Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
BALOZI NDOBOH: KUNAHITAJIKA ZAIDI SUMU KUONDOLEWA KWENYE MFUMO WA
SERIKALI YA CCM KULIKO HATA GAMBA LA JOKA HILI LA KIFISADI NCHINI!!
Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwamba sasa Watanzania wengi zaidi, ndani na nje ya CCM, tumeanza kujitokeza na kuongea wazi bila woga kuhusu mustakabali wa nchi yetu bila kutazamana kitu usoni.
Kwa kusema kweli, kila kitu katika huu usanii wote wa watu wenye magamba kudiriki kuona magamba ya wenzao na kuwataka wayavue ndani ya siku 90 yoooote ni katika KUTEKELEZA AGENDA YA SIRI YA URAIS KUBAKIA PWANI na kuja kubatizwa jina la Mgombea wa CCM 'ni sharti atoke Zanzibar safari hii' wakati huyo mgombea dhaifu mwenyewe ni Mzanzibari kwa Kukodishwa (TX) kutoka Kisarawe, Mkoa wa Pwani tu.
Tatizo wengi hatutaki kuamini kitu mpaka kije kionekane juu ya meza wakati ambapo kamwe huwezi tena kubadilisha kitu. Kisingizio cha 'SELECTIVE CCM OPERATION VUA GAMBA BAKISHA SUMU' is a mere ploy and secret pact if not a deliberate technicality to sweep aside all otherwise powerful presidential contenders with CCM corridors to give way to 'The Mighty Prince' to set on the throne as has since been discussed under camera in a number of nightly factional meetings in the country.
And with a single strike of that strategic technicality alone; Lowassa out, Samuel Sitta toka, Magufuli pisha, Mwandosya uliye tu, Prof Tibaijuka muda si wake wala Asha-Rose Migiro kuja kuonekana kutokua na direct touch na electorates on the ground!!! Truely I say to you, if you never ever though that it could ever come to pass; this is the kind of 'Rotten Egg Kikwete Presidential Succession plan' that is just being winnowed down purely of a most delicate and desparate move to create a leadership legacy that stand to backfire on the face of those towing the idea bad time!!!!
Wakati Mzee Wilson NdiaMukama (a political professional of yesterday schools of thought and rather more of a spent force) ameingizwa tu kwenye Pwani Taskfoce into CCM Secretariate merely as a 'MR FIX IT AS WE WANT' type of cadre who is safely containable as he enjoys no political clout on the ground nor an interest of guessing at the now-turning-out sweet help at Magogoni.
Ndio, the only dependable 'John-the-Baptist kind of servants since deployed as a Pwani Taskforce to clear the way for The Political Prince to come and take over leadership through the backdoor tricks are Nape Nnauye and January Makamba. However, owing to the later person's deep connections with a section of the Magambagates, and on the account of the fact that this boy has long been Europeanised in mind to easily swallow the chauvinistic kind of political machination being towed by Old Makamba, Mzee Mwinyi and of course Kikwete, the entire Pwani Surrogates are said to be DEEP COLD AT HEART given what some of them describe as 'a party spoiler' kind of prevailing political atmospheres in the country.
Yote juu ya yote, an all-time gigantic political explotion is more than being around the corner within the CCM semi-families. Suala hapa ni SUMU zaidi kuliko hata gamba lenyewe la Joka CCM kutoka mara moja kwa msukumo zaidi ya Nguvu ya Umma hivi karibuni. Nasema tunawasoma kwa karibu saaaaana katika hili.
SERIKALI YA CCM KULIKO HATA GAMBA LA JOKA HILI LA KIFISADI NCHINI!!
Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwamba sasa Watanzania wengi zaidi, ndani na nje ya CCM, tumeanza kujitokeza na kuongea wazi bila woga kuhusu mustakabali wa nchi yetu bila kutazamana kitu usoni.
Kwa kusema kweli, kila kitu katika huu usanii wote wa watu wenye magamba kudiriki kuona magamba ya wenzao na kuwataka wayavue ndani ya siku 90 yoooote ni katika KUTEKELEZA AGENDA YA SIRI YA URAIS KUBAKIA PWANI na kuja kubatizwa jina la Mgombea wa CCM 'ni sharti atoke Zanzibar safari hii' wakati huyo mgombea dhaifu mwenyewe ni Mzanzibari kwa Kukodishwa (TX) kutoka Kisarawe, Mkoa wa Pwani tu.
Tatizo wengi hatutaki kuamini kitu mpaka kije kionekane juu ya meza wakati ambapo kamwe huwezi tena kubadilisha kitu. Kisingizio cha 'SELECTIVE CCM OPERATION VUA GAMBA BAKISHA SUMU' is a mere ploy and secret pact if not a deliberate technicality to sweep aside all otherwise powerful presidential contenders with CCM corridors to give way to 'The Mighty Prince' to set on the throne as has since been discussed under camera in a number of nightly factional meetings in the country.
And with a single strike of that strategic technicality alone; Lowassa out, Samuel Sitta toka, Magufuli pisha, Mwandosya uliye tu, Prof Tibaijuka muda si wake wala Asha-Rose Migiro kuja kuonekana kutokua na direct touch na electorates on the ground!!! Truely I say to you, if you never ever though that it could ever come to pass; this is the kind of 'Rotten Egg Kikwete Presidential Succession plan' that is just being winnowed down purely of a most delicate and desparate move to create a leadership legacy that stand to backfire on the face of those towing the idea bad time!!!!
Wakati Mzee Wilson NdiaMukama (a political professional of yesterday schools of thought and rather more of a spent force) ameingizwa tu kwenye Pwani Taskfoce into CCM Secretariate merely as a 'MR FIX IT AS WE WANT' type of cadre who is safely containable as he enjoys no political clout on the ground nor an interest of guessing at the now-turning-out sweet help at Magogoni.
Ndio, the only dependable 'John-the-Baptist kind of servants since deployed as a Pwani Taskforce to clear the way for The Political Prince to come and take over leadership through the backdoor tricks are Nape Nnauye and January Makamba. However, owing to the later person's deep connections with a section of the Magambagates, and on the account of the fact that this boy has long been Europeanised in mind to easily swallow the chauvinistic kind of political machination being towed by Old Makamba, Mzee Mwinyi and of course Kikwete, the entire Pwani Surrogates are said to be DEEP COLD AT HEART given what some of them describe as 'a party spoiler' kind of prevailing political atmospheres in the country.
Yote juu ya yote, an all-time gigantic political explotion is more than being around the corner within the CCM semi-families. Suala hapa ni SUMU zaidi kuliko hata gamba lenyewe la Joka CCM kutoka mara moja kwa msukumo zaidi ya Nguvu ya Umma hivi karibuni. Nasema tunawasoma kwa karibu saaaaana katika hili.