeo ya nchi nzima halafu tuwaone mtaingilia wapi.

Wala wasi hatuna tunawasoma viwanda vya uongo mkiwa kazini baada ya malipo ya viroba.

Ni yae yale kama Kalenga kama Chalinze kama chopa tatu kata tatu, mlikuwa mkibwabwaja sana, matokeo rasmi yalipotoka, wote mkawa kimya. Na leo hakuna tofauti, wembe ni ule ule tu.

Huamini kuwa UKAWA wameongeza mitaa/vitongoji/vijiji tofauti na ilivyokuwa awali? Huamini chama chako kimepoteza mitaa/ vitongoji/vijiji vingi tofauti na uchaguzi uliopita? Ningependa kujua msimamo wako. Kama hizo hypotheses hapo juu ni sahihi nani anapaswa kuitwa mshindi kwa maana ya kupiga hatua.? Unipe majibu baada ya kupata hayo ya rasmi unayoyasubiri
 
Back
Top Bottom