probability
Member
- Jul 5, 2015
- 52
- 6
Mi simo
Petro E. Mselewa nashangaa eti na wewe ni mwanasheria! mwanasheria gani asiyejua kumpeleka mtu mahakamani lazima uwe na evidence zinazokidhi mahitaji kisheria na sio kisiasa.
Ni kesi ngapi serikali imepeleka mahakamani na ikashindwa kwa sababu zinazofanana na hizo? ama kweli sio kila mwanasheria anayeelewa sheria.
kwa kiwango kidogo walichonacho wanaccm huyu atawaburuza sana !Learned brother,
Amini nakwambia, hata nyoka mwenye makengeza ambaye wamekuwa wakimlinda na kumtetea, atakuja kuwatesa sana CCM.
yuko mmoja tu , anaitwa amina salum , je watampa ?Lakini inawezekana ccm wameamua kumtafuta mtu ambaye hana makundi ili awaunganishe wana ccm wote pamoja