JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
Kumekuwepo na wimbi kubwa la CCM kuchukua wapinzani kwa gia kuwa wamemuelewa Rais, kwa upande wangu hoja hii ni dhaifu sana, kwani ukimuelewa mke/mme wa mtu ndo unahamia kwake? Pia ukimuelewa leo haimaanishi basi ataendelea kueleweka siku zote, kwa mtu makini kama umemuelewa Rais basi unatakiwa ubaki kumfatilia kama kweli ataendelea kueleweka ili huko mbele asije akabadilika.
Kwa maoni yangu kitendo hiki cha CCM kukomba wapinzani inaonesha CCM imeishiwa, haina tena watu ndani ya chama chake wenye uwezo, hata nature tu inasema, upepo huvuma kutoka kwenye mgandamizo mkubwa kwenda mgandamizo mdogo.
Ni maoni yangu na si lazima yafanane na yako.
Kwa maoni yangu kitendo hiki cha CCM kukomba wapinzani inaonesha CCM imeishiwa, haina tena watu ndani ya chama chake wenye uwezo, hata nature tu inasema, upepo huvuma kutoka kwenye mgandamizo mkubwa kwenda mgandamizo mdogo.
Ni maoni yangu na si lazima yafanane na yako.