CCM kushinda uchaguzi Mkuu kwa 98%

CCM kushinda uchaguzi Mkuu kwa 98%

1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.

Kweli kabisa mkuu tumejipanga na mama keshamfunga mpinzani wake why not?

 
1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
wacha nijichekee ...............

Alafu wale wanaohama CDM wanategemea kupata eti 5% ya kura wakati wenye tume yao wanasema watachinda kwa 98%
 
IMG-20250513-WA0296.jpg
 
Wewe na nani mnaenda piga kura?

Huku mtaani kuna slogan ya No reforms no election

Wewe uko pande zipi mkuu, kwani upo tayari kuona damu za watanzania wenzako zikimwagika kisa ccm?
Unajua maana ya asilimia?
Wakipiga kura watu 100 tu ambao tayari CCM inao, 98 wakampigia samia, 2 wakampigia Spunda Rungwe, hapo tayari CCM imeshinda kwa 98%.
Hata usipopiga kura, CCM wana watu wao wewe endelea na No reform no election yako.
 
Muonage aibu kuandika uchuro huu, huo sio ushindi halisi
 
Back
Top Bottom