Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Haya haya kumekucha Jimbo la Muhambwe Kigoma Kampeni rasmi kuzinduliwa za CCM kesho na Mlezi wa Mkoa Mh Kassim Majaliwa mambo ni moto.
Mji wa kibondo umependeza kwa rangi ya kijani kila mtaa.
Wana Tot kutoka makao makuu wameshafika wakiwa na Loli kubwaaaa kama treni.
Kiufupi kesho ccm wanazindua na kusherehekea ushindi tayari wazee wanasema nyota njema huonekana tangu asubuhi.
Nani kama mama Jimbo la Muhambwe Twende na Mama Dkt Florence Samizi George , OHOOOO huyu mama Mchaga anapiga Kiha kama hana akili nzuri.
Unachukua unaweka Dkt Florence Samizi George.
Kila idara imekaa mahala pale Karibuni sana Muhambwe Mh Muenezi taifa na Naibu katibu Mkuu ccm Taifa.
Vijana tupo tayari kwa Sherehe hiyo Kubwaaa ya uzinduzi ambayo haijawahi kutokea.
JIMBO LA MUHAMBWE
CCM - FLORENCE SAMIZI GEORGE
Mji wa kibondo umependeza kwa rangi ya kijani kila mtaa.
Wana Tot kutoka makao makuu wameshafika wakiwa na Loli kubwaaaa kama treni.
Kiufupi kesho ccm wanazindua na kusherehekea ushindi tayari wazee wanasema nyota njema huonekana tangu asubuhi.
Nani kama mama Jimbo la Muhambwe Twende na Mama Dkt Florence Samizi George , OHOOOO huyu mama Mchaga anapiga Kiha kama hana akili nzuri.
Unachukua unaweka Dkt Florence Samizi George.
Kila idara imekaa mahala pale Karibuni sana Muhambwe Mh Muenezi taifa na Naibu katibu Mkuu ccm Taifa.
Vijana tupo tayari kwa Sherehe hiyo Kubwaaa ya uzinduzi ambayo haijawahi kutokea.
JIMBO LA MUHAMBWE
CCM - FLORENCE SAMIZI GEORGE