Tena nasema yule aziza ni mstaarab sana nampa heko,yule magige angekutana na kichwa kilicho resi hata hilo shada asingewekaKiki ama amejichafulia? Yes marehemu amedhalilika kwakua amekua na tamaa. Na liwe funzo kwa wanaume wote muliobaki. Vipi kwa huyo hawara aliyebaki hai bado? Amejidhalilisha kiasi gani. Hivi unajua yule mke mstaarabu sana? Angekuja kwetu tumfurahishe japo kidogo. Mnatetea ujinga mukiacha watoto wanaumia.
Tumeona kabisa mtoto ndiye aliyemwambia mama yake pale kuhusu shada lile alaliondoe. Imagine kitoto kidogo vile. Ina maana wako aware na huyo kahaba aliyokya akiyafanyia familia yao na hasa mama yao. Mimi ningempa shoo kali. Ngoja nimiliki kwanza bastola. Halag tumia akili mkuu. Unanitia hasira
Pumbavu zake kabisa,eti kisa mbunge!napata picha ndo ningekua mimi mbona show angeifurahia huyo mbunge